Katika makundi mepesi sana uefa, basi kundi C litakuwa kundi jepesi sana.
Sababu:
Liverpool huna kikosi cha kupafomu michuano yote effectively.
Kwa sasa timu nying za EPL zimejihimarisha vilivyo kiasi kwamba utaitaji uwezo wa ziada kushinda game. Liverpool ina wachezaji wachache wenye uwezo huo.
Huna backup ya kutosha kwenye benchi. Kikosi ulichonacho icho icho kitacheza ligi, Uefa, Fa, Carabao ivyo akina salah, mane watachoka sana.
Hivyo PSG na Napoli watapita kiulaini tena bila kupingwa kwa sababu tajwa hapo juu.
Msimu uliopita ulifika fainal kimazabe pia angalia uli risk makombe mangap ili kufika fainal? Pia timu nyingi ulizokutananazo hazikuwa vizuri na mtu kama Salah, Mane walikuwa na wakati mzuri.
Je ya mwaka jana yanaweza kujirudia? Jibu ni hapana.
Hivyo ni bora Klopp awekeze zaidi kwenye EPL maana Uefa hafiki popote msimu huu.
Mbele ya PSG na Napoli hutatoka salama. Hivyo makundi mepesi ulaya ni kundi C, A, E, D, F na magumu yanaweza kuwa ni B, H, may be na G.
Sent using
Jamii Forums mobile app