Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Henderson Ni Mchezaji Mwenye Backup Kubwa than any other scouser.. That is why Hata kwenye game vs BHA Echo wamemrate higher Hendo Kuliko Mane, Keita na TAA.. Wamemrate 7 sawa na AB13, Robo, VVD, Milliy, Bobby, Gomez na Salah.
Hii wanaonesha ingawa Muda aloingia Ni mdogo lakini Kwa Mtanzamo wao he Dido more work Kuliko aliowakuta Uwanjani.
So, Kumdrop Huyu kunahitaji technique zaidi Kuliko Muda... One technique that I see in my eyes now practiced by Klopp Ni Kumfanya Squad player as a Backup Mid jambo ambalo litamfanya awe Frustrated na Kumuondoshea Confidence...
Then hapo atakuwa totally a Benchwarmer..

ratings za Echo huwa sizitilii maanani kabisa Aisee, wale jamaa wako biased na wana agenda sana..

i agree kuhusu kumfanya squad player, but kwasasa kina Doyle wamekaa kimya kwasababu wanajua wakiongea Klopp anaweza akasema Henderson hakuwa na pre season ndiyo maana anatokea bench kwenye hizi games za awali, lakini i guarantee you baada ya games tano tutaanza kusikia makelele ya kina Doyle na interview za Henderson zisizoisha.

this is why Klopp anajaribu kumpa muda Fabinho, ili akiingia kwenye first XI kusiwe na room ya kumdrop, because akim-rush na akafanya mistake au kuwa na game mbaya, the Echo, top reds, brexit lads watakuja na Henderson's propaganda za kutosha, kila siku kutakuwa na article mpya za kuaminisha watu kuwa Fabinho is not better than Henderson na hatakiwi kuanza.

Henderson anatakiwa kuondoshwa moja kwa moja kwa Club, na muda ukifika atajiondoa mwenyewe tu, reports zinasema kuwa Klopp promised VVD the captaincy but mpaka sasa bado hajampa, hii yote ni kwasababu Klopp anajua akimvua Hendo ucaptain now kutakuwa na backlash kubwa sana kwenye media, na hii inaweza ikasababisha morali ya team kushuka hasa kwenye dressing room.
 
Liverpool imemuajiri Kocha wa mipira ya kurusha(throw-in specialist)duniani anaitwa Thomas Grenemark kutoka Denmark. Mtaalamu huyu amefanya kazi na klabu kama Schalke 04 na Hertha Berlin za Ujerumani ktk kipindi ambacho klabu hizo magoli mengi yalisababishwa na mipira ya kurushwa.Kazi yake itakua kuwafundisha wachezaji namna ya kurusha mipira inayosababisha magoli.Wenzetu hawana masihara.
Chanzo:Skysport.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasahivi Nimemuelewa Klopp pale ninapoangalia PC - K8 & Can - Fabiy nabelieve Kuwa Klopp before losing a Player huwa ameshafocus kwenye Kugain Player Mwengine with the same or near his Caliber.
So, naamini Klopp tayari ameshamsoma Mane Kuwa Delay hii ya Contract extension Ni Kwamba Sade Mane atasaini au Hatosaini! So, tayari as a Klopp amesha focus somewhere to make sure he will not lose for nothing.

inaonekana next summer, we will go big on Pulisic.

sasa sijui ni nani ataondoka Aisee..

i like Mane, but we need to remember kuwa katika clubs zake zote alizochezea aliondoka kwa kuforce move na kuleta usumbufu mkubwa, so wont be suprised if akiforce move ya kwenda Madrid.

having said that, naombea sana asiondoke, he's very important kwenye team yake. naweza nikawa tofauti na watu wengine, but ukiniambia nichague kati ya Salah na Mane, nitamchagua Mane. not because ni better than Salah, but ni kwasababu yeye na Firmino ni most important players kwenye mfumo wetu. ndiyo maana unaona Klopp hajamwachia Firmino hata nafasi ya kupumua japokuwa hakuwepo kwenye games karibia zote za pre season.
 
inaonekana next summer, we will go big on Pulisic.

sasa sijui ni nani ataondoka Aisee..

i like Mane, but we need to remember kuwa katika clubs zake zote alizochezea aliondoka kwa kuforce move na kuleta usumbufu mkubwa, so wont be suprised if akiforce move ya kwenda Madrid.

having said that, naombea sana asiondoke, he's very important kwenye team yake. naweza nikawa tofauti na watu wengine, but ukiniambia nichague kati ya Salah na Mane, nitamchagua Mane. not because ni better than Salah, but ni kwasababu yeye na Firmino ni most important players kwenye mfumo wetu. ndiyo maana unaona Klopp hajamwachia Firmino hata nafasi ya kupumua japokuwa hakuwepo kwenye games karibia zote za pre season.

Hata Hivyo Bado Naamini Hazard, Neymar au Mbape Hawa Ndiyo Wanaoweza Kuamua Hatma Ya Sadio Mane Kwenda Real Kwasababu Ndiyo Wapo Katika Top Priority.. Zikifail Move zao Ndiyo Wanaweza Kuja Kwa Mane as a Second Choice... I believe that.
 
MosDef With Pique and Ramos careers coming to an end soon, I can see Barca and Madrid tabling £££m for VVD soon. We will have to win big trophies to be able to keep him. We’ve proved to be a selling club to the likes of Barca and Real. If a right offer came along I think our American owners would consider it.
VVD is a Red heart & soul. akiondoka pale si kwa utashi wake...
 
Ali Bakary. Alisson Becker. BRUCE GROBBELAAR
NITAENDELEA KUFANYA HIVYO LKN KWA
UMAKINI MKUBWA. >>Klopp amuonya kua asidi
mipaka ya Ugolikipa >>Afananishwa na Kipa
Bruce Globbelaar alivyokua akifanya hayo miaka
51 iliyopita. >>Ali Bakary asema NIA ZAIDI NI
KUISAIDIA TIMU. ©Mwanazuoni. Miaka 51
iliyopita kulikua na Kipa mmoja Mzungu lakini
aliekua MZAWA wa AFRIKA akitokea Nchini
Zimbabwe kwa Rais aliepinduliwa Kisanii,Robert
Mugabe,Kipa huyu aliitwa BRUCE GROBBELAAR
aliichezea LIVERPOOL kwa MAFANIKIO
sana,licha tu ya kua Mahiri ktk udakaji wake wa
kila style kuhakikisha analinda vyema Nyavu zake
na pia alikua Mahiri sana ktk kutumia miguu yake
kuchezea mpira na kupiga pasi atakavyo,hii
iliisaidia sana timu kujenga Mashambulizi na
kuwavunja Moyo sana Washambulizi wa
Wapinzani, kwani KUJIAMINI SANA KWA KIPA
NA HUKU akifanya yasio ya kawaida kwa
Golikipa huwapunguzia KUJIAMINI kabisa
Washambulizi wa timu pinzani. Ali Bakary au
Alisson Becker kama aitwavyo Rasmi,alifanya
Matukio kadhaa ktk mchezo dhidi ya Brighton
yaliyofanya "MIOYO" ya Mashabiki kusimama
kwa sekunde 2 kwa kutoamini kile kilichofanywa
na Kipa huyu,na baadae walionekana wakipiga
Makofi ya kumpongeza lkn huku MIOYO yao
ikiendelea kudunda kwa chati. Ali Bakary anakua
miongoni mwa Makipa kadhaa waliowahi kua na
Skills hizi na kufanya hayo anayoyafanya
sasa,kwa maana ni muendelezo wake wa kile
alichokua akikifanya As Roma na huko Brazil
kiasi cha Kocha wake wa As Roma kumpachika
jina la "Messi Of Goalkeepers", Ali Bakary
anaungana na Kipa Mahiri Buce Globbelaar na
Pep Reina katika KUNDI Makipa waliokua na vitu
adimu zaidi yaani wakiitwa " Complete Package"
waliokamilika zaidi. Ali Bakary anasema
"Sintoacha kufanya hivyo kwa maana anafanya
kwa kusudi la KUISAIDIA timu,na ukizingatia
UJENGAJI wa timu kuelekea kushambulia
unaanzia kwangu,hivyo nalazimika kufanya hivyo
ila nitafanya kwa umakini zaidi" aliendelea zaidi
kusema"Inawezekana ni hatari zaidi kufanya
hivyo,lkn sie ni timu inayoanza kucheza
(kujipanga) kuanzia nyuma na kwa Mipira ya
chini,hivyo nawajibika sana kufanya hivyo
kusaidia timu kuanza cheza(jipanga)kuanzia
nyuma vizuri zaidi" na akamalizia kwa
kusema"Makosa yanaweza kuja tokea,lakini
tunafanyia mazoezi haya kila siku kurekebisha
makosa yetu yanayokua yanatokea kwenye
Michezo tunayocheza" Klopp yeye kwa upande
wake alisema ni kweli ni vizuri sana kua na Kipa
wa kariba hii,kwani anaisaidia sana timu katika
kucheza(kujipanga)kuanzia nyuma,lakini
nimemuonya kua HATAKIWI KUVUKA MIPAKA YA
UGOLIKIPA kwa maana yaweza kuleta madhara
makubwa,sipendi sana afanye michezo hiyo.
Hahahahaha huyo ndio Ali Bakary aka Messi of
the Goalkeepers na vimbwanga vyake,hivyo
tutegemee kumuona akifanya hayo zaidi na zaidi
ka alivyokuà akiyafanya huko As Roma na Brazil
 
Alisson drew loud cheers from the home fans at Anfield at the weekend when he chipped the ball over Anthony Knockaert’s head while under pressure from the Brighton man.

The stopper, though, insisted his unflappable aura with the ball at his feet is not borne out of a desire to take unnecessary risks.

“I try my best to help the team in the build-up. If sometimes there is a situation where there is dribbling, I do it carefully,” Alisson explained.

“It could be too risky, but it's part of the game, we are a team that plays from the back with the ball on the ground.

“That's part of the team's characteristics. Mistakes may happen, but we work hard during the week to do everything correctly during the matches.”



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mane was so poor siku ile...

and Firmino bado hajarudi kwenye his fitness level

i think ni Salah tu ndiyo alikuwa anajitahidi kumake things happen (klopp atakuwa alimkalisha kitako)

Robertson was poor too, hence movements zilikuwa ndogo sana upfront.

Fekir angekuwa ni PC replacement, but game play yao ni tofauti kabisa, PC is more of a winger, (creating from wide areas), to complement PC unahitaji mfumo wa 442, mfumo ambao Klopp hatumii, hence he decided to move Coutinho katikati, na kumchezesha Lallana wide. Fekir anaoffer vyote hivyo, he's a complete playmaker. we need a creator who can force the ball through the middle, kwasababu tayari tuna fullbacks ambazo wana uwezo wa kucreate chances kutokea pembeni, Hughton managed to shut down Robertson completely na ndiyo maana left side yote ilikufa (Mane and Keita struggled a lot), Klopp knew this, na kwasababu hatuna a primary creator na bado anajaribu kumuonesha Shaqiri jinsi tunavyocheza, akamuingiza Henderson (subbed off Keita) ili kwenda kuretain possession na kucontrol the the midfield using triangle passes, at this point Klopp alishajua kuwa Hughton kamuweza na akaona the safety way ni kulinda midfield area ili kuzuia kabisa Counters za Brighton, naweza sema kuwa alifanikiwa kwa hilo.

The only thing ambacho kinamu-hold Fekir back ni his knee history, but he's a very complete player.

agree on the last part.

Me nadhani naby keita ndo mrithi wa coutinho liverpool nadhani JK amekua impressed na technical ability yake ndo mana hajataka ku risk kwa nabil fekir



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Salah asipozingua kwenye mechi VS Chelsea hapo September nina uhakika EPL title msimuu huu ni yetu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom