Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Serie A nzima Hakuna timu inayoweza Kumtoa Liverpool Kwenye Stage yoyote hile.

Sisi Hapo Hatupambani Kwa Lengo La Kusonga Mbele Kwani tunajua tayari tumeshaingia Knockout stage! Bali Tunapambana Kuwa Group Leader tu.
Naona unaongea vya kujifariji ndugu yangu. Atakae ongoza group hapo atakuwa Napoli hiyo nafasi iliyobaki up to you PSG/liver ila kama mnaona kazi ni nzito kwa PSG basi elekeni jiwe tu
 
Narudia tena kama liverpool wanategemea kupita kwa mgongo wa Napoli basi wasahau 16 bora msimu huu.

Wewe ndio huna hata pedigree wala DNA ya uefa champions league
Maneno Haya amekiri mwenyewe Pep
Man city haina UCL wala Kombe la akina Mbwana Samatta-Europa kabatini
 
Champions ligi ndio ligi yetu na ndio mafanikio yetu yapo
Narudia tena hakuna timu from Italy yenye ubavu wa kuifunga Liverpool
Sio zama hizo wala zama hizi
Labda angekuwepo AC Milan
Ac Milan ni mwendawazi tu huyo. msidhani njia mliopita msimu 17/18 ndio huu. NIPO hapa nawasikitikia Liverpool
 
3rd Round Ya Carabao Cup tumepangiwa na Chelshit.
Kwahiyo Ndani Ya September tutacheza nao Mara 2.

1) Away: EPL
2) Home: Carabao
 
Tusijidanganye. Kiukweli tumepewa group gumu ambalo kila timu ina nafasi ya kusonga mbele. Timu zote ni nzuri.

PSG imesheheni nyota kibao. Wao ndio walibeba kundi kwa maana ya pot iliyokuwa na mabingwa wa ligi na bingwa wa Ucl. Kwa timu yoyote kupangwa na PSG ni majanga so hata sisi kwa hawa jamaa tuna wakati mgumu.

S.S.Napoli, makamu bingwa wa ligi kuu ya italia almaarufu SerieA, chini ya kocha mzoefu na bingwa mara mbili Carlo Ancelotti nao si timu ya kuiangalia makengeza. Jamaa wapo vizuri. Tutarajie tabu na ahida toka kwa hawa jamaa. Kikosi chao hakina majina makubwa ila ni kizuri hivyo tusitegee mteremko.

Red Star Belgrad. Mabingwa wa zamani wa michuano hii. Moja ya vitimu bora toka mashariki ya ulaya. Hawa kwa maoni yangu wana ubora sawa au zaidi ya timu toka Belgium na Holland. Kina Ajax na Psv na kina Standard liege na club brugger. Liverpool tuna kazi nzito ya kuifanya kuvuka kwenda knockout stage.

YNWA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tusijidanganye. Kiukweli tumepewa group gumu ambalo kila timu ina nafasi ya kusonga mbele. Timu zote ni nzuri.

PSG imesheheni nyota kibao. Wao ndio walibeba kundi kwa maana ya pot iliyokuwa na mabingwa wa ligi na bingwa wa Ucl. Kwa timu yoyote kupangwa na PSG ni majanga so hata sisi kwa hawa jamaa tuna wakati mgumu.

S.S.Napoli, makamu bingwa wa ligi kuu ya italia almaarufu SerieA, chini ya kocha mzoefu na bingwa mara mbili Carlo Ancelotti nao si timu ya kuiangalia makengeza. Jamaa wapo vizuri. Tutarajie tabu na ahida toka kwa hawa jamaa. Kikosi chao hakina majina makubwa ila ni kizuri hivyo tusitegee mteremko.

Red Star Belgrad. Mabingwa wa zamani wa michuano hii. Moja ya vitimu bora toka mashariki ya ulaya. Hawa kwa maoni yangu wana ubora sawa au zaidi ya timu toka Belgium na Holland. Kina Ajax na Psv na kina Standard liege na club brugger. Liverpool tuna kazi nzito ya kuifanya kuvuka kwenda knockout stage.

YNWA

Sent using Jamii Forums mobile app

Umeongea kiutu uzima mkuu.
Kundi letu limekaa kimitego sana...
 
Liverpool na Tottenham zimepangwa katika makundi ya kifo katika upangaji wa makundi huku Manchester United ikitupwa kwa Ronaldo.

Katika upangaji huo wa ratiba ya hatua ya makundi uliofanyika Monaco, Spurs imepangwa kundi B ikiwa pamoja na Barcelona, PSV na Inter Milan.

Liverpool iliyocheza fainali msimu uliopita ipengwa kundi C pamoja na mataji wa PSG, Napoli na Red Stars

Manchester United watakutana na nyota wao wa zamani Cristiano Ronaldo baada ya kupangwa na mabingwa wa Serie A, Juventus.

Ronaldo, ambaye alichezea Man United kati ya 2003 na 2009, amejiunga na Juve kwa gharama ya pauni 99.2milioni Julai baada ya kucheza kwa miaka tisa Real Madrid.

Wapinzani wao wengine ni Valencia na Young Boys katika Kundi Group H.

Mabingwa wa England, Manchester City wametupwa Kundi F, pamoja na Shakhtar Donetsk, Lyon na Hoffenheim.

Mabingwa watetezi Real Madrid, wamepewa kundi rahisi wakiwa Kundi G pamoja na Roma, CSKA Moscow na Viktoria Plzen.

Makundi

Kundi A: Atletico Madrid, Dortmund, Monaco, Club Brugge

Kundi B: Barcelona, TOTTENHAM, PSV, Inter Milan

Kundi C: PSG, Napoli, LIVERPOOL, Red Star Belgrade

Kundi D: Lokomotiv Moscow, Porto, Schalke, Galatasararay

Kundi E: Bayern Munich, Benfica, Ajax, AEK Athens

Kundi F: MAN CITY, Shakhtar, Lyon, Hoffenheim

Kundi G: Real Madrid, Roma, CSKA Moscow, Viktoria Plzen

Kundi H: Juventus, MAN UTD, Valencia, Young Boys
 
Changamoto kubwa EPL siyo kuzifunga Top 6, ni consistency, kuwa na uwezo wa kucheza mechi nyingi mfululizo kwa kiwango cha juu bila kuangalia ni timu gani umekutana nayo.

Msimu wa 2016/2017 hakuna hata timu moja iliyotufunga kati ya 6 za juu, zaidi ilikuwa droo, tulikusanya around 18 points, cha ajabu hazikutosha kutusaidia kutupa ubingwa, tulipoteza game 6 kwa mediocre teams; Burnley, Bournemouth, Hull City, Leicester, Swansea na Crystal Palace.

Unashinda game ngumu (ile ambayo ni underdog), halafu game inayofata ambayo uko favored unapigwa, inakuwa kama umewekeza kwenye big games tu, mwisho wa siku ubingwa anachukua yule ambaye atakusanya points nyingi kutoka kwenye team za chini kwenye msimamo.

Of course consistency matters a lot, but point yangu ilikuwa kwamba Always Bingwa huwa hapigiki kwa hiyo challenge kubwa kwenye kutokupigwa ni timu tishio zinazoweza kutupiga kwa mfano Chelsea na MUFC. Tunatakiwa kuwapiga wapinzani wagumu kama hao ili kumaliza bila Losses kwa maana losing a number of matches ndio usindikizaji wenyewe huo
 
Ratiba yetu
IMG_20180830_234856.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom