Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Keita.Le Capiteni Hendo. Fabihno
Lkn jana Milner kacheza mpira mkubwa sana
Sijui itakuaje aisee
Ila Keita kweli tumesajili bado sasa Fabihno tu tumuone
 
Jinsi Milner alivyombunifu Lakini Still Captain Wetu ndiye Atakaecheza na Milner ataekwa Juu.
Milner ni jembe ndugu yangu, japo umri ndio huo but jamaa ni mpambanaji, real professional...hivi Origi, Markavic, Lallana kweli msimu huu si watapata dakika chache sana uwanjani..maana Klopp lazima a deliver EPL n even better UCL...YNWA
 
Milner ni jembe ndugu yangu, japo umri ndio huo but jamaa ni mpambanaji, real professional...hivi Origi, Markavic, Lallana kweli msimu huu si watapata dakika chache sana uwanjani..maana Klopp lazima a deliver EPL n even better UCL...YNWA

Kwa EPL na CL sub kwa Attacking Ni Xhaqiri na Sturridge, Sidhani Kama Kina Solanke na Origi wana Nafasi. Na Kwa Upande Wa Midfield Sub ipo wazi sidhani kama Lallana ana Nafasi.

Kwahiyo Hao Kina Solanke, Origi na Lallana Wasubiri Carabao na FA na Waotee injury za Kina Sturridge.
 
Kwa EPL na CL sub kwa Attacking Ni Xhaqiri na Sturridge, Sidhani Kama Kina Solanke na Origi sana Nafasi. Na Kwa Upande Wa Midfield Sub ipo wazi sidhani kama Lallana ana Nafasi.

Kwahiyo Hao Kina Solanke, Origi na Lallana Wasubiri Carabao na FA na Waotee injury za Kina Sturridge.
Solanke huyu angefaa atolewe kwa mkopo anahitaji game time ili kukuza kipaji...naamini Klopp msimu huu hatatwangusha upangaji kikosi, sihataji kumuona Lallana uwanjani sijui majeraha yamemfanya awe toothless...hanaga tena ile ari ya kupigana na ushindi...too bad Ox msimu huu anaweza akachelewa sana kucheza, but kwa Xhaqiri na Daniel ni super sub safi sanaaa
 
VVD: “We’ve seen the media writing us as the new champions but we don’t look at those things. We just take it game-by-game,”
 
VVD itabidi ukiachiliambali Kazi Ya Ubeki atahitajika Pia awe Ni Mlezi...
Kwani Jana Katika Safu Ya Ulinzi alicheza na Watoto Wadogo (TAA 19yrs, Gomez 21yrs).
Atahitajika Kuwalea Kwa Kuwapa Maelekezo Ya Nini Wafanye na Lipi Wajigunze Kutoka Kwake.

I hope Gomez msimu huu hataandamwa na injury Kubwa Kwani kwani injury Yake na ya Moreno Ndiyo iliyowafanya Robertson na TAA wakaingia Kikosi Cha Kwanza.

Kwahiyo akipata tena injury ndefu basi Nathaniel Phillips atampokonya Nafasi.
 
VVD itabidi ukiachiliambali Kazi Ya Ubeki atahitajika Pia awe Ni Mlezi...
Kwani Jana Katika Safu Ya Ulinzi alicheza na Watoto Wadogo (TAA 19yrs, Gomez 21yrs).
Atahitajika Kuwalea Kwa Kuwapa Maelekezo Ya Nini Wafanye na Lipi Wajigunze Kutoka Kwake.

I hope Gomez msimu huu hataandamwa na injury Kubwa Kwani kwani injury Yake na ya Moreno Ndiyo iliyowafanya Robertson na TAA wakaingia Kikosi Cha Kwanza.

Kwahiyo akipata tena injury ndefu basi Nathaniel Phillips atampokonya Nafasi.
Wewe unaifunga westham ambayo ina wachezaji wa tano wageni ukimjimlisha na kocha halafu unajihakikishia nafasi ya kwanza!!

Bado sana kuimprove uwezo wako.
 
Wewe unaifunga westham ambayo ina wachezaji wa tano wageni ukimjimlisha na kocha halafu unajihakikishia nafasi ya kwanza!!

Bado sana kuimprove uwezo wako.

Kwani Hapo Nimezungumzia Nafasi ya Kwanza?

Hivi uliyemfunga 3 - 0 Siku ya Jumamosi Yeye Ni Bingwa Mtetezi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom