M-mbabe
JF-Expert Member
- Oct 29, 2009
- 13,201
- 23,030
afu jamaa wana utani mbaya sana..... wanadai eti Fred ni bora kuliko Keita.Kwa nadra sana mtani unaonekana
Asante sana msikate tamaa kwa kuporomoka nafasi zote zile
Yule Fred yule basi tu
afu jamaa wana utani mbaya sana..... wanadai eti Fred ni bora kuliko Keita.Kwa nadra sana mtani unaonekana
Asante sana msikate tamaa kwa kuporomoka nafasi zote zile
Yule Fred yule basi tu
afu jamaa wana utani mbaya sana..... wanadai eti Fred ni bora kuliko Keita.
Hapana kwa kweli.... Keita ni mtu yuko very comfortable naamini hata SG yuko surprised kwa namba yake kuwa covered mapema hiviafu jamaa wana utani mbaya sana..... wanadai eti Fred ni bora kuliko Keita.
Mbona hizi takwimu za kawaida sana?Naby Keita’s Premier League debut:
88% passing
1 chance created
1 shot
2/3 dribbles
1/1 aerial duel
1/2 tackles
1 interception
Good start
King Ngwaba naona umemgusa "captain fantastic" wa watu humu.Fred Ni kiwango cha Hederson Coz Hata Gini na Milner hajawafikia.
Njoo nyumbani dadaWatani Hongereni kuongoza ligi
Milner ni jembe ndugu yangu, japo umri ndio huo but jamaa ni mpambanaji, real professional...hivi Origi, Markavic, Lallana kweli msimu huu si watapata dakika chache sana uwanjani..maana Klopp lazima a deliver EPL n even better UCL...YNWAJinsi Milner alivyombunifu Lakini Still Captain Wetu ndiye Atakaecheza na Milner ataekwa Juu.
Milner ni jembe ndugu yangu, japo umri ndio huo but jamaa ni mpambanaji, real professional...hivi Origi, Markavic, Lallana kweli msimu huu si watapata dakika chache sana uwanjani..maana Klopp lazima a deliver EPL n even better UCL...YNWA
Hahahaha mtani siyo mbaya mwanzo mzuri tutakutana kileleniKwa nadra sana mtani unaonekana
Asante sana msikate tamaa kwa kuporomoka nafasi zote zile![]()
Yule Fred yule basi tu

Hahahahaha mtani kwa mbwembwe mko njema,by the way hongereni kwa usajili mzuriNjoo nyumbani dada
Kumenoga!
Huku Keita na Mane kule Salah na Fabihno
Katikati ni Milner
Njoo nyumbani,kumenoga sana!
Solanke huyu angefaa atolewe kwa mkopo anahitaji game time ili kukuza kipaji...naamini Klopp msimu huu hatatwangusha upangaji kikosi, sihataji kumuona Lallana uwanjani sijui majeraha yamemfanya awe toothless...hanaga tena ile ari ya kupigana na ushindi...too bad Ox msimu huu anaweza akachelewa sana kucheza, but kwa Xhaqiri na Daniel ni super sub safi sanaaaKwa EPL na CL sub kwa Attacking Ni Xhaqiri na Sturridge, Sidhani Kama Kina Solanke na Origi sana Nafasi. Na Kwa Upande Wa Midfield Sub ipo wazi sidhani kama Lallana ana Nafasi.
Kwahiyo Hao Kina Solanke, Origi na Lallana Wasubiri Carabao na FA na Waotee injury za Kina Sturridge.
Kilele cha msimu kitakuwa kizuri maana mambo yameanza kunoga koteHahahaha mtani siyo mbaya mwanzo mzuri tutakutana kileleni![]()
![]()
....ukilinganisha na zipi au za nani !?Mbona hizi takwimu za kawaida sana?
Wewe unaifunga westham ambayo ina wachezaji wa tano wageni ukimjimlisha na kocha halafu unajihakikishia nafasi ya kwanza!!VVD itabidi ukiachiliambali Kazi Ya Ubeki atahitajika Pia awe Ni Mlezi...
Kwani Jana Katika Safu Ya Ulinzi alicheza na Watoto Wadogo (TAA 19yrs, Gomez 21yrs).
Atahitajika Kuwalea Kwa Kuwapa Maelekezo Ya Nini Wafanye na Lipi Wajigunze Kutoka Kwake.
I hope Gomez msimu huu hataandamwa na injury Kubwa Kwani kwani injury Yake na ya Moreno Ndiyo iliyowafanya Robertson na TAA wakaingia Kikosi Cha Kwanza.
Kwahiyo akipata tena injury ndefu basi Nathaniel Phillips atampokonya Nafasi.
Wewe unaifunga westham ambayo ina wachezaji wa tano wageni ukimjimlisha na kocha halafu unajihakikishia nafasi ya kwanza!!
Bado sana kuimprove uwezo wako.