M-mbabe
JF-Expert Member
- Oct 29, 2009
- 13,201
- 23,030
kuna kitu kimoja kimeni impress sana kwenye mechi yetu ya leo vs the Hammers.
timu imecheza kwa fast tempo na slow tempo in different patches in equal measure. nakumbuka hii ndiyo iliyowasaidia sana Man City kwenye msimu uliopita. timu ikiweza ku alternate tempo hivi, inakuwa na nafasi kubwa ya kuwa na energy ya ku retain ushindi hata ukiwa mwembamba vipi au ku nick goli la ushindi kwenye dakika za majeruhi.
flexibility ya tempo namna hii unaweza kuipata ukiwa tu na midfield iliyo na mafundi wanaoweza kucheza na mpira. this season midfield yetu si ya kitoto.
nimepata matumaini makubwa kuelekea the rest of the season.... but let's hope this is not one of those false dawns!
timu imecheza kwa fast tempo na slow tempo in different patches in equal measure. nakumbuka hii ndiyo iliyowasaidia sana Man City kwenye msimu uliopita. timu ikiweza ku alternate tempo hivi, inakuwa na nafasi kubwa ya kuwa na energy ya ku retain ushindi hata ukiwa mwembamba vipi au ku nick goli la ushindi kwenye dakika za majeruhi.
flexibility ya tempo namna hii unaweza kuipata ukiwa tu na midfield iliyo na mafundi wanaoweza kucheza na mpira. this season midfield yetu si ya kitoto.
nimepata matumaini makubwa kuelekea the rest of the season.... but let's hope this is not one of those false dawns!