Tena yule malafyale angetunyoosha balaa alikuja na rekod ya 1970 walimfunga madrid 1-0 akajua yatajirudiaIla Mungu sio Klopp jamani, imagine kufika fainal wanajisifu hizi wangechukua kombe ingekuaje.. Abarikiwe Ramos popote alipo
Ila Mungu sio Klopp jamani, imagine kufika fainal wanajisifu hizi wangechukua kombe ingekuaje.. Abarikiwe Ramos popote alipo
Sasa tunapigania nini pale unafikir klopp asipobeba makombe ya china na icc atabeba nini?
Sasa tunaanzaje kukaza na icc hayo makombe ni yenu kocha wako hana ubavu hata wa kubeba carabao msimu wa nne huu anakwendaAu sio?
Naona msimu huu mmechukua makombe ya kutosha
Sasa tunaanzaje kukaza na icc hayo makombe ni yenu kocha wako hana ubavu hata wa kubeba carabao msimu wa nne huu anakwenda
Kwa hiyo sisi tulikaza sana? Halafu kitu kingine ni kuwa Klopp anaenda msimu wa tatu na kama utakumbuka vizuri Brendan Rodgers alitimuliwa wakati ligi inaendelea. Ingekuwa sahihi ukisema kuwa anaenda msimu wa tatu na nusu labda!
Kuhusu kutambiana makombe nyinyi alipokuja Fergie ndio mkapata ka history japo kidogo ambapo mpaka sasa Vikombe ya ubingwa wa Uingereza mmetuzidi vikombe viwili tu ila tukienda vikombe vya ulaya tumewazidi parefu, kabla ya Fergie kwenye makombe mtu ambae angeilinganisha Liverpool na Nyinyi ni sawa na mtu ambae anacompare Tembo na sisimizi
Baba hili povu
Kuna uwezekano sergio ramos akawa kocha wa liverpool msimu huu.
Muda utakprove wrong my fellow kopSometimes Kutembelea Jukwaa Hili Huwa Nahisi Kuna Watu Hawaangalii Mechi Za Timu Yetu Bali Huishia Kuangalia Matokeo LiveScore...
Hivi Mtu anawezaji Kusema Tuna timu ya Kubeba ubingwa Wa #EPL ?
Kama unaangalia Mechi za Liverpool na Umekiona Kikosi chetu basi Ni wazi kuwa tuna Timu ya Kugombania Top Four tu na wala si ubingwa....
Watu wanajivunia Kuwa tumesajili Fabinho na Xhaqiri!!! Hivi wanadhani na Hao Kina Man United, Chelsea na Man City wamekaa tu wamerelax hawasajili kitu Bali wanatuangalia sisi tu tukisajili??
Tuweni serious jamani Kikosi chetu bado Ni Kidogo hakijawa na uwezo Wa Kugombania ubingwa.
Bado Kunahitajika Addition ya Zaidi ya Wachezaji 3 ambao Ni World Class au Talented ndiyo Tuweze kuwa na Kikosi cha Kuweza Kugombania Ubingwa.
Siko Mkamilifu #Muda unaweza kuniprove Wrong.
Naombeni link au jina LA app ya kustream mech online wakuu
umeangalia mech zote za united fred ni first 11 Kacheza lini?
Kumuelewa mourinho unatakiwa utulize akili ukiacha sachez ni mchezaj yupi alikuwa na namba ya kudumu mliocheza nao jana?
Mourinho huwa yupo wazi.
Wachezaj walio na namba ya kudumu pale united ni lukaku,pogba,matic,de gea,valencia,young na sanchez kuwakosa ni nadra
Usijikite sana kwenye kukosoa au kukubaliana na mawazo ya watu wengine humu kwenye jukwaa huru.Wote hawawezi waza kama wewe.Wewe toa tu mawazo yako bila kujipa mamlaka ya kukosoa au kukubaliana na kila post inayowekwa humu...Inanishangaza unapojigeuza kuwa 'corrector' wa kila kinachowekwa humu as if wengine hawajui kitu kabisa.Sijui kama unajua tofauti ya opinion na fact.Ni bora hata ungekuwa "unacorrect" facts.Sasa wewe hadi opinion!Sometimes Kutembelea Jukwaa Hili Huwa Nahisi Kuna Watu Hawaangalii Mechi Za Timu Yetu Bali Huishia Kuangalia Matokeo LiveScore...
Hivi Mtu anawezaji Kusema Tuna timu ya Kubeba ubingwa Wa #EPL ?
Kama unaangalia Mechi za Liverpool na Umekiona Kikosi chetu basi Ni wazi kuwa tuna Timu ya Kugombania Top Four tu na wala si ubingwa....
Watu wanajivunia Kuwa tumesajili Fabinho na Xhaqiri!!! Hivi wanadhani na Hao Kina Man United, Chelsea na Man City wamekaa tu wamerelax hawasajili kitu Bali wanatuangalia sisi tu tukisajili??
Tuweni serious jamani Kikosi chetu bado Ni Kidogo hakijawa na uwezo Wa Kugombania ubingwa.
Bado Kunahitajika Addition ya Zaidi ya Wachezaji 3 ambao Ni World Class au Talented ndiyo Tuweze kuwa na Kikosi cha Kuweza Kugombania Ubingwa.
Siko Mkamilifu #Muda unaweza kuniprove Wrong.
Mnapenda sana kugombana nyieUsijikite sana kwenye kukosoa au kukubaliana na mawazo ya watu wengine humu kwenye jukwaa huru.Wote hawawezi waza kama wewe.Wewe toa tu mawazo yako bila kujipa mamlaka ya kukosoa au kukubaliana na kila post inayowekwa humu...Inanishangaza unapojigeuza kuwa 'corrector' wa kila kinachowekwa humu as if wengine hawajui kitu kabisa.Sijui kama unajua tofauti ya opinion na fact.Ni bora hata ungekuwa "unacorrect" facts.Sasa wewe hadi opinion!
Embu acha hizo dogo....unaboa.Ni ushauri tu kutokana na observation ya muda mrefu
Usijikite sana kwenye kukosoa au kukubaliana na mawazo ya watu wengine humu kwenye jukwaa huru.Wote hawawezi waza kama wewe.Wewe toa tu mawazo yako bila kujipa mamlaka ya kukosoa au kukubaliana na kila post inayowekwa humu...Inanishangaza unapojigeuza kuwa 'corrector' wa kila kinachowekwa humu as if wengine hawajui kitu kabisa.Sijui kama unajua tofauti ya opinion na fact.Ni bora hata ungekuwa "unacorrect" facts.Sasa wewe hadi opinion!
Embu acha hizo dogo....unaboa.Ni ushauri tu kutokana na observation ya muda mrefu
#EPL tunaweza kubeba, maeneo yaliyokuwa na mapungufu msimu ulioisha yamefanyiwa kazi kwa kiasi kikubwa, mfano ttz la kipa tayari Alison amekuja, keita na Fabinho wameongeza kitu kikubwa sana had napata wasiwasi kwa captain Henderson, nani asiemkubali Sturrige anapokuwa fit kiafya, Shaqiri nae anakuja kutoa chalkenge kwa kina Mane, angalau sasa kikosi ni kipana,kocha atakuwa na options nyingi,Lovren now yupo ktk kiwango bora akiwa patner wa Van dijk, akiongezwa CD mwingine kama Yeri Mina au Vida itakuwa vizuri zaid,Usijikite sana kwenye kukosoa au kukubaliana na mawazo ya watu wengine humu kwenye jukwaa huru.Wote hawawezi waza kama wewe.Wewe toa tu mawazo yako bila kujipa mamlaka ya kukosoa au kukubaliana na kila post inayowekwa humu...Inanishangaza unapojigeuza kuwa 'corrector' wa kila kinachowekwa humu as if wengine hawajui kitu kabisa.Sijui kama unajua tofauti ya opinion na fact.Ni bora hata ungekuwa "unacorrect" facts.Sasa wewe hadi opinion!
Embu acha hizo dogo....unaboa.Ni ushauri tu kutokana na observation ya muda mrefu
Alisugua wapii ndugu wakati msimu.ulioisha yeye ndio alikua kipa tegemezi Romahahahhahahahaha huyu alikuwa anasugua kwa yule kipa namba mbili wa Poland Schezny usajili wa hawa jamaa naufananisha na timu moja hapa bongo wanaovaa jezi zinazofanana rangi
hata msimu uliopita wengi walisema tutatoka mapema ila ndio hivyoo mpaka fainali...msimu huu sio fainali tu mbali ni kuchukua kabisaa ndooDah Liverpool mnatia huruma sana. Hivi mlifikaje final uefa?! Msimu ujao mtadhubutu kuingia hata 16 bora kweli? Angalia kama leo mmecheza nini sasa.
Uyo Klopp ana bahati mbaya sana. Sidhani kama atafanikiwa kubeba kombe lolote akiwa na Liverpool. Jaribuni kutumia falsafa za timu kama Chelsea, labda mtafanikiwa. Klopp hajiamini kabisa!
Yajayo yanafurahisha...About Keita Ni Miracle ya Pekee! Ame-Adapt na Mfumo Wa Klopp Hata Kabla ya Kuja Liverpool...
looks like Wachezaji Wa Bundes Liga Wana-adapt na Mfumo Wa Klopp moja Kwa moja bila ya Hata Kufanya mazoezi na Timu yetu.
then which cabinet did he inhail from maana Liverpool aint kombelessKombeless. Liverpool, Tottenham, man u