Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Nataman tusibishane na huyo mtu asee ila ndo kila mtu aonavyo.
Hendo kacheza final ya CL mwaka huu,mnao waona bora walikaa nyumbani wanamuangalia Hendo anacheza final!
Hendo anacheza robo final Jumamosi,mnao waona bora wanamuangalia Hendo kwenye TV zao Jumamosi
Hendo ana anza team ya Taifa na kwenye ngazi ya club,huwezi bahatisha kote kuwili!
Hendo anawatia sana aibu!
Hamna point yyt zaidi ya porojo!!
 
Vipi siku Lovren kawanyoosha mmeacha kumkejeri?
Maana sioni tena posts zenu uchwara mkimkejeri
Kwa nn mmeacha?Kafanya nn hadi mmeacha?
Bado Hendo mtaanza tu msifia!
Mchezaji yyt anayevaa jezi ya Liverpool nitamtetea popote pale duniani!
Nitamkosoa kwa haki sio kwa kukariri kama mnavyo fanya kwa Hendo
 
Vipi siku Lovren kawanyoosha mmeacha kumkejeri?
Maana sioni tena posts zenu uchwara mkimkejeri
Kwa nn mmeacha?Kafanya nn hadi mmeacha?
Bado Hendo mtaanza tu msifia!
Mchezaji yyt anayevaa jezi ya Liverpool nitamtetea popote pale duniani!
Nitamkosoa kwa haki sio kwa kukariri kama mnavyo fanya kwa Hendo


Kwangu binafsi mechi ya Liverpool VS Manchester Utd ndio mechi ya muhimu kuliko zote katika EPL, sasa kitendo cha Lovren kutuhujumu katika magoli yale yote mawili yaliyofungwa na Rashford aisee nashindwa kumsamehe. Kile kipigo kinaniuma mpaka leo!
 
Vipi siku Lovren kawanyoosha mmeacha kumkejeri?
Maana sioni tena posts zenu uchwara mkimkejeri
Kwa nn mmeacha?Kafanya nn hadi mmeacha?
Bado Hendo mtaanza tu msifia!
Mchezaji yyt anayevaa jezi ya Liverpool nitamtetea popote pale duniani!
Nitamkosoa kwa haki sio kwa kukariri kama mnavyo fanya kwa Hendo


Kwani Kuna Siku Tuliyomsifia Lovren humu?

Ninachojuwa Mimi Ni Kwamba Lovren sio Talented lakini Ni Mchezaji Anaejituma kiasi Ya Kwamba Jitihada Yake uwanjani inaficha Udhaifu Wake.

Matip Ni Talented lakini Hajitumi uwanjani.

Tatizo la Lovren Ni Moja tu ambalo tunalilamikia kila Siku! Ni Kuwa Lovren Ni Inconsistent! Huwa Hatabiriki Hata Kidogo! Anaweza Cheza Vizuri Mechi 5 mfululizo na Akaja Akawacost Mechi Muhimu Kama Alivyofanya Kwa Spurs, Everton, Seville na Man United.
Sasahivi Tumenyamaza Kwasababu Hatuna Ligi, Subiri Ligi ianze aje atufanyie Manyago uone Kama tutanyamaza.
 
Hendo au Adam Salamba kama unavyo muita anacheza robo final Jumamosi na Swedeen na LIKELY wanavuka kwenda semis!
Hao viungo unao waheshimu sana akina Messi watakuwa Argentina kwenye TV zao wana angalia
Au hao bora waKo hawakuwepo WC?
Sauthgate au Klopp wanao mpa games Hendo wanajua soccer management mara mamilion kuliko wewe!
Team bora Uingereza ipo bado WC


Kwa Mtazamo Wako Huu Ni Kwamba Unachofahamu wewe Mpira Ni All about World Cup.

Kwa Vile Hendere Yupo World unamaanisha Ni bora Kuliko Messi, Ronaldo, Tony Kroos, Matic, Dybala, Aguero, Sami Khedira, Sergio Busquet, Isco na Ozil?
 
Kwangu binafsi mechi ya Liverpool VS Manchester Utd ndio mechi ya muhimu kuliko zote katika EPL, sasa kitendo cha Lovren kutuhujumu katika magoli yale yote mawili yaliyofungwa na Rashford aisee nashindwa kumsamehe. Kile kipigo kinaniuma mpaka leo!
Fair critique!
Mm kwa performance kubwa final ya UCL hasa zile tackles zake mbili kwa CR7 zimefanya nimsamehe
Lovren kaimarika sana toka aje VVD,tatizo lilikuwa yy na Matip wote hamna kiongizi
Hata Matip atacheza vyema akicheza na VVD
Critique zako zina mashiko sio kama hawa wengine!
 
Kwa Mtazamo Wako Huu Ni Kwamba Unachofahamu wewe Mpira Ni All about World Cup.

Kwa Vile Hendere Yupo World unamaanisha Ni bora Kuliko Messi, Ronaldo, Tony Kroos, Matic, Dybala, Aguero, Sami Khedira, Sergio Busquet, Isco na Ozil?
Lkn si ni ww uliye andika kuwa Hendo ni kiwango cha Adam Salamba wa Simba au?
Kwa hiyo Hendo hayupo kundi la akina Kroos lkn yupo kiwango sawa na Salamba?
Sasa mbona mwenye kiwango cha Salamba bado yupo WC na sio squad player bali ana anza?
Wazuri akina Messi wapo wapi?
Kama anaye anza kiwango chake sawa na Salamba je wasio anza Liverpool na team ya Taifa wana kiwango gani>?
 
Kwani Kuna Siku Tuliyomsifia Lovren humu?

Ninachojuwa Mimi Ni Kwamba Lovren sio Talented lakini Ni Mchezaji Anaejituma kiasi Ya Kwamba Jitihada Yake uwanjani inaficha Udhaifu Wake.

Matip Ni Talented lakini Hajitumi uwanjani.

Tatizo la Lovren Ni Moja tu ambalo tunalilamikia kila Siku! Ni Kuwa Lovren Ni Inconsistent! Huwa Hatabiriki Hata Kidogo! Anaweza Cheza Vizuri Mechi 5 mfululizo na Akaja Akawacost Mechi Muhimu Kama Alivyofanya Kwa Spurs, Everton, Seville na Man United.
Sasahivi Tumenyamaza Kwasababu Hatuna Ligi, Subiri Ligi ianze aje atufanyie Manyago uone Kama tutanyamaza.
Basi kujituma kwake kuzuri sana
Mungu atusaidie azidi kujituma
 
Kwani Kuna Siku Tuliyomsifia Lovren humu?

Ninachojuwa Mimi Ni Kwamba Lovren sio Talented lakini Ni Mchezaji Anaejituma kiasi Ya Kwamba Jitihada Yake uwanjani inaficha Udhaifu Wake.

Matip Ni Talented lakini Hajitumi uwanjani.

Tatizo la Lovren Ni Moja tu ambalo tunalilamikia kila Siku! Ni Kuwa Lovren Ni Inconsistent! Huwa Hatabiriki Hata Kidogo! Anaweza Cheza Vizuri Mechi 5 mfululizo na Akaja Akawacost Mechi Muhimu Kama Alivyofanya Kwa Spurs, Everton, Seville na Man United.
Sasahivi Tumenyamaza Kwasababu Hatuna Ligi, Subiri Ligi ianze aje atufanyie Manyago uone Kama tutanyamaza.

LOL!!!!!!!!!

Lovren anajua hata kujituma??

he's the most clueless centre back to ever wear a liverpool jersey,

anachojua ni kulazimisha urafiki tu na Star players wa kwenye Club, this time naona kamganda sana Salah.

he's 29, lakini bado kila siku anahangaika kufanya interviews ili kuaminisha watu kuwa ni beki mzuri.

baada ya ile final ya CL, nilicheka sana nilivyoona ile post yake ya kumfariji Karius hahaha, man been making those dumbest mistakes since 2014.

and you know what? Southampton got robbed massively, 75m for VVD? yeye peke yake tu ameibalance back-line yote (props to Rob and Arnold for doing their jobs perfectly too) and now amepewa ulinzi wa Fabinho pale kati.

we signed Lovren when he was 25, but mpaka leo ana miaka 29 na tunadiscuss suala la kwamba anajituma, so strange. VVD is 26 and tayari kishaibalance backline kwa kipindi cha miezi mitano tu aliyochezea LFC.
 
Man, niliona mtu ametweet kuwa Henderson is a better captain for LFC kuliko alivyokuwa SG, sababu yake ni kuwa jamaa anashout sana kwa refs na kupoint a lot. hahahahahaha

Henderson completed only 22 passes against Colombia and had less touches than keeper wao Jordan Pickford, it means Pickford distributed the ball zaidi ya the Controlling Midfield, Henderson but kwakuwa alikuwa anashout sana kwa referee na kupoint backwards kila wenzake wakiwa na mpira, he is a better captain than SG.

tells you a lot, kwanini WIJNALDUM (a number 10 turned into b2b midfielder) was a standout midfielder kwa upande wa LFC against Madrid huku akisaidiwa kupoint na Captain Henderson, whilst a 23 years old SG inspired the greatest comeback in UCL history against a full packed AC MILAN.
 
tetesi zinasema kuwa Fabinho amerequest jersey number 6, number inayovaliwa na Lovren, na mpaka leo Fabinho hana jersey number ni kwasababu eti Club inasubiria Lovren amalize World Cup ndiyo aambiwe rasmi.

nakumbuka when Salah alivyoomba jersey number 11, Firmino alikuwa kambini na Brazil, but alipewa taarifa kwa simu na kukubali mara moja, but kwa Mr. Lovren naona atakuwa analalamika, na wont be long tukianza kuona messages zake zile kule instagram, huwa anapenda sana kuwa victim.

kwanza ameshai-disgrace ile namba vya kutosha, washaivaa watu wa kazi kina Molby, Callaghan, Hansen, Riise na Aurelio (fans favorite player lol), inatakiwa irudi kwa fundi time hii, Fabinho.
 
Xherdan Shaqiri will be a good signing. he is 26 and not bad for a back up player. at least tutakuwa na mtu reliable kutokea bench this season.

i moan a lot, but lets face it we are not Man city, we cant spend big kwaajili ya back up players, Fekir together with Shaqir ni two good signings.

we need a Keeper and a CB too, but if we wont sign a first choice keeper, i'd rather we spend big on a young CB, nimeona news the other night kuwa everton are in talks with Barca kwaajili ya Yerri Mina, and Barca are open to sell for 24m, think we should try for him, a very long term solution, we need to strengthen our backline, if not a top top top Keeper then we should go for a top top top young CB.
 
Man, cant wait to see Naby and Fabinho in action,

wanaweza wakachukua muda kidogo kugel, but who cares?
 
Main man Edwards madness after the World Cup??

needed man.
 
Xherdan Shaqiri will be a good signing. he is 26 and not bad for a back up player. at least tutakuwa na mtu reliable kutokea bench this season.

i moan a lot, but lets face it we are not Man city, we cant spend big kwaajili ya back up players, Fekir together with Shaqir ni two good signings.

we need a Keeper and a CB too, but if we wont sign a first choice keeper, i'd rather we spend big on a young CB, nimeona news the other night kuwa everton are in talks with Barca kwaajili ya Yerri Mina, and Barca are open to sell for 24m, think we should try for him, a very long term solution, we need to strengthen our backline, if not a top top top Keeper then we should go for a top top top young CB.


Baada Ya deal la Allison na Oblack kutokuonesha dalili za Kufanikiwa, Ni Wazi Kuwa Karius ataendelea Kuwa Our first choice GK katika season hii. Najaribu Kujiaminisha Kuwa Bado Nampa Nafasi (Second Chance) Msimu huu Wa Kuweza Kutuprove wrong.

Kuhusu CB pia Kuna uwezekano Wa Kutokuwa na Signing yoyote Kwani Tukumbuke Kuwa Long term solution ya Klopp Ni Joe Gomez katika CB. But it depends na kile atakachomuonesha Klopp this pre-season.
 
Lovren anavaa hiyo jezi namba 6 hadi kwenye timu ya taifa. Inaonekana anaipenda hiyo jersey kuliko zote pengine labda kabla ya ubeki alishakuwaga kiungo wakati wa nyuma, siunajua kuna wachezaji wameshacheza namba nyingi
 
Coach nguli Zlatko Dalic anampa Lovren dakika 90 tena akiwaacha nyumbani wachezaji kibao lkn Lovren sio tu anamchukua bali anaanza
Vedran Corluka,Josip Pivaric,Tin Jedvaj na wengineo weeengi hawa wanachezea teams kubwa sana Ulaya lkn wanasubiri kwa Lovren!
Coach nguli Klopp anampa Lovren sio tu anampa jezi bali anaanza!
Lkn ma coach nywele kipilipili wamekaa kwenye smartphones zao wanamponda kama vile wao wanajua zaidi ya akina Dalic wanao mpa Lovren dakika 90!
Kweli maajabu hayataisha ktk dunia hii
I will defend our famous jersey kutoka kwa wadharirishaji wa wachezaji wetu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom