Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Tayari Huko Bobby Ameshatupia Kamoja Kwa Brazil...
Katika Michezo Yote 3 aliyocheza Bobby basi Ukifanya Majumuisho Dakika Zote alizocheza Hazifiki 45.
Lakini Jesus amecheza Michezo Yote 4 na Kutoambulia Hata goli la Kuotea.

Halafu Kuna Watu Wanataka Kutuaminisha Kuwa Eti Jesus Ni Bora Kuliko Bobby..

Naamini Bobby angelipewa Muda Wa Kucheza anaopewa Jesus basi angelikuwa na Zaidi Ya Magoli 4.

Ila Chuki ya Wabrazil Ni Kwasababu Bobby aliibukia Ulaya Bila Ya Kucheza Vilabu vya Brazil ndiyomana Wanamthamini Zaidi Jesus waliyemlea Wenyewe.
 
Tayari Huko Bobby Ameshatupia Kamoja Kwa Brazil...
Katika Michezo Yote 3 aliyocheza Bobby basi Ukifanya Majumuisho Dakika Zote alizocheza Hazifiki 45.
Lakini Jesus amecheza Michezo Yote 4 na Kutoambulia Hata goli la Kuotea.

Halafu Kuna Watu Wanataka Kutuaminisha Kuwa Eti Jesus Ni Bora Kuliko Bobby..

Naamini Bobby angelipewa Muda Wa Kucheza anaopewa Jesus basi angelikuwa na Zaidi Ya Magoli 4.

Ila Chuki ya Wabrazil Ni Kwasababu Bobby aliibukia Ulaya Bila Ya Kucheza Vilabu vya Brazil ndiyomana Wanamthamini Zaidi Jesus waliyemlea Wenyewe.
Bobby kucheza Dakika 37 tu kuna mwingine anacheza Dakika zaidi ya 300 hata goli la offside hana hahaha
 
Tayari Huko Bobby Ameshatupia Kamoja Kwa Brazil...
Katika Michezo Yote 3 aliyocheza Bobby basi Ukifanya Majumuisho Dakika Zote alizocheza Hazifiki 45.
Lakini Jesus amecheza Michezo Yote 4 na Kutoambulia Hata goli la Kuotea.

Halafu Kuna Watu Wanataka Kutuaminisha Kuwa Eti Jesus Ni Bora Kuliko Bobby..

Naamini Bobby angelipewa Muda Wa Kucheza anaopewa Jesus basi angelikuwa na Zaidi Ya Magoli 4.

Ila Chuki ya Wabrazil Ni Kwasababu Bobby aliibukia Ulaya Bila Ya Kucheza Vilabu vya Brazil ndiyomana Wanamthamini Zaidi Jesus waliyemlea Wenyewe.
... Hata hivyo Jesus alikufa kwa ajili ya dhambi za watu wote tukombolewe,, waelewe tu Wabrazil
 
Tumerudi hewaniiii!
Daah walio ifanyia figisu JF watu wabaya sana!
Fekir news zimerudi tena!
 
Kaenda kwa mbwembwe na vi danadana vyake
Klopp anampa dakika 90
Southgate anampa dakika 90
Wanao jua soka management kuliko sisi wanampa dakika 90!
Wewe umekaa na smartphone yako unamponda Le Capiten Hendo
Maajabu hayataisha duniani kwa kweli
 
Klopp anampa dakika 90
Southgate anampa dakika 90
Wanao jua soka management kuliko sisi wanampa dakika 90!
Wewe umekaa na smartphone yako unamponda Le Capiten Hendo
Maajabu hayataisha duniani kwa kweli
Dakika 90 zinahusiana nini na penati au umepiga faru joni nini upo nje ya topic jipange usianzishe ka mada kako
 
Dakika 90 zinahusiana nini na penati au umepiga faru joni nini upo nje ya topic jipange usianzishe ka mada kako
Kupiga penalty lzm kwanza ucheze
Sasa mchezaji anaye aminiwa tena dakika 120 asiaminiwe kwenye penalty?
 
Klopp anampa dakika 90
Southgate anampa dakika 90
Wanao jua soka management kuliko sisi wanampa dakika 90!
Wewe umekaa na smartphone yako unamponda Le Capiten Hendo
Maajabu hayataisha duniani kwa kweli


Midfielders Za England Zinazoanza Ni:

Hendo
Alli
Sterling
Lingard


Hao Wote Ni Wakawaida tu lakini Waingereza Wanasali asijeumia Hata mmoja.

Wachezaji (Midfielders) Wa Hakiba Wa Timu ya Taifa Ya ENGLAND Ni:

Loftus-Cheek
Rashford
TAA
Jimy Vardy
Eric Dier
Danny Welbeck


Sasa Kwa Mido Hizo Unazani Hapo Henderson anacheza Kwasababu Ni Bora au Anacheza Kwasababu England hawana Mwengine kutokana na Kuwa Wachezaji Wakuokotea?

Kwa Mido Hizo Za Kuungaunga Hapo Hendo Ni Sawa Na Messi.. Lakini Kwenye Uhalisia Hendo Ni Sawa na Adam Salamba.

Usichukue Mchezaji Anaepata Dakika 90 katika Kikosi cha Average Players ukafanya Ni Kipimo Cha Ubora.

Klopp Kama Anamuamini Henderson asingelihangaika na Fekir.

Subiri Season Hii Ujio Wa Fabinho, Keita na iwapo OX atarudi Kuwa Fiti uone Hendo atakapoishia! Mkuu tusubiri Muda tu Time will tell.
 
Midfielders Za England Zinazoanza Ni:


Na Wanaoanza Ni:
Hendo
Alli
Lingard


Hao Wote Ni Wakawaida tu lakini Waingereza Wanasali asijeumia Hata mmoja.

Wachezaji (Midfielders) Wa Hakiba Wa Timu ya Taifa Ya ENGLAND Ni:

Loftus-Cheek
Rashford
TAA
Jimy Vardy
Eric Dier
Danny Welbeck


Sasa Kwa Mido Hizo Unazani Hapo Henderson anacheza Kwasababu Ni Bora au Anacheza Kwasababu England hawana Mwengine kutokana na Kuwa Wachezaji Wakuokotea?

Kwa Mido Hizo Za Kuungaunga Hapo Hendo Ni Sawa Na Messi.. Lakini Kwenye Uhalisia Hendo Ni Sawa na Adam Salamba.

Usichukue Mchezaji Anaepata Dakika 90 katika Kikosi cha Average Players ukafanya Ni Kipimo Cha Ubora.

Klopp Kama Anamuamini Henderson asingelihangaika na Fekir.

Subiri Season Hii Ujio Wa Fabinho, Keita na iwapo OX atarudi Kuwa Fiti uone Hendo atakapoishia! Mkuu tusubiri Muda tu Time will tell.

Sijakuelewa hapo red. Hao ni washambuliaji au viungo?
 
Midfielders Za England Zinazoanza Ni:

Hendo
Alli
Sterling
Lingard


Hao Wote Ni Wakawaida tu lakini Waingereza Wanasali asijeumia Hata mmoja.

Wachezaji (Midfielders) Wa Hakiba Wa Timu ya Taifa Ya ENGLAND Ni:

Loftus-Cheek
Rashford
TAA
Jimy Vardy
Eric Dier
Danny Welbeck


Sasa Kwa Mido Hizo Unazani Hapo Henderson anacheza Kwasababu Ni Bora au Anacheza Kwasababu England hawana Mwengine kutokana na Kuwa Wachezaji Wakuokotea?

Kwa Mido Hizo Za Kuungaunga Hapo Hendo Ni Sawa Na Messi.. Lakini Kwenye Uhalisia Hendo Ni Sawa na Adam Salamba.

Usichukue Mchezaji Anaepata Dakika 90 katika Kikosi cha Average Players ukafanya Ni Kipimo Cha Ubora.

Klopp Kama Anamuamini Henderson asingelihangaika na Fekir.

Subiri Season Hii Ujio Wa Fabinho, Keita na iwapo OX atarudi Kuwa Fiti uone Hendo atakapoishia! Mkuu tusubiri Muda tu Time will tell.
Sasa huyo MESSI bora na wenzake bora wapo wapi WC hii?
Inakuaje Team bora iage na team mbovu ya akina Hendo ibaki?
Mkuu HAUNA POINT hata moja!
Team bora Uingereza yenye viungo bora akina Hendo imebaki mashindano na wanacheza robo final na Swedeen.Period
Hayo mengine ni chuki binafsi zenu tu n zimeshindwa
 
Kwa hiyo unataka kutuambia wakina rashford walicheza dakika 120? ndugu punguza ujinga na ushabiki uchwara.
Nadhani jinga hapa ni ww kumponda mchezaji anayepewa nafasi na makocha wakubwa duniani calibre ya Klopp LKN ww ambaye hujui lolote kuhusu soccer management eti unamponda!
Huwa mnatia sana aibu kujiona ww unajua zaidi ya Klopp kwenye utawala wa soka!
Klopp anampa hadi mechi muhimu!
Southgate anampa hadi mechi muhimu na kupiga penalty juu
Lkn nyie msio jua lolote kuhusu mbinu za soka mnabwabwaja hadi kufikia hatua ya kutaka kumfundisha kazi Klopp na Southgate!
Punguzeni ukocha maandazi,makocha wanao mpa games Hendo wanajua kazi yao kuliko nyie!
 
Midfielders Za England Zinazoanza Ni:

Hendo
Alli
Sterling
Lingard


Hao Wote Ni Wakawaida tu lakini Waingereza Wanasali asijeumia Hata mmoja.

Wachezaji (Midfielders) Wa Hakiba Wa Timu ya Taifa Ya ENGLAND Ni:

Loftus-Cheek
Rashford
TAA
Jimy Vardy
Eric Dier
Danny Welbeck


Sasa Kwa Mido Hizo Unazani Hapo Henderson anacheza Kwasababu Ni Bora au Anacheza Kwasababu England hawana Mwengine kutokana na Kuwa Wachezaji Wakuokotea?

Kwa Mido Hizo Za Kuungaunga Hapo Hendo Ni Sawa Na Messi.. Lakini Kwenye Uhalisia Hendo Ni Sawa na Adam Salamba.

Usichukue Mchezaji Anaepata Dakika 90 katika Kikosi cha Average Players ukafanya Ni Kipimo Cha Ubora.

Klopp Kama Anamuamini Henderson asingelihangaika na Fekir.

Subiri Season Hii Ujio Wa Fabinho, Keita na iwapo OX atarudi Kuwa Fiti uone Hendo atakapoishia! Mkuu tusubiri Muda tu Time will tell.
Hendo au Adam Salamba kama unavyo muita anacheza robo final Jumamosi na Swedeen na LIKELY wanavuka kwenda semis!
Hao viungo unao waheshimu sana akina Messi watakuwa Argentina kwenye TV zao wana angalia
Au hao bora waKo hawakuwepo WC?
Sauthgate au Klopp wanao mpa games Hendo wanajua soccer management mara mamilion kuliko wewe!
Team bora Uingereza ipo bado WC
 
Midfielders Za England Zinazoanza Ni:

Hendo
Alli
Sterling
Lingard


Hao Wote Ni Wakawaida tu lakini Waingereza Wanasali asijeumia Hata mmoja.

Wachezaji (Midfielders) Wa Hakiba Wa Timu ya Taifa Ya ENGLAND Ni:

Loftus-Cheek
Rashford
TAA
Jimy Vardy
Eric Dier
Danny Welbeck


Sasa Kwa Mido Hizo Unazani Hapo Henderson anacheza Kwasababu Ni Bora au Anacheza Kwasababu England hawana Mwengine kutokana na Kuwa Wachezaji Wakuokotea?

Kwa Mido Hizo Za Kuungaunga Hapo Hendo Ni Sawa Na Messi.. Lakini Kwenye Uhalisia Hendo Ni Sawa na Adam Salamba.

Usichukue Mchezaji Anaepata Dakika 90 katika Kikosi cha Average Players ukafanya Ni Kipimo Cha Ubora.

Klopp Kama Anamuamini Henderson asingelihangaika na Fekir.

Subiri Season Hii Ujio Wa Fabinho, Keita na iwapo OX atarudi Kuwa Fiti uone Hendo atakapoishia! Mkuu tusubiri Muda tu Time will tell.
Nataman tusibishane na huyo mtu asee ila ndo kila mtu aonavyo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom