Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,533
- 81,263
Nabil Fekir has refused to give up on a dream deal to Liverpool and had therefore handed in a transfer request.
[@James Pearce]
[@James Pearce]
Khaaaaaa mkuu jamaa anaitwa national team BRAZIL unasema hana kipaji? Huyo martial kama ana kipaji kikubwa angeachwa france?
.....mnanukaa !Una MIMBA nini mkuu?
Wewe una element zote za kuchimbwa tope,itabidi tukuepuke sana usije tuweka majaribuni mwezi huu.........mnanukaa !
Nasubiri FEKIR aingie hapa nachek game ya france mpaka muda huu washagongwa kimoja halftime
kwamba unasubir Fekir aingie...daah

...wewe una kisamvu cha kopo, mwnaharamu !Wewe una element zote za kuchimbwa tope,itabidi tukuepuke sana usije tuweka majaribuni mwezi huu....
HahahaDogo jiheshimu sana,hii ni JF utajikuta unatukana baba zako oooohhhh mama zenu wenyewe hawaeleweki .....shubamitt..mtu mwenyewe jina lako UNABANDULIWA sasa tafuta wakukubandua huko mtaani kwenu....
FT 1-1Hahaaaaaaa
GRIZMAN OUT
FEKIR IN
FRANCE 0 USA 1 70MIN
78' MbappeYap....hata mi nililiona hilo...eti alipogongana na Ramos alipata tatizo lililopelekea wrong vision..huyu kipa bao la Bale la mwisho pamoja na lile la Xhaka Arsenal vs Liverpool 3-3 halitofautiani hata kdogo...bao ni kama lile lile tu na inaonekana ndio udhaifu wake..sasa kama ni hivyo je alipata wrong vision pia ktk mchezo dhidi ya arsenal???...jibu ni kuwa hafai kuchezea timu kubwa..
Yani Sipati Picha Namuona tena Captain Mjinga Hendo Huyo anakuja Kutawala Tena Kwenye Midfield...
Mwaka Mwengine unakuja Wa 2018/19 Wa Kuondoka Patupu bila ya Hata Carabao...
This fekir crap has made me sick to my stomach
Merseyside craps would buy an English Muppet for 50m, but wouldn't go for a French Muslim easily
Losing fekir will signal the end of klopp era... He will leave
leta lineup nihakikishe..Habari zako ni za kuokoteza tu!
3-3 na Arsenal golini alicheza kipa Mignolet!
Baoa la 3 la Bale linafanana na jinsi alivyo okoa kizembe mchomo kama huo wa Kolorov dhidi ya Roma!
Get your stats right before to write
ww ndo mchekeshaji....Kichekesho hiki!Klopp haendi popote na anaongezewa mkataba mpya!
Fakir ndiyo mchezaji pekee ana sifa ya kuchezea Liverpool ya Klopp?
Kama yy hajaja basi atakuja mwingine!
KwikwikwikwiiiiKichekesho hiki!Klopp haendi popote na anaongezewa mkataba mpya!
Fakir ndiyo mchezaji pekee ana sifa ya kuchezea Liverpool ya Klopp?
Kama yy hajaja basi atakuja mwingine!
Kwikwikwikwiiii
Wewe ni zaidi ya mahoka
ww ndo mchekeshaji....
Fekir didn't fail medicalKwa hiyo hata aki fail medical bado achukuliwe?
Klopp anajua haya mambo kuliko sisi wote hapa!
Nani alijua kama Salah ata hit?
Nani alijua kuwa front 3 wetu watafunga mabao mengi hivi?
Klopp akimkosa Fekir atamleta mwingine!