Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mashabiki wa Liverpool na hata kocha wao walikuwa COCKY sana badala ya kuwa confident. Hatukusikia majivuno yoyote toka kwa upande wa Real Madrid.
Liver walikuwa wako bize na misemo kama champions ligi iko ktk dna yetu, tunaenda chukua kombe la sita (wanasahau wanaecheza nae ana vikombe 12 na ndani ya miaka 4 kachukua mara 3), huku Tz nako kila ukikutana nao ni kelele tu hata humu jf.
Sasa mkae kimya, mpira hauchezwi midomoni.
 
Pole sana...
 
Kama liver mmajifunza nini?? Akitoka Salah mnakiwa timu ya kawaida sana. Firminho ktk ule utatu, hana impact ktk kubeba timu. Ana goli 10 nae ila goli nyingi alizofunga ni timu tayari ilikuwa ktk winning position. Jana baada ya Salah kutoka, Mane alijitahidi kubeba timu ila ilikuwa nzito, haibebeki.
 
Pressure ipo kichwani pia, pia alichofanya Benzema ile ni literally pressing!
 
Tofauti ya Real na Liver, Ronaldo akipotea Bale anaamka. Liver, Mo Salah akipotea timu nzima inapotea.
 
Season Ya 2017/18 imeshamalizika:

× NO TROPHY

√ ONLY IMPROVEMENT

× NDANI YA MISIMU 3 YA LIVERPOOL, KLOPP AMESHAPOTEZA FAINALI 3 MFULULIZO.

LEO NAJIRIDHISHA KUWA KLOPP KWENYE FAINALI HATA ACHEZE NA NJOMBE MJI BASI ATAPOTEZA.
mkuu upo sahihi Klopp alishasema haijalishi matokeo jana yatakua vipi ila the boys have "enjoyed themselve" kufika fainali....nadhani mentality ya Klopp wakati wa ku prepare hawa wachezaji siku ya fainali ndio tatizo hapa...asipobadilika tutaishia kufikaga fainali na kuchapwa...sijui ile sub ya Lallana aliwaza nini pale maana alichemka...Lallan is tired msimu huu alivyopata nafasi naona yupo kama headless chicken...
Jana ile sub ya Salah ilitakiwa Solanke, Can au Ings na wabadili mfumo Firmino acheze nyuma ya front three...
kwa kweli EXPERINCE MATTERS kwenye football....YNWA
 
Pressure sio lazima ushambulie kwa nguvu unapomuona mbele yako mshambuliaji mwenye UEFA 3 unapata taharuki na Hali ya kutokujiamini inayopelekea kurusha mpira karibu alipo na yeye anajua anachofanya kabla refa hajaweka Kati benze anashangilia Henderson anafikiri sio goli analalamika ndg pressure ndio hizo Robertson & Anord hawajawai kuona haya ndio maana dogo Roby alikuwa mkali kinoma alipofanya block ya CR7
 
kabisa...ila huyo
Mmefungwa na Real Madrid, sio Bale.
CR7 amedhibitiwa.....maaana vibanda umiza mkuu angetufunga huyo kusingekalika..kabla ya mechi ilikua ooo nyie hamna beki wa kumzuia CR7 atawafunga nyingi...kumbe super Sub ndio kaja kufanya yake na hatimae Madrid kushinda...CR7 nyuma yake wapo mashabiki waleeee wa mashetani red waliosema ni bora kufungwo FA kuliko Liverpool kuchukua Uefa....
 
Njia waliyopitia ilikuwa laini Sana, wakijiaminisha kwa wapo vizuri zaidi kumbe kumbe hollaaa
Sasa mkuu timu kufika hadi fainali unasema ni bahati kweli??
Kwenye falsafa hakuna kitu kinachoitwa bahati keep it up.
Unatakiwa pia ukumbuke kuwa hii ilikuwa fainali hivyo mshindi alitakiwa apatikane mmoja tu si vinginevyo, na mpira wa miguu ni mchezo wa makosa, hapa ndipo ilipotoka kauli kwamba one mistake one goal.
Wakati mwingine watu wakijawa na chuki hata uwezo wa kufikiri haupo.
 
Muda mwingine unahitaji Top class Player to show class Karius atupishe
 
Kipa wako kidogo utamlaumu labda goli la kwanza na chakushangaza yy na wachezaji wenu wote walionekana kushangaa na kulak am ka wakidhan jamaa alikuwa offside, lapili la pili utawezaje kumulaumu ile tiktaka ilivopigwa kwa ustad mkubwa,na latatu utamulaumu vp wakati kitu kilifika dizain ya kombola.!! Tukubali tu mkongwe atabaki kuwa mkongwe mlivokutana na City 100% binafsi nioiamin mtapiga maana kombe hili lina wababe wake na City hana uzoefu nalo tofaut na nyie na ndokilichotokea,kwahiyo ata jana ni uzoefu ndoumezidiana sababu ata fowad wenu watatu kiuchambuz walikuwa na sifa zaid ya fowad wa Madrid lakin uzoefu ndouliwaangusha km uliona Salaah aliumia vip bas utaelewa namanisha nn ninapoongelea uzoefu.Pili Clop apaswi kabisa kulaumiwa angalia timu yenu aliikuta wap na anamda gani lakin bado kaingia final 2kubwa Uropa na Uefa em mpeni mda kwangu mm Crop still ni kocha bora still pesa alovuna inamtosha kuimalisha kikosi.
 
Kuwa appreciative basi mkuu,

Klopp ni kocha bora aliekuja Liverpool, performance ya leo ilikuwa nzuri ila majeruhi ya Salah yanaweza kuwa ni sababu kubwa ya kupigwa leo
Hata nami ndicho nilichokiona kwa sababu hata Madrid ilikuwa inapanda kushambulia kwa kiasi kidogo sana ila baada ya Salah kutoka ndipo kazi ilipoanzia kwa Madrid.
 
Hata nilipokuwa jana mwanzoni mwa mchezo kila chenga mashabiki wa Liver wanashangilia
 
Alianza Slow au alikuwa ameshindwa kumzuia Liverpool asiuchezee mpira?
Huo ndio ukweli Madrid alishashindwa kumdhibiti Liver tangu mwanzo wa mchezo kabisa sema ndo hicho baada ya Salah mchezo ukabadilika si wachezaji, kocha, mashabiki wala waangaliaji wa kwenye TV wakawa disappointed..!!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…