Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool always concede goals regardless who they play against, no matter how their offence is clinical in front of goal, the defence somewhere somehow go to sleep, this will darely cost them!!

Najua mtu wa liver atabisha!!
 
Hongera kwa refa pia
Fafanua Mkuu..

Ili watu wapate hilo unalotaka kulifikisha hapa.

Mimi nilikuwa nawasilisha mechi ilivyokuwa kama lakuongezea basi waweza ongezea itapendeza.

Karibu!!!
 
Liverpool always concede goals regardless who they play against, no matter how their offence is clinical in front of goal, the defence somewhere somehow go to sleep, this will darely cost them!!

Najua mtu wa liver atabisha!!

Hatubishi Liverpool imeconcede Katika Mechi Zote Mbili Za Nusu Fainali (1st & 2nd Legs)!

Honestly Tuambie na Nyinyi Real Ni Mechi ipi muliyotoa Clean Sheet Katika Zenu Mbili Za Nusu Fainali?
 
Wakuu nawasalimu. Sio kwamba sifuatilii yanayojiri... nafuatilia sana. Ila haka kaugonjwa ka presha dokta alinishauri nijitenge sana na mambo yanayonipa presha.

Hii timu yetu nilikuwa siipi nafasi hii... nilikuwa naihofia sana. Nimekuwa mtu wa kusubiri matokeo then nafuatilia mechi baadaye.... (mambo ya kujali afya). Natamani niende kinyume na ushauri wa daktari... niiangalie fainali live lakini naogopa. Naipenda Liverpool na wakati huohuo nayapenda maisha yangu kwa ajili ya wanangu...

Liverpool don't kill me yoooooo..... igweeeee...
 
Wanasema GOOD OFFENSE WINS YOU MATCHES, but GOOD DEFENCE WINS YOU TITLES. There is a title on the line here buddy!!
oh really, check ua stat properly n u il see how em the White Army have a weakness.....what a game forget abt "wanasema" the fact tumeingia fainali is damn so cool, how u wish ua team could have gone this far...mtaaani amani tele...In Klopp we Trust, we cherish you...mnatupa raha kwa kweli
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom