Pongezi za dhati kwa mashabiki wote na wachezaji wa Liverpool na wapenzi wa Liverpool.
Sasa washakata tiketi ya Fainali ya Uefa itakayochezwa katika Taifa la Ukraine ambalo Putin aliweza kujimegea jimbo la crimea mnamo mwaka 2014.
Nsc stadimu kiev-Ukraine 26/5/2018 Real Madrid watamenyana vikali na Liverpool hakika mechi si ya kukosa.
Hongereni Shabiki wote wa Liverpool Jamii forums.
Mpira ni burudani,Mpira ni urafiki na udugu dumisha, Mpira hutuleta pamoja.
Maisha ya faa nini bila soka..??
Usiku mwema wote kwa wapenda soka Jf.