Wapo kimwili akili zote zipo RomaNajua Timu Haichezi Vizuri lakini as long as Wachezaji Wetu Watabaki Salama (Without injury) Basi Naridhika Na Uchezaji Wao
Nadhani hendo atakua hajaumia sanaTukae tukijua Kuwa timu yetu imebakisha Wachezaji 11 tu wakupambana.
1) Karius
2) TAA
3) Lovren
4) VVD
5) Robbo
6) Hendo
7) Gini
8) Milner
9) Salah
10) Mane
11) Bobby
Waliobakia Wote Ni Scrapers ambao Hata Sab Kwenye #CL hawafai.
So, Leo Timu haina Haja Ya Kucheza Kwa Pressure au Kuforce ushindi ili wabaki salama Kwani Akipungua Mmoja tu Kati yao Basi Tumekwisha.
Angalia!.Tukae tukijua Kuwa timu yetu imebakisha Wachezaji 11 tu wakupambana.
1) Karius
2) TAA
3) Lovren
4) VVD
5) Robbo
6) Hendo
7) Gini
8) Milner
9) Salah
10) Mane
11) Bobby
Waliobakia Wote Ni Scrapers ambao Hata Sab Kwenye #CL hawafai.
So, Leo Timu haina Haja Ya Kucheza Kwa Pressure au Kuforce ushindi ili wabaki salama Kwani Akipungua Mmoja tu Kati yao Basi Tumekwisha.
Naheshimu uchwara wakoNyie msipokua makini mtatoka top four
Nyie msipokua makini mtatoka top four
Chelsea akishinda viporo vyake viwili atabakiza point tatu kuwakuta,,na hapo bado hamjacheza nae,,,,,,lakini pia spurs akishinda viporo vyake mnakuwa nafasi ya nne,,Tumeshatoka Kivipi Wakati Tayari Tumeshaingia? Hebu Fanya Calculations Zako Upya Halafu uangalie Answer Mtu Wa 5 ambae Ni Chelsea ana miujiza gani ya Kuingia Top Four.
Piga mahesabuChelsea akishinda viporo vyake viwili atabakiza point tatu kuwakuta,,na hapo bado hamjacheza nae,,,,,,lakini pia spurs akishinda viporo vyake mnakuwa nafasi ya nne,,
Chelsea akishinda viporo vyake viwili atabakiza point tatu kuwakuta,,na hapo bado hamjacheza nae,,,,,,lakini pia spurs akishinda viporo vyake mnakuwa nafasi ya nne,,
Unajua kuwa liver anahitaji kushinda game moja tu kati ya mbili zilizobaki ili abakie top four, na pia kama atadroo na Chelsea anakuwa ameshaingiaChelsea akishinda viporo vyake viwili atabakiza point tatu kuwakuta,,na hapo bado hamjacheza nae,,,,,,lakini pia spurs akishinda viporo vyake mnakuwa nafasi ya nne,,
Chelsea akishinda viporo vyake viwili atabakiza point tatu kuwakuta,,na hapo bado hamjacheza nae,,,,,,lakini pia spurs akishinda viporo vyake mnakuwa nafasi ya nne,,
hizi game 2 (vs West Brom & vs Stoke) ni reality check kuhusu squad depth yetu.Another Disaster!
1-Gomez
2-Hendo
3-TAA
Hawa nao Wameingia Katika Janga la injury Kwenye Game ya Leo.
Source: LFC fitness latest: Trent, Henderson and Gomez