Usihofu hata kidogo tunaenda kuwawashia moto huko huko kwao!Hongereni sana watani Jana mlikuwa motooo ila mmeniudhi kuruhusu hayo magoli mawili, watch out Roma wana roho ya Paka wasije kuwafyeka!!
Shemdarling niko poa kabisa hofu kwako tu.Habali za masiku shemdarling.
Naamini walikusudia kufanya maajabu ya kutufunga pale na ndo mana walikuja mazima kwa mbinu zile walizo mtoa barca wameshindwa tayari.
Wanaweza kama tutapata upungufu wa wacheziji mana hilo tatizo letu kubwa
Mfano umeona alivyotoka Salah tu ikawa nafasi kwao kushambulia
All the best mtaniUsihofu hata kidogo tunaenda kuwawashia moto huko huko kwao!
Khofu ondoa ni dhaifu zaidi ya man city kama uliangalia vizuri utagundua hilo.Shemdarling niko poa kabisa hofu kwako tu.
Huku shemdarling siyo hater kivile nawaombea tu kila la heri atleast muitoe England kimasomaso,am in love with England nimeichoka Hispania kila siku hahahaha!! Haya mie niwatakie kila la heri tu.
Wakuu pengo la Can na Coutno naona hata kabla ya usajili kama halipo vile....yaaani so far so gooood, mwalimu anavyowaelekeza kufanya vijana wetu hawajamwangusha...
kasoro hizi kosa kosa za Mane....game ya Everton Anfield, game ya Westbrom Anfield ya FA na Epl alikosa hivyo hivyo na kua mchoyo wa pasi ya mwisho...
Coutno anasubiri apate medal ya Champions league maana kwa mwendo huu sioni wa kutuzuia, majeruhi wasiongezeke tenaa.
In Klopp we trust....YNWA
mkuu embu niambie roma na barcelona ..mpira wa barca na liver una tofauti ipi, na formation ipi walitumia roma kumuua barca kwa 3 -0 na kumtoa japo walifungwa mechi ya kwanza..je hio formation hawawezi kuitumia hio hio kumuua liverpool kama ina cheza formation sawa na barca..?
Mkuu hii ni liver sio barca kuwa makiniMpira haupo hivyo mkuu,barca alifanywa nn
hii mishahara inabidi ipitiwe upya.
naona humu kuna wezi na pia kuna wanaoibiwa.
Mkuu liver lufunga kwenye mechi ni kama uji na mgonjwa lazimaMkuu hawana uwezo wakutuzuia tusipate goli Italy hao,safu ya ushambuliaji ya Liverpool iko vizuri sana lazima wascore tu.roma out
Hahahahaha mkuu umenipa raha sanaHaha dah wachawi awaiishi yani tupate bao 5 tukose goli la ugeninini labda sio liva hii[emoji119][emoji119]
Mkuu hii ni liverBarca ilikuwaje mkuu??? Hii mijamaa ikiwa kwao usii-underestimate kabisa.
Like wise mkuu nilitamani sana semi final na Madrid hili tuionyeshe dunia sisi ni naniHivi Kwanini Watu Wengi Wameifanya BARCELONA Kuwa Ndiyo Reference Ya [HASHTAG]#UCL[/HASHTAG] Kwa Timu Yetu? Huyu Barcelona Kaanza Lini Kuwa Role Model Wetu?
Acheni Kuifananisha Liverpool na Vitu Vya Kijinga.
Sisi Hatuangalii 2nd Leg Bali Tunachoangalia Final tutakutana nani!!!!!
Mkuu Mimi kwa Mara ya kwanza nabeti laki Mbili kwa laki Mbili anayebisha aweke mzigo Liverpool ndio mabingwa wa Champion league this seasonTulipopangiwa na man city mlisema tushatolewa na tulipo wapiga 3-0 mkadai watapindua matokeo kwao badala yake wakala 2-1 Leo tumeshinda 5-2 bado mnasema tushatolewa acheni unafik Liverpool msimu huu iko vizur na iona ikifika final na pengine kubeba ndoo
Weka kumbukumbu sahihi 38 kwenye champion league only maana mazuzu watasema labda na EPLMkuu hilo hata klopp analijua atakuwa makini tu,ila mpaka sasa Liverpool anastaili kuwa bingwa hakuna mechi aliyofungwa
Mechi ambayo hatuja funga ni na porto tu.
Ila kwa game nilivyoiona leo, tunawatoa hao,wakijifanya kushambulia mechi ijayo nadhani watasimulia kitakachowapata safu ya ushambuliaji ya Liverpool mpaka sasa ina goli 38.
Hivi Liverpool aliwahi lini kupoteza fainali nipe jibuFainali wanaweza kufika kabisa ila kubeba ndoo hawatabeba.
Kocha ambaye hajawahi kuchukua hata champions league mnamwita master class coachNdio wametumia jana wamefungwa hizo goli 5,
Roma out,roma ashinde kwa game plan ipi mkuu?
Roma alienda Anfield kushinda ,katumia plan aliyomfungia Barca akajua atapata matokeo.
Mashabiki ndio waonasema matokeo yatabadilika ila wakina dzeko mpira umeisha wanasikitika Maana hawana uhakika kwa Liverpool kama watapata matokeo wanayoyataka kule Italy,
Roma anashinda Italy kwa game plan ipi?
Klopp ni master class coach ,ukitawala kipindi cha kwanza cha pili anabadilika,hauwezi kutalawa vipindi vyote vya mchezo .
Roma akwenda Anfield kufungwa alienda kushinda ila ndio hivyo Liverpool wako vizuri,
Game ya kwanza roma na Barca,Roma magoli mawili walijifunga na kama uliangalia mechi Roma walikosa magoli wengi sana ya wazi,hiyo tu ilikuwa inatosha kuipa ushindi mechi ya marudiano.