Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,481
- 27,185
Mo Salah has scored in each of his last 6 games for Liverpool.
He’s scored 9 goals and grabbed 2 assists in that run.
He’s scored 9 goals and grabbed 2 assists in that run.
FA nao yule Mmisri mwenye akili mbovu Hegazi hawajamuona?Stuart Atwell Ni referee ambaye Alichezesha Mchezo Wa Jana Kati ya WBA vs Liverpool.
Baada Ya Mchezo Wa Jana #FA imemshusha Hadi Daraja la pili (League Two) ambayo atachezesha Next week.
Na ikumbukwe Kuwa Referee huyuhuyu mnamo Mwak 2012 Kutokana na Maamuzi Yake Mabovu Kwa Timu anazoonekana Kuzichukia Kama Liverpool aliteremshwa Kuchezesha Championship mpaka akarudishwa Tena [HASHTAG]#EPL[/HASHTAG] mwaka 2014/
Moreno,Klavan,VVD na Gomez,Lovren kwa kweli ukimuindoa VVD wengine walikua very inconsistent na walionekana ku panic muda mwingi ku deal na mipira ya kutokea pembeni jana...Ni Kweli Kosa lilianzia Kwa Gomez! Lakini Kosa la Gomez halifuti Kosa la Lovren!
Lovren alikuwa anao uwezo Wa Kucheza hile Set Piece Lakini Udhaifu wake Ni Kuwa Hawezi Kucheza Mipira Ya Juu.
Hii ni kweli ndugu??
Hahaha hivi nyie Roma mnaichukulia kirahisi sana ..ngoja mpigwe nje ndani ndo akili zitakaa sawa.Vijana wamepambana sana kupata sare na WBA sababu mentality yao ni game na Roma
Kupata sare pale sio jambo baya
Roma game inaishia Anfield
Nina uhakika KYIV tunaenda!
Wewe pumzi yako imeanza kukata.
Kops...
Kuna taarifa ya dogo Maddison wa Norwich city nafikiri, kutakiwa Liverpool. Kwa anayemfahamu vema nisaidiwe taarifa zake.
FA nao yule Mmisri mwenye akili mbovu Hegazi hawajamuona?
Hii tayari imepitishwa?