Na Utata Unajitokeza hapa!
√ Wakala Wake pamoja na yeye walianza Mazungumzo Na Juventus akafikia Mpaka Kudai Mshahara anaoutaka Na Buy out Close.
√ Lakini Ghafla Yeye na Wakala Wake Wakastopisha Mazungumzo Yote na Juventus Without any known reason.
√ Siku Chache Baadae Kwa Kujiamini Kabisa Akatangaza Wazi Kuwa Msimu Ujao Atajiunga na Timu Kubwa Zaidi ya Liverpool akimaanisha Hatoendelea Kubaki Liverpool.
√ Siku Chache Kabisa Tukasikia Kuwa Amepata injury ambayo Klopp alisema Ni Tatizo dogo tu hatochezeshwa Mechi yetu na Palace Kama Tahadhari.
Lakini Cha Ajabu Media Zikatangaza Kuwa Emre Hatachezea Tena Liverpool for the rest of the Season.
Maswali Ya Kujiuliza:
1) Kwanini asitishe Mazungumzo na Juventus ambayo yalikuwa yanaelekea ukingoni?
2) Timu pekee iliyofanya Mazungumzo na yeye Ni Juventus na Hawajakubaliana Kitu baada ya Kuwakatalia lakini isitoshe Katangaza Kuondoka Na Kuhamia Timu Kubwa kama Ni ishara ya Kuwa Kuna Timu ameshakubaliana Nayo! Ni Timu ipi hiyo?
3) Na Swala La Msingi Liverpool in Daktari Wake! Lakini Cha Ajabu Ni Mapaparazi Ndiyo Waliovujisha Kuwa Emre Atabaki nje Kwa Mechi Zote za Liverpool zilizobakia lakini Klopp na Madaktari Wa Walishndwa Kuconfirm hilo wala Kucomment chochote Kuhusu Kutopatikana Kwa Emre! Hii Ni Wazi Kuwa Ni Coutinho Style ya Kusingizia injury fake.
Huyu jamaa Ni Wazi Kuwa Kuna Timu Moja Wapo Ndani Ya [HASHTAG]#EPL[/HASHTAG] Man City au Man United ameshakubaliana Nayo lakini Kaamua Kukaa Kimya ili Kuavoid reactions za Mashabiki.