SHERRIF ARPAIO
JF-Expert Member
- Aug 25, 2010
- 9,539
- 5,923
Hii ndio ligi yetu
Mkuu hio ilikua ni game plan ukizingatia Salah mwenyewe hakua fit asilimia 100 ndio maana ili heavy metal futbol hujaiona na pia tulishatanguliza mguu mmoja semi final hivyo leo ilikua ni kumcontrol game kwa faida yetu...Kloooop leo kaonyesha ni mwalimu mzuri maana namna mabeki walivyo cheza kama unit ni ishara tosha wanachofundishwa wanaelewa ,Sane leo offiside kama mvua....In Kloop we trustKwa ninavyoona Mabadiliko yatakuwepo tu.
Haya mambo ya kumwacha SALAH peke ake na kutegemea kaunta ataki ndio yanayosababisha CITY kukaa sana upande wa Liverpool, Liverpool inakuwa kama wanapaki BASI kimtindo.
MANE aje mbele huku.
SALAH akipata Mpira inabidi acheleweshe kwanza kuwasubiri wenzake kwasababu yupo peke ake.
Kipindi cha Pili kimeshaanza.
Chochote kinawezekana
Pongezi sana Liverpool, tukutane nusu fainali
Na hapo next game ako na Spurs.. akiliwa na spurs siku hiyo nakesha bar.....Kuna Kijinyuzi Flani Cha Mnoko Mmoja Kinasema Eti Guardiola Kaja Kuiumbua [HASHTAG]#EPL[/HASHTAG] 😀😀😀
Tani Ya Miezi Mitatu anakula Vipigo Vitatu Kutoka Kwa Liverpool
imetimia Mkuu...Kama nilivyosema, nilishatambika huku kwetu milimani Lushoto,
Kabisaa hapa ni kukomaa kombe la sita litue Anfield..Hii ndio ligi yetu
Nimekubali Kiongozi.Mkuu hio ilikua ni game plan ukizingatia Salah mwenyewe hakua fit asilimia 100 ndio maana ili heavy metal futbol hujaiona na pia tulishatanguliza mguu mmoja semi final hivyo leo ilikua ni kumcontrol game kwa faida yetu...Kloooop leo kaonyesha ni mwalimu mzuri maana namna mabeki walivyo cheza kama unit ni ishara tosha wanachofundishwa wanaelewa ,Sane leo offiside kama mvua....In Kloop we trust
twashukuru endelea kutupenda aisee..Congrats Liverpool. Nimewapenda bure leo. Well done guys!!!
MANE, SALAH na FIRMINO.
Hawa VIUMBE watatu ni Hatari sana
Congrats Liverpool. Nimewapenda bure leo. Well done guys!!!
Mchawi weweMkuu kuna Goli 2, moja la Firminyo na lingine la mwafrika yeyote![]()
Kwa hakika tangu aje VVD upande wa ulinzi umeimarika sana, yale makosa yaliyo tu cost game ya Arsenal, Westbrom,Swansea n.k kwa sasa hayajatokea tenaNimekubali Kiongozi.
Alichokitaka KLOPP kimefanya KAZI.
KLOPP ni Mwalimu Mzuri sana.
Sema Mashabiki wa Liverpool walikuwa wanashindwa kumuelewa.
Mwalimu Mzuri Siku zote mpe Muda kwenye KLABU hata kama mtakua hamchukui MAKOMBE, cha kufanya ni kuvumilia.
MATUNDA Siku zote yanaonekana baadae