Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Wajameni mpira huko ukoje? Maana mie nipo hospital leo namuuguza bro wangu ila mawazo yalishakata passport na kugonga visa kwenda Etihad.
Najua tumefungwa moja, tunashambuliwa sana ama na sisi tunafika golini kwao?
Tunashambuliwa au tuseme typical Man City style....ila Klopp itakua ni game plan kuanza na slow gear kipindi cha kwanza...naamini cha pili goli lipo tumalize kazi Ethad
 
Man City Wanalalamika Kuwa Goli lao limekataliwa! Lakini Wamesahau Kuwa Kabla Ya Kufunga Goli lao la Kwanza Raheem Sterling alimsukuma VVD ndiyo akachukua Mpira.
 
Half time, tumekimbizwa sana. Tusipojiganaizi 45 za mwisho hawa kenge wanaweza kutupiga mbili na kwenda kwenye ET. Sijui kama tutapona. Tuombe Mungu.

YNWA
 
Tunashambuliwa au tuseme typical Man City style....ila Klopp itakua ni game plan kuanza na slow gear kipindi cha kwanza...naamini cha pili goli lipo tumalize kazi Ethad
Kwa ninavyoona Mabadiliko yatakuwepo tu.

Haya mambo ya kumwacha SALAH peke ake na kutegemea kaunta ataki ndio yanayosababisha CITY kukaa sana upande wa Liverpool, Liverpool inakuwa kama wanapaki BASI kimtindo.

MANE aje mbele huku.

SALAH akipata Mpira inabidi acheleweshe kwanza kuwasubiri wenzake kwasababu yupo peke ake.

Kipindi cha Pili kimeshaanza.

Chochote kinawezekana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom