Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Ni kama bahati tu
Maana vimipira vinazungushwa kila mtu anaona lakini vinakuwa ndani ya bakuli la glasi
Mtu anakuwa anachanganya hiyo mipira anachukua mmoja wakwanza kutoka ndio anakuwa nyumbani

Lakini mipira ni michache 8 tu kwa mtu kumpanga na kumark ile mpira ni rahisi kama wao kweli wamepanga wanaweza maana hawatashindwa ,mipira ya Liverpool na man city ilikuwa ya mwisho kabisa.

basi jamaa hawakuwapendelea spain na timu zao kama ni inshu ya bahati
 
sorry lakini,mbona wengi wetu humu tunawalaumu uefa kuhusu timu 3 za spain kutokupangwa against each other kama 2 za england?
Google it mdau, hizi draw zina siri kubwa nyuma yake.. Ila jua sio by chance kwamba timu za Epl kukutanishwa
 
Manchester City won’t be with Aguero in the first leg of the Champions League due to injury.
 
Ni kama bahati tu
Maana vimipira vinazungushwa kila mtu anaona lakini vinakuwa ndani ya bakuli la glasi
Mtu anakuwa anachanganya hiyo mipira anachukua mmoja wakwanza kutoka ndio anakuwa nyumbani

Lakini mipira ni michache 8 tu kwa mtu kumpanga na kumark ile mpira ni rahisi kama wao kweli wamepanga wanaweza maana hawatashindwa ,mipira ya Liverpool na man city ilikuwa ya mwisho kabisa.
Hivyo vimipira vingine vinakuwa baridi na vingine vya moto, kwa hiyo wakati akavizungusha pale anakuwa ameshajua kuwa achukue cha moto au cha baridi, kwa hiyo ni bahati nasibu inayopangwa na wakuu
 
Klopp atampiga Guardiola...believe me.


Inawezekana Tukamfunga Kiulaini Kabisa Hapa Anfield! Lakini issue ipo Kwenye Goal Aggregate ! Si unazijua Beki Zetu za Upande Wa Kulia (TAA/GOMEZ na LOVREN) zilivyo nyepesi!
 
Katika tarehe za game naona umeruka derby yetu na Everton 7/4


Hapo Nahisi Kuna Hali Mbili:

1) Either Tupoteze Top Four ili Tusonge Mbele #CL.

1) Au Tupate Top Four Tupoteze Kwenye #CL.

Kwani Spurs Hana Pressure Ya CL Bali Yeye Ni EPL tu.
Na Chelsea Hana Pressure ya CL Bali na yeye Ni EPL tu.

Bali Sisi Tutakuwa Na Pressure Kubwa Katika Michezo Miwili!

1) Crystal Palace v/s Liverpool 31/03/2018 (Saturday)

2) Everton v/s Liverpool 07/04/2018 (Saturday)

Michezo Hiyo inaweza ikatuathiri Pakubwa Kwenye Kucompete Kwa Top Four Kwani Klopp imbidi Kwenye Michezo Yote Hii Miwili apumzishe Wachezaji Kwa Ajili Ya Kupata Match Fitness ya #CL.
So, Huenda Tukapoteza Michezo hii.

Lakini Klopp iwapo atakazania Hizi Mechi Mbili na Kupanga Vikosi Kamili Bila Ya Kupumzisha Wachezaji ili ashinde, Basi Huenda Tukapoteza Kwa Man City.

Kwani Man City Yeye He is already ameshabeba [HASHTAG]#EPL[/HASHTAG] Kwa 95%, So, Anaweza Kupumzisha Wachezaji Wake bila ya Pressure Yoyote Kwa Ajili ya #CL.
 
Hata tukizungumzia hiyo game ya mwisho mashabiki duniani kote Wa Liverpool waliamini wameshinda hadi refa alipopuliza kipenga team mmemuacha difference ya goal 4 Ila comeback ilikuwa inawezekana zilibaki Kama sekunde tatu yangekuwa mengine. Sasa nakushangaa unakuja kutamba kwa ile game labda uliangalia matokeo livescore ukaona ni ushindi basi ukajua uwanjani mambo yalikuwa mepesi kiasi hicho.


Team hahiwezi kulinda goal lake team mbovu ambayo kwa England mtu yeyote anaweza kuwapiga comeback muda wowote.

Tatizo mkuu hutaki kukubali kuwa Liverpool kwenye safu ya ulinzi ni Kama pazia.
We bwege mpira dk 90 na liver walizitumia hizo dk 90, nani pale england anauwezo wa kumpiga cty goli nne?
 
Hapo Nahisi Kuna Hali Mbili:

1) Either Tupoteze Top Four ili Tusonge Mbele #CL.

1) Au Tupate Top Four Tupoteze Kwenye #CL.

Kwani Spurs Hana Pressure Ya CL Bali Yeye Ni EPL tu.
Na Chelsea Hana Pressure ya CL Bali na yeye Ni EPL tu.

Bali Sisi Tutakuwa Na Pressure Kubwa Katika Michezo Miwili!

1) Crystal Palace v/s Liverpool 31/03/2018 (Saturday)

2) Everton v/s Liverpool 07/04/2018 (Saturday)

Michezo Hiyo inaweza ikatuathiri Pakubwa Kwenye Kucompete Kwa Top Four Kwani Klopp imbidi Kwenye Michezo Yote Hii Miwili apumzishe Wachezaji Kwa Ajili Ya Kupata Match Fitness ya #CL.
So, Huenda Tukapoteza Michezo hii.

Lakini Klopp iwapo atakazania Hizi Mechi Mbili na Kupanga Vikosi Kamili Bila Ya Kupumzisha Wachezaji ili ashinde, Basi Huenda Tukapoteza Kwa Man City.

Kwani Man City Yeye He is already ameshabeba [HASHTAG]#EPL[/HASHTAG] Kwa 95%, So, Anaweza Kupumzisha Wachezaji Wake bila ya Pressure Yoyote Kwa Ajili ya #CL.
Hizi porojo zote Mara za ratiba Mara za msimamo Wa league ni kuficha ukweli na madhaifu yenu. Kuwa mtakufa na mkikaa ovyo mtakufa nyingi.


Nyie ingie uwanjani kukamilisha ratiba ya UCL pamoja na kupunguza aggregate hamna kingine.

Liverpool kufa kwa Man City ni jambo lisilo epukika wala kupingika.




Kila la kheri katika kukamilisha ratiba.
 
We bwege mpira dk 90 na liver walizitumia hizo dk 90, nani pale england anauwezo wa kumpiga cty goli nne?
Kama uliangalia matokeo liverscore Una haki ya kusema hivyo.

Ila ungeangalia mpira vizuri usingethubutu kuzungumzia ile game.
 
Today


Karius, Gomez, Matip, Van Dijk, Robertson, Henderson, Can, Wijnaldum, Salah, Firmino, Mané.
 
Today


Karius, Gomez, Matip, Van Dijk, Robertson, Henderson, Can, Wijnaldum, Salah, Firmino, Mané.


Kwa Mids tulizonazo Sasahivi Basi Hakuna Jambo linalonifurahisha Kama Kuona Combination ya Midfielders hizi HENDO - CAN - GINI
 
Ishu ni points 3 kibindoni kwani ilipoishia game iliyopita ndo tunaanzia pale?


Sikiliza asikusumbue huyo! Unamjua ni Mshabiki Wa Timu gani huyo?

Ni Mshabiki Wa Kile Kigenge kinachoitwa SPURS Kinachohisi Kung'ang'ania Top ndiyo Kubeba Kombe, Sasahivi anastress za Kufungwa na Juventus baada ya Diving Techniques za Kina Lamela, Kane na Delle Alli kushindwa Kufanya Kazi.
 
Naona safari ya matumaini ya wanamajogoo wa London kufika nchi ya ahadi imeishia kwenye jengwa la Man city.
 
Wachezaji Wa Man Ukitoa Aguero ambaye ni injury Basi Waliobakia Si Wazuri Kwa Aerial Kwani Kompany ni Mzuri Kwa Aerial Lakini ni Beki hatokuwa akicheza Cross Bali anacheza Set-Pieces tu (Free Kick and Corner) jambo ambalo [HASHTAG]#VVD[/HASHTAG] ni best Kwa Aerial Kuliko Mchezaji Yoyote pale [HASHTAG]#EPL[/HASHTAG] Kwahiyo ni Rahisi Kumdhibiti.

Kwahiyo Hakutokuwa Na Tishio Kubwa la Mipira Ya Juu.

Sasa Game Yetu Na Man City Ningependa Achezeshwe CLYNE au GOMEZ Lakini Clyne ni bora Zaidi Kwani Udhaifu Wa Clyne na Gomez unafanana ni Kutokucheza na Kuwin zile Aerial Duels jambo ambalo Kwa Kina Sane na Jesus Si tishio Sana.

√ Tukumbuke Kuwa Udhaifu Wa Timu Yetu Si Upande Wa Kushoto (VVD + ROBBO), Bali ni Upande Wa Kulia (TAA + LOVREN/MATIP).

√ Na Ubora Wa Man City ni Upande Wa Kushoto Ambako SANE + SILVA Hata DE BRUYNE ndiko anakokuangalia Zaidi na Ndiyo Asilimia Kubwa ya Magoli ya Man City yanakoanzia Kutengenezwa.


So, itatulazima Kuimarisha Upande Wetu (Mbovu) Wa Kulia (Lovren + TAA) ili kumdhibiti Sane ambaye atampa Kazi Kubwa Sana TAA.
Marekebisho Ya Pekee ni Kumuekea Beki ambaye ni Very Experienced NATHANIEL CLYNE ambaye hatokuwa na Kazi Kubwa Katika Kumdhibiti LEROY SANE.

Hapo Tutaweza Kuwaforce Man City Wapitie Kati Kati Ambapo Watakutana Na Boss VVD na Mchafuzi Wa Mipango Emre Can atakuepo.
 
LIVERPOOL FC are unbeaten in 17 [HASHTAG]#EPL[/HASHTAG] home matches (won 10 and drawn 7).

Scoring at least twice in each of the last 6.

Only Man City ndiyo wanaoongoza Kwa Kuplay more home Matches without Kupoteza than Liverpool.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom