Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool's next 5️

1) Southampton (A)
2) Porto (A)
3) West Ham (H)
4) Newcastle (H)
5) Porto (H)


Kiukweli Hapo Kwenye Mechi Ya SOUTHAMPTON
ni mechi Ngumu Mno Kwetu! Sote tunaomba ushindi lakini Kwa Kawaida Kinachoweza Kututokea Hapo Ni Kudraw au Hata Kufungwa.

Mkuu usiwe na wasiwasi hiyo game tunashinda,game ngumu ilikuwa na burnley yumbani kwao .sasa hivi southampton hakuna kitu vvd hayupo maana ndio alikuwa anatubania.

Southampton hii sio kama ya msimu uliopita
 
Halaf uwendawazim mkubwa ni kumuacha emre aende bayern or juve for free kisa kuendekeza blind faith kwa kina hendo ambao teyar wamefika umri ambao they have no room for improvement..hendo anafika 28 mwakan. Yan uyo keshapeak zamani sana. Emre bado hajafika peak years ataenda kua top player akiwa juve or bayern.pia njia pekee ya kumshawish can asign ni kumpa ile role 6 awe regular... number 8 hawez kuchez vizur consistently hana agility kama ya kina lallana gin...germany national team anachez 6 ndio inamfaa iyo position.
Mueke number 6 game nying mfululizo sio leo 6 kesho 8 haezi kudevelope namna iyo .msim wa kwanz wa klopp emre alivopew number 6 alikua our best mid mpaka akachaguliwa kweny europa league team of th3 year kama number 6... number 8 ana games zake nzur na mbaya...halaf patnership yake na hendo ilishafel toka zaman..hapo anatakiwa kuanza mmoja tu..
 
Hii season ilikua ya kuipgrade both our central midfielders na foward but klopp did neither..i hope he will be in a market for 1 mid and forward in summer...
Tuhope our attack will carry us again this season.. but it is frustrating to think kua kama we signed foward and top midfielders & top golie last January, tungekua real challengers huu msim..but klopp has wasted this season
 
Hii season ilikua ya kuipgrade both our central midfielders na foward but klopp did neither..i hope he will be in a market for 1 mid and forward in summer...
Tuhope our attack will carry us again this season.. but it is frustrating to think kua kama we signed foward and top midfielders & top golie last January, tungekua real challengers huu msim..but klopp has wasted this season
 
sina tatizo na armband ila regular place et no 6 ?

Problem ni Kuwa Hendo sio Naturala No. 6 na Klopp alijitahidi Kumpa Uhuru katika hiyo position Bila ya Kupata Challenge yoyote lakini ameshindwa Ku-Adapt na hiyo Position.

Kwasasa Ndani Ya Liverpool Natural No. 6 ni Emre Can peke yake bado Hajapewa Uhuru Katika Hiyo Position! Nafikiri iwapo atakubali Kuongeza Mkataba na Kupewa freedom ya Kuplay regularly katika Hii position basi ataimaster vizuri tu hii position na Kuweza Kuwa One of the best Defensive Midfielder (almost B2B).
Now ni Wakati Wa Klopp Kufanya Maamuzi Magumu kuwa ni
Hendo au Can..!
Si vibaya Hendo Kurudishwa Katika Position Yake ya Asili ya Attacking Midfielder ili Asubiri FA na Carabao.
 
Problem ni Kuwa Hendo sio Naturala No. 6 na Klopp alijitahidi Kumpa Uhuru katika hiyo position Bila ya Kupata Challenge yoyote lakini ameshindwa Ku-Adapt na hiyo Position.

Kwasasa Ndani Ya Liverpool Natural No. 6 ni Emre Can peke yake bado Hajapewa Uhuru Katika Hiyo Position! Nafikiri iwapo atakubali Kuongeza Mkataba na Kupewa freedom ya Kuplay regularly katika Hii position basi ataimaster vizuri tu hii position na Kuweza Kuwa One of the best Defensive Midfielder (almost B2B).
Now ni Wakati Wa Klopp Kufanya Maamuzi Magumu kuwa ni
Hendo au Can..!
Si vibaya Hendo Kurudishwa Katika Position Yake ya Asili ya Attacking Midfielder ili Asubiri FA na Carabao.
am very impressed with emre Can, proper midfielder and 2000 times better than Henderson
Henderson is shit, uncomfortable on the ball, no killer passes , poor set piece taker, poor leadership qualities,
 
Captain Hendo:
Katoka na Arsenal 0-0 kaumia dakika 90 ikawa 3-3
Hajacheza na Swansea
Vipi na WBA?
Hendo mnamfanya scapegoat tu,tatizo la Liverpool ni zaidi ya Hendo na uzuri ni kuwa Klopp anafanyia kazi mapungufu haya!
 
Captain Hendo:
Katoka na Arsenal 0-0 kaumia dakika 90 ikawa 3-3
Hajacheza na Swansea
Vipi na WBA?
Hendo mnamfanya scapegoat tu,tatizo la Liverpool ni zaidi ya Hendo na uzuri ni kuwa Klopp anafanyia kazi mapungufu haya!


Hata Siku Ya Sevilla Mpaka Half-Time ilikuwa 3 - 0 lakini Mwisho Wa Mchezo ikawa 3 - 3.

Jifunze Kufanya Comparison za Kimpira! Najiridhisha Kusema Kumbe Siku Zote tunazojadili hapa Hujui Tunajadili Nini that is upon negative kwa Kila tulisemealo.

SASA NIKUEKE WAZI TU:
1) Sisi Hatumlaumu Hendo Kwa Kuangalia eti Mechi Fulani Tumefungwa au Kudraw! Sisi Tunacholaumu Huyu Jamaa Hile uwezo hasa Wakucheza Club kama Liverpool hana. Vile vile Hana Sifa za Leadership anapokuwa uwanjani.
Kwahiyo Hata Tushinde 7, 4 au 3 haimanishi Kuwa Hendo kaboreka, Hapana! Bado atabakia Kuwa ni Mbovu tu.
Huyu Next Season ni aibu Kuja Kucheza Mbele ya Keita au Can.

3)
Na kuhusu Jürgen Klopp Ni Kwamba Hakuna Hata Mshabiki mmoja Wa Liverpool aliye na Shaka na Ufundi wake! Sote tunaamini Kuwa Klopp ndiye Kocha Sahihi Wa Kuiongoza Liverpool! Klopp ni Kocha Bora Kabisa pasipo na Shaka Yeyote! Klopp ndiye Kocha Pekee ambaye anaweza Kuirudisha Liverpool pale ilipokuwepo..
Hatumlaumu Kolopp Kwa Ufundi Wake, ila Tunachomlaumu Klopp ni Baadhi ya Sera Zake tu! Kama vile:-

Sera zake Za Kukumbatia na Kuwatetea Wachezaji wabovu:

Hii inapelekea Kutuvunja Moyo mashabiki kwani Sote Tulishuhudia Karibu Michezo 10 ya msimu Huu Lovren alikuwa akifanya Makosa yenye Kujirudia ambayo yaliigharimu Timu na still alikuwa akimuamini na Kumkingia Kifua.

Sera zake za Upangaji Timu:

Ni zile za Kuweka Juu Wachezaji Muhimu katika Mechi Kubwa na Muhimu kwa Kile alichokiita Rotation Bila ya Kuangalia Uzito Wa Mechi yenyewe Kwa Mfano Liverpool vs Chelsea, Liverpool vs Everton e.t.c.

Sera zake Za Uhamisho Wa Mikopo:
Hapa wengi tunamlaumu Klopp Kwa Sera hii Kwani Ni ajabu Kumtoa Mchezaji kama Origi au Strurridge Kwa Kumtegemea Danny Ings na Solanke.

Kwahiyo Mkuu Nakuambia tutu sisi Hatuna Mashaka yoyote na Ufundi Wa Klopp Wala Hatumdharau Klopp, na Tunajua Kuhusu usajili ni si tatizo lake Bali ni Tatizo la [HASHTAG]#FSG[/HASHTAG].
 
Liver msimu huu msipoangalia top 4 hamuingii

Mark my word
 
now, we have a lot of deluded top reds who thinks supporting everything the club does is rightful considered as loving the club so much.

now you have top reds comparing this LFC squad to Barcelona squad. So embarrassing man.

And, Yes Barca/Madrid been buying our players for quite sometime now, but you have to be bright enough to understand that these players (Mcmanaman/owen/Masch/Alonso/Arbeloa/Suarez/Coutinho etc walikuja Liverpool wakiwa ni nothing players, we mould them, develop them and made them into world class players, and after making them into WC players we sold them for higher fees, so tell me club gani ambayo ipo na mtazamo huo na inashinda trophies?, mfano mdogo ni hiyo Barcelona, wakati Madrid wako busy na sera yao ya kununua galaticos, barca were busy moulding kina xavi/iniesta/puyol/valdes/Busquests/pique/Messi etc, also buying young talents like Ronaldinho/Etoo/Alves/Abidal/Villa etc, Barca made this players into world class, the foundation which went to win them countless trophies. Kama barca wangeuza hawa wachezaji kwenye peak zao wangeshinda makombe gani? Hawa kina Etoo/Ronaldinho/Valdes/Villa/Abidal/Keita/Adriano etc waliuzwa baada ya peak zao kushuka/kufikia ukomo but during their world class/peak years barca waliwauza? NO. Pale England mfano tunao kwa Ferguson, created and developed players like Scholes, Giggs, Gary neville, Nick butt, solskjaer, Rio Ferdinand, Vidic, Ronaldo, Berbatov, Carrick, Fletcher, etc these players went on to be world class and won him a lot of trophies. He sold Beckham because of atitude issues in the dressing room, bought Ronaldo in made him into world beater and ended up winning him PL, FA and CL baada ya hapo alimruhusu aondoke in peace and that's why huwezi kuona shabiki yeyote wa United anamchukia CR7.

Barca sold Neymar because of release Clause, na waliweka release Clause ya £200m wakijua hakuna club itakayofikia hiyo Clause, and you know kama Club ikiactivate RC uamuzi unakuwa wa mchezaji, and Neymar used this opportunity kudai mkataba mnono kama wa Messi, Barca wakamwambia aondoke haitowezekana and soon after Neymar left they bought Dembele and now Coutinho as replacements, RC ni mandatory at La Liga, sasa kaangalie RC za kina Dembele/Busquests/Iniesta/Pique/Messi/Suarez etc, juzi baada tu ya kumnunua coutinho waka stamp RC ya £450m to make sure he stays there for a long time.

Nobody gave a shit about Firmino at Hoffenheim, Salah was actually a flop at Chelsea, had to go to Italy to revive his career, now Kopp have turned this players into world beaters, if madrid/barca/Psg/Man City come calling we will sell them for a hefty fee kama ilivyo kuwa kwa Torres/Suarez/Sterling/Coutinho etc na deluded top reds on here will say it's ok because apparently even Barcelona sold Neymar.

Ule msimu wa 2008 tuliowafunga Utd bao 4-1 pale Old Trafford, mwaka mmoja uliofatia kikosi chote kilisambataratika huku kile cha Utd kikibakia the same for more than 5-7 years huku zikifanyika tu additions, but sisi mwaka 2010 (msimu mmoja baadae) tulikuwa na kina jan Poulsen/Jovanovic/Joe Cole/Konchesky etc. Now at one time 4 years ago this club had Suarez/Sterling/Coutinho/Sterling kwenye team now hayupo hata mmoja, huku 4 years ago City walikuwa na Silva/Toure/Aguero/Fernandinho/Kompany/. 4 years later Silva/Aguero/Fernandinho are still starters and most important players (beside De buryne) in their first xi. sasa Imagine adding Firmino/Salah/Mane/Emre/VvD/Keita to a squad ambayo tayari ina suarez/Cou/Sterling? But it's ok because even Barca sold Neymar.

Remember when Wenger used to sell his best players? (Hleb/Flamini/Cesc/Nasri/Song/Rvp/Sagna/Clichy etc) he went 11 years without a single trophy, and suddenly when he decided to keep hold of his best players he went on to win back to back FA cups makombe ambayo LFC haijashinda tangu 2006. But top reds on here will tell you it's ok because this squad apparently is on per with Barcelona and barca are average because they drew with Espanyol yesterday. So embarrassing.

You have nailed it. Sina cha kuongeza.
 
Mnatujazia tu thread kwa maelezo marefuu kujiona kama wao ndiyo wanaijua sana Liverpool tena wanajua kuliko hata JK
Thread ndefu hamna lolote la maana zaidi ya kuitana majina kama huyu anajua huyu hajui!
Liverpool hii ni imara kuliko Liverpool yyt ile ktk modern football na makombe yatakuja!
Hata hizo Barca sijui Madrid kuna miaka tena ya karibuni tu walikuwa wanatolewa na Liverpool wakarudi wakajipanga wakaanza kuchukua UCL
JK ni kocha sahihi kwa Liverpool anaisuka team na makombe yataanza kuja tu!
 
Kocha wa klabu ya Arsenal, Arsene Wenger amelalamika kwamba wachezaji wa Uingereza wamekuwa na tabia ya kujirusha na kutengeneza adhabu. Amesema mchezaji wa Tottenham Dele Alli alifanya kitendo hicho kwenye mchezo wa jumapili huko Liverpool na kusababisha mwamuzi kutoa adhabu ya penalti.
Mchezaji mwingine ambaye anatuhumiwa kufanya kitendo hicho ni Harry Kane, alifanya hivyo kwa mchezaji Virgil van Dijk wa Liverpool na kusababisha mpira wa adhabu

Wenger amesisitiza kwamba anakumbuka kumekuwa na kesi za wachezaji kutoka nje ya Uingereza, lakini wachezaji wa Uingereza sasa wameiga tabia hiyo na wamekuwa vinara wa matukio hayo kuliko wachezaji wengine.
 
Kocha wa klabu ya Arsenal, Arsene Wenger amelalamika kwamba wachezaji wa Uingereza wamekuwa na tabia ya kujirusha na kutengeneza adhabu. Amesema mchezaji wa Tottenham Dele Alli alifanya kitendo hicho kwenye mchezo wa jumapili huko Liverpool na kusababisha mwamuzi kutoa adhabu ya penalti.
Mchezaji mwingine ambaye anatuhumiwa kufanya kitendo hicho ni Harry Kane, alifanya hivyo kwa mchezaji Virgil van Dijk wa Liverpool na kusababisha mpira wa adhabu

Wenger amesisitiza kwamba anakumbuka kumekuwa na kesi za wachezaji kutoka nje ya Uingereza, lakini wachezaji wa Uingereza sasa wameiga tabia hiyo na wamekuwa vinara wa matukio hayo kuliko wachezaji wengine.
Dele Ali alivyojiangusha hapakuwa na penalty. Jaribu kufatilia habari vizuri halafu uilete
 
Quarters and Semis Revealed

Liverpool ikiwa itaitoa [HASHTAG]#FCPorto[/HASHTAG] Katika [HASHTAG]#Round16[/HASHTAG], Basi Kwenye Quarter itakutana either Manchester City or
FC Basel.

Na ikiwa itashunda Kwenye Quarter, Basi Kwenye Semi itakutana na Mshindi Wa Michezo hii PSG/Barcelona and Real Madrid/Basel.

[HASHTAG]#YNWA[/HASHTAG]
 
Liver msimu huu msipoangalia top 4 hamuingii

Mark my word
hakuna lolote la maana uliloongea maana umesema tusipoangalia manake tunaweza kuingia ama tusiingie. Na hivyo ndivyo ilivyo kwa timu zote kuingia top4 au kutoingia top 4 isipokua makini. Sasa cjui hyo kumark your words ni ya nini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom