Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Conte alirithi team nzuri sana Chelsea,wachezaji walimgomea tu Mourihno na sera zake za ku pack Bus.
Pep alirithi team nzuri Man City akikosa tu mabeki wa pembeni kuanzisha mashambulizi
Klopp alirithi team beki wa tegemezi ni Skrtel na Kolo Toure,mbele tunamtegemea Origi!
Sasa ndiyo Klopp ametengeneza team,bado tu kwa kipa kama Karius atazingua atakuja Allison!
Makombe yanaanza kuja Liverpool wala haina wasiwasi
LFC tunataka makombe na Klopp anapaswa awe tayari ame deliver by now. binafsi nitaanza kum back Klopp by 101% pale tu atakapochukua kombe lake la kwanza - potelea mbali hata kama litakuwa la mbuzi!

amepata fursa ya madirisha 4 kutengeneza timu. Lovren (wa BR) bado eti amekuwa "spine" ya backline kwa misimu 2 iliyopita. kweli unahitaji hata nusu msimu kagundua kuwa Hendo hafai kuwa midfield linchpin wa timu inayotafuta silveware kama LFC? really?

solution ya genius wetu - Klavan, Karius, Wijnaldum!
Lord have mercy...
 
Pep tayari ana ndoo ya EPL ndugu.

Kaipata lini?
Pep ana misimu miwili EPL kachukua nn?
Klopp anajua kuliko sisi wote hapa,kamleta VVD hata Lovren na kipa wameanza kuimarika!
Hendo hajacheza mechi kibao bado tukafungwa!Klopp us genius na makombe yataanza kuja
 
LFC tunataka makombe na Klopp anapaswa awe tayari ame deliver by now. binafsi nitaanza kum back Klopp by 101% pale tu atakapochukua kombe lake la kwanza - potelea mbali hata kama litakuwa la mbuzi!

amepata fursa ya madirisha 4 kutengeneza timu. Lovren (wa BR) bado eti amekuwa "spine" ya backline kwa misimu 2 iliyopita. kweli unahitaji hata nusu msimu kagundua kuwa Hendo hafai kuwa midfield linchpin wa timu inayotafuta silveware kama LFC? really?

solution ya genius wetu - Klavan, Karius, Wijnaldum!
Lord have mercy...

Huwezi badirisha team yote msimu mzima!
Klopp ana window tatu sio nne na kila window analeta watu!
PEP yy sio OUT kutolewa na Wigan?
 
Huwezi badirisha team yote msimu mzima!
Klopp ana window tatu sio nne na kila window analeta watu!
PEP yy sio OUT kutolewa na Wigan?
hatutaki longolongo. tunataka silveware.

Klopp anatengeneza team ya makombe - yes.
wenziwe watakaa wanamsubiri?

Pep anasubiri kukabidhiwa EPL May.
One of Pep / Wenger anakamata ndoo mwezi huu.
kuna one of Maureen/Poche/Conte, etc watakamata FA come April.
tunataka Klopp aende Kiev kuchukua ndoo iliyobaki, short of which he has to go!
 
hatutaki longolongo. tunataka silveware.

Klopp anatengeneza team ya makombe - yes.
wenziwe watakaa wanamsubiri?

Pep anasubiri kukabidhiwa EPL May.
One of Pep / Wenger anakamata ndoo mwezi huu.
kuna one of Maureen/Poche/Conte, etc watakamata FA come April.
tunataka Klopp aende Kiev kuchukua ndoo iliyobaki, short of which he has to go!

Sorry mkuu!
Huwa sijadili kitu ambacho hakijafanyika bado!
FA au Caragabao heri nikose nijipange kwa EPL na CL
Mm kwangu EPL na CL ndiyo makombe ta sasa tunayahitaji kabatini
 
Sorry mkuu!
Huwa sijadili kitu ambacho hakijafanyika bado!
FA au Caragabao heri nikose nijipange kwa EPL na CL
Mm kwangu EPL na CL ndiyo makombe ta sasa tunayahitaji kabatini
walau sasa unaanza kuelewa somo - unaongelea makombe. progress.

sasa jiunge nami tuendelee kumchapa bakora Klopp ili akate fasta kiu yako na yangu.
 
walau sasa unaanza kuelewa somo - unaongelea makombe. progress.

sasa jiunge nami tuendelee kumchapa bakora Klopp ili akate fasta kiu yako na yangu.

Mm sijawahi muunga mkono mwana Liverpool anayemtukana Klopp lkn akamsifia Pep na hata Pep nae akiboronga hawezi futa kauli zake!
Hivi unajua price per title kwenye usajili wa Pep?
 
Pep Guardiola OUT
Pep out
Leo katolewa robo final na team ya Daraja la pili Wigan
Pep OUT
Upuuzi mtupu hapa kwa baadhi ya wachambuzi uchwara!
Huwezi kuibeza wigan kwasababu ilipokuwa inashuka daraja kutoka ligi kuu ilishuka na kombe la FA kwa kuwachakaza man city hivyo rekodi hiyo imefanya kazi.
Hiyo timu inaweza fika final na kubeba kombe. Ukweli ndiyo huo.
 
Mm sijawahi muunga mkono mwana Liverpool anayemtukana Klopp lkn akamsifia Pep na hata Pep nae akiboronga hawezi futa kauli zake!
Hivi unajua price per title kwenye usajili wa Pep?
LFC's first priority = silverware
LFC's 2nd priority = silverware
LFC's 3rd priority = silverware
LFC's 4th priority = silverware


LFC's nth priority = silverware

mengine yote ni mbwembwe zisizo na substance!
 
LFC's first priority = silverware
LFC's 2nd priority = silverware
LFC's 3rd priority = silverware
LFC's 4th priority = silverware


LFC's nth priority = silverware

mengine yote ni mbwembwe zisizo na substance!

Silverware beki wako ni Kolo Toure na striker wako ni Rick Lambert?Beki kulia ni Flanagan?
 
Silverware beki wako ni Kolo Toure na striker wako ni Rick Lambert?Beki kulia ni Flanagan?
usichanganye masomo ndugu.
hapa tunamuongelea Klopp ambaye ssa yumo ndani ya msimu wake wa 3 lakini bado ameshindwa kutengeneza balanced team ya ku challenge for silverware.
 
Pep anaongoza kwa kufunga mbona leo katolewa FA Cup tena na team ya daraja la pili?
Mwandishi ni mpiga ramli tu hana lolote la maana!
Then kwenye soka ‘nusura MN City warudishe ndiyo nn’?
...na ndiyo lilikuwa lengo langu, kulaani tabia ya mwandishi kupiga RAMLI kwa kitu ambacho kipo siku za usoni.
 
Mimi nashangaa anabishia nini, kwan Mara ngap salah anafunga na beki zinazembea mpka linarudishwa? Mfano game na chelsea, spurs nk. Angalia magoli tuliyofunga ni mengi sana ila goal difference tunazidiwa hata na man u kisa wenzetu waneruhusu goli chache sana.Sevila kwao tuliwapga tatu wakarudisha, man city tuliwapiga nne nusura warudishe. Lazma kila sehemu iwajibike vilivyo sio kuwaachia washambuliaji tu km kweli tunataka kuchukua vikombe
Tulipocheza na Seville Mo Salah alikuwepo?
 
Sisi ni contenders wa CL...sijui wadau mnataka nini zaidi ya hapo? So far Liverpool ndiyo timu pekee yenye chance kubwa ya kuingia quarter finals baada ya first leg games!
 
LFC's first priority = silverware
LFC's 2nd priority = silverware
LFC's 3rd priority = silverware
LFC's 4th priority = silverware


LFC's nth priority = silverware

mengine yote ni mbwembwe zisizo na substance!

Mkuu kila kitu kinakuwa na mipango iliuweze kufanikiwa,anachofanya klopp kwa sasa ni kutengeneza timu mpka sasa amefanikiwa kusajili wachezaji wake wengi tu,msimu ujao atakuwa na wachezaji aliosajili yeye sasa hapo priority iwe ni silverware ndio itakuwa sawa.in klopp we trust
 
Mkuu kila kitu kinakuwa na mipango iliuweze kufanikiwa,anachofanya klopp kwa sasa ni kutengeneza timu mpka sasa amefanikiwa kusajili wachezaji wake wengi tu,msimu ujao atakuwa na wachezaji aliosajili yeye sasa hapo priority iwe ni silverware ndio itakuwa sawa.in klopp we trust
in the meantime makocha wengine watakuwa wako kwenye comma au? msijidanganye!

tatizo baadhi yenu mnataka Klopp aishi kwenye comfort zone. no f....g way!
@7M quid he's the 4th highest paid coach in the league. Ranieri did for a lot less!!

I won't have faith in him until and unless he lands us a silverware. kwa sasa lazima apigwe pressure kubwa tu hakuna namna.
 
Conte alirithi team nzuri sana Chelsea,wachezaji walimgomea tu Mourihno na sera zake za ku pack Bus.
Pep alirithi team nzuri Man City akikosa tu mabeki wa pembeni kuanzisha mashambulizi
Klopp alirithi team beki wa tegemezi ni Skrtel na Kolo Toure,mbele tunamtegemea Origi!
Sasa ndiyo Klopp ametengeneza team,bado tu kwa kipa kama Karius atazingua atakuja Allison!
Makombe yanaanza kuja Liverpool wala haina wasiwasi
Pamoja na kuwa na hicho kikosi kibovu Rodgers alikaribia kuchukua ubingwa msimu wake wa pili while Klopp yuko msimu wa 3 so far
 
Liverpool’s next 5 games ⬇

PL ➖ West Ham (H)
PL ➖ Newcastle (H)
CL ➖ Porto (H)
PL ➖ Man Utd (A)
PL ➖ Watford (H)

Ony one against Manure is away!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom