usichanganye masomo ndugu.
hapa tunamuongelea Klopp ambaye ssa yumo ndani ya msimu wake wa 3 lakini bado ameshindwa kutengeneza balanced team ya ku challenge for silverware.
i am not kinda person wa kushow my true nature kwenye hizi social platforms because watu wengi hutumia fake IDs, so ili kumaintain that "respect" huwa naamua kujitune ili heshima ibaki pale pale, but trust me, one of my biggest weakness ni "kuchukia watu ambao hawapendi kuwepo na utofauti wa mawazo na fikra kwa kila individual"
but today i want to allow the flow of my true nature, and honestly i think unapoteza muda wako kujaribu kuconstruct reasonable arguments na "a fool", huyo jamaa atakuwa na "autism disorder", ameshindwa kabisa kuifanya akili yake nzito kubadilika kutokana na dhana ya ukuaji wa binadamu, watu wa namna hii huwa wanajiona wapo right kwa kila kitu lakini in reality ni the most ignorant individuals in the world. kwenye hizi arguments zako ni rahisi za kwa mtu ambaye yupo open minded kuelewa kuwa unajaribu kuzichallenge weaknesses za Klopp (whilst admitting kuwa he's a good manager), but jamaa hapo anakazania tu you want KLOPP OUT, this man is an embarrassment.
let me tell you a weird story, back in 2013/2014 season, mimi pamoja na others reds kila siku tulikuwa humu calling for Rodgers head and begging for FSG to hire KLOPP, (mind you, hii ilikuwa ni msimu wa 2014/2015, ambapo kabla ya msimu huu tulikuwa tumetoka kumaliza nafasi ya pili), but these same top reds were telling us Rodgers is a good manager, kwamba katoka kutufikisha nafasi ya pili msimu uliopita kwanini afukuzwe?, na zile execuses kibao kuwa ahitahi muda, and weird enough ni kwa sisi tulikuwa tunamtaka Klopp kipindi ambacho alikuwa na msimu mbovu kule Dortmund, na hawa top reds wakawa wanatuambia humu "huyo Klopp mwenyewe hana jipya huko Dortmund, Rodgers apewe muda" and sadly later kwenye msimu uliofatia wa 2015/16 they jumped on RodgersOUT bandwagon baada ya things kuharibika kabisa, lakini kabla ya hapo tulikuwepo ambao tulikuwa tunamuhitaji Klopp kwa muda mrefu. and now these fools are here quashing everybody opinions on Klopp like they knew what he was made of back in 2014 when we were crying for him.
we wanted Klopp back then kwasababu tulishajua ubora wake, tulishajua anachoweza kukifanya, tulishajua kuwa ni WORLD CLASS MANAGER pekee ambaye anaweza kufanya kazi chini ya policies za FSG, we knew about these staffs long time ago, and these fools probs knew Klopp kipindi kile kwasababu tu alikuwa ni kocha maarufu (kama kina Sarri,Tuchel,Naingelsmann etc) but walikuwa hawajui what he is made of. so when i am criticizing Klopp for his stubbornness au vitu vingine ni kwasababu i know ni manager mzuri kiasi gani, kwasababu i know he's the only manager in ther world that can take this Club to another level if he want to do it RIGHT now. (he's that good). but ukimcrticise kidogo humu unaambiwa we Klopp out, so in this case who should more "Klopp Out", sisi ambayo tulikuwa tunamlilia tangu mwaka 2013, au these ignorant fools ambao walikuwa wanatuponda kwa kumlilia manager "alikuwa anastruggle kwenye easy league kama bundesliga kwa msimu ule" ?. These ignorant fools are so weird man.
now, they will tell you, Klopp inherited a shit team from Rodgers, wakati kipindi hicho wakati Rogders anatupa hela ya Suarez kwa kina Lovren walikuwa wana-msupport kwa makelele kibao, These stupid fools man.
Most of these top reds started to support this club in 2005 after that SG masterclass in Istanbul ndo maana wanaona kawaida Club kuspend more than 12 years huku ikibeba vikombe vitatu tu, rather than reading this club history kwenye internet, they know nothing about the size of this club, they know nothing about the power of this club, and with that being said they dont know the feeling of winning a trophy every season. utasikia wanakwambia tumeanza kushabikia this club tangu miaka ya 80, sasa mtu gani ambaye alianza kushabikia LFC tangu kipindi hicho anakuwa hana njaa ya makombe? kwasababu shabiki wa namna anaijua how LFC ruled europe back then. these top reds huwa wanapenda kuonekana ni wakongwe wa kuishabikia LFC but they useless arguments can tell you wanaijua vipi LFC, and honestly sijawahi kukutana na "an ignorant LFC fan" kama huyo jamaa, he's such a troll.
nakumbuka baada ya KLOPP kufail kushinda fainali zote mbili ule msimu wa 2015/16, kuna reds walimuattack sana humu Klopp, mmoja wapo akiwa ni Tisha toto, nakumbuka tulibishana kuhusu Klopp mpaka ile ishu ikaenda personal (tulivunjiana heshima), because i was defending Klopp and Tisha toto was demanding an immediate impact kutoka kwa Klopp, Aisee things got messier kwenye mabishano, but you know what i came to realize later on?, ni kuwa huyu Tisha toto alikuwa ameshashuhudia kina Barnes and other LFC legends winning trophies for LFC back then, hapo nikaelewa kuwa this man missed his old LFC and most of all missed them trophies, so tulivyoingia zile finals alikuwa atapata ahueni kidogo, thats why tulivyomiss-out he was madly pissed off, and these are kinda reds who have lived LFC for the most of their life you want to associate with, siyo hawa useless bums ambao kila kukicha wanamka kwaajili ya kupiga watu "shades" kwasababu tu they are entertaining their rights to share their opinions on this platforms. our Country ipo katika shit situations in terms of politics, so pale unapoamua kuja kureflesh your mind humu unakutana na fools wenye same mentality kama ya hawa viongozi wetu ya kuzuia watu kuexpress their opinions kwasababu tu zitaumiza feelings. These stupid fools are cancerous.
back then when i had that feud with Tisha Toto, nilimwambia hiki kitu kuhusu Klopp na nitaendelea kuamini hiki nilichomwambia siku zote.