Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

What r comments. Mkuu upo right sana. Napenda sana aina yako ya uchambuzi. Upo deep na unaijua sana liverpool. Bravo mkuu MosDef
Liverpool ipo ktk mikono sahihi ya Kloo.Period!
Haya mengine ni porojo tu
Makombe yataanza kuja Liverpol hilo halina ubishi na waleteni hao Mungu-Mtu wenu Barca au Madrid kama watatoka salama Anfield
Liverpool hii hii ambayo Klopp bado haijaimalizia(DM Keita hayupo na likely kipa Allson hayupo)inamfunga Barca wenu easy tu
 
Hamna comment inayo niuma kama eti ukichanganya Barca vs Liverpool hamna mchezaji wa Liverpool anacheza!Tunatushika sana na majina!
Liverpool 3 frontmen SIWEZI waweka nje kwa mchezaji yyt hapa duniani nasema tena Liverpool 3 men hawawezi wekwa nje na kocha yyt mwenye akili hapa duniani
Liverpool frontmen kafunga bao nyingi kuliko forwards yyt UCL,ikifuatiwa na Neymar-Cavan-Mbappe na hao akina Messi wapo sijui wangapi huko!
Niache watu wanaofunga kila mechi nibadilishane na Suarez sababu ya jina?
Mpira ni stats sio majina!!
 
Liverpool eufa

f25fc65a0cd774fcd92bf2554101f853.jpg
 
Vijana wanapumzika weekends hii tayari kwa game na WHU week ijayi!
Week ijayo Liverpool anakuwa namba mbili kwenye EPL na kuzima critics hapa na kwingineko!
Liverpool anamaliza wa pili EPL kuonyesha kuwa tuna improve kila mwaka
 
Vijana wanapumzika weekends hii tayari kwa game na WHU week ijayi!
Week ijayo Liverpool anakuwa namba mbili kwenye EPL na kuzima critics hapa na kwingineko!
Liverpool anamaliza wa pili EPL kuonyesha kuwa tuna improve kila mwaka
Kinacho nishangazaga mechi inaweza kua ngumu wachezaji waache kubagua mechi kila mechi ni muhimu sana
 
Dah! I'm very sorry to Coutinho! He came from Liverpool's Hero and now he is nothing in Barcelona!
Nimegunduwa Wazi Kuwa Kwa Sasa Hawezi Kuwa Juu ya Messi, Suarez na Iniesta!!!!
Even Position Yake Anayocheza Barcelona basi anacompete na Iniesta.

Ilikuwa kila unapopita anatajwa na Kujadiliwa Coutinho! Lakini sasahivi wapi!!!

The real problem is, He can't fit their Formation with Dembélé coming soon
 
Liverpool in the Champions League this season, and rank:

√ Tackles Won - 127 (3rd)
√ Aerial Duels Won - 117 (3rd)
√ Clean Sheets - 4 (1st)
√ Shots - 133 (2nd)
√ Goals - 28 (1st)
√Key Passes - 101 (2nd)
√ Scored Rating - 7.39 (1st)


27972455_2045783055699178_4985634053545604336_n.jpg
 
Mane na Liverpool wameanza mazingumzo ya kumuongezea mkataba na mshahara mnono hadi 2023!
Mkataba wa sasa wa Mane ni hadi 2021 na Liverpool imeona busara kumpa miwili zaidi na ku double mshahara wake wa pound 80,000 anaopata sasa kwa week!
Salah pia mazungumzo yake yataanza soon kuhusu kuongezewa mkataba!
This is Klopp!!
 
Dah! I'm very sorry to Coutinho! He came from Liverpool's Hero and now he is nothing in Barcelona!
Nimegunduwa Wazi Kuwa Kwa Sasa Hawezi Kuwa Juu ya Messi, Suarez na Iniesta!!!!
Even Position Yake Anayocheza Barcelona basi anacompete na Iniesta.

Ilikuwa kila unapopita anatajwa na Kujadiliwa Coutinho! Lakini sasahivi wapi!!!

The real problem is, He can't fit their Formation with Dembélé coming soon
Coutinho pale Barcelona hawezi kuwa legend, atakuwa mpita njia tu kama akina Deco, Henry and the likes...angebaki Liverpool aongezewe mshahara, he was the legend in the making. Na team ndiyo inaelekea pazuri kwa sasa.
 
Mane na Liverpool wameanza mazingumzo ya kumuongezea mkataba na mshahara mnono hadi 2023!
Mkataba wa sasa wa Mane ni hadi 2021 na Liverpool imeona busara kumpa miwili zaidi na ku double mshahara wake wa pound 80,000 anaopata sasa kwa week!
Salah pia mazungumzo yake yataanza soon kuhusu kuongezewa mkataba!
This is Klopp!!
Ni hatua nzuri kabisa hiyo...hawa vijana itabidi walindwe kwa nguvu zote!
 
Mane na Liverpool wameanza mazingumzo ya kumuongezea mkataba na mshahara mnono hadi 2023!
Mkataba wa sasa wa Mane ni hadi 2021 na Liverpool imeona busara kumpa miwili zaidi na ku double mshahara wake wa pound 80,000 anaopata sasa kwa week!
Salah pia mazungumzo yake yataanza soon kuhusu kuongezewa mkataba!
This is Klopp!!
Klopp is cool but we need a f.....g silverware. that's LFC's DNA!!

Conte has lifted an EPL title in his first season.
Mourinho lifted 2 trophies with Manure in his debut season.
that's what we'll gauge Klopp against... being in his 3rd season with zero silverware is not good enough for LFC.
 
Klopp is cool but we need a f.....g silverware. that's LFC's DNA!!

Conte has lifted an EPL title in his first season.
Mourinho lifted 2 trophies with Manure in his debut season.
that's what we'll gauge Klopp against... being in his 3rd season with zero silverware is not good enough for LFC.


Yap! Na Ndiyomana Huwa ninashangaa Ninapowaona Baadhi Ya Mashabiki Wanafurahia Just Liverpool to be in top four regardless about Trophies!

Liverpool was not born to be Top 4 contender! But to be a Tittle Contender!!!

Even though! Bado Nina some hope na Klopp ya kupata some fruits.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom