+255
JF-Expert Member
- Jan 1, 2012
- 1,939
- 762
2005 - 2018 ≡ 30Its almost 30 years now You Never Won Anything
2005 - 2018 ≡ 30Its almost 30 years now You Never Won Anything
Huyu Lemar habari zake zikoje as per now?Sidhani Kwa Wale Wanaosema Lemar hawezi Kuziba Pengo la Coutinho Kuwa Wapo Sahihi!!!
Kiukweli Hakuna Mchezaji anaeweza Cheza Sawa Na Mchezaji Mwengine!!!
Lakini Mchezaji anayeweza Leta Yale Aliyokuwa Akiyaleta Mchezaji Mwengine Yupo.
As Attacking Midfielder tunahitaji Kuwa na uwezo Wa Kucheza kama Playmaker, Creator, Kutoa Zile Assists Na Kufunga Some Goals (Sifa hizi Zote Lemar anazo)...
Lakini Kumpima Mido Kwa Kupiga Zile Dribbles nyingi basi waweza sema Kweli Lemar Hawezi Ziba Nafasi Ya Coutinho...
Kuziba Pengo la Mchezaji si Lazima Uwe Na Uwezo Kama Mchezaji Huyo! Bali Ni Kufanya Vitu Sawa au Zaidi Ya Anavyovifanya Mchezaji Huyo...
Mimi Naamini Lemar anaweza Fanya Kile Kinachohitajika Kikawa Ni Sawa au Zaidi Ya Coutinho...
Lakini iwapo tu kama tutacount kile anachopaswa Kufanya Kama Score, Assists and Playmaker.
Ikiwa tutahesabu Kupiga Chenga Nyingi basi Hapo hatutapata Mbadala Wa Coutinho.
Ni vicious cycle hata hao kina Keita,Salah,Mane wataondoka na utasema hakuna pengo wameacha,Coutinho anaondoka akiwa tayari amesha-mature tofauti na misimu yote aliyocheza angalia statistics zake kosa ni kumuuza katikati ya msimu while ni ngumu kupata replacement
Its almost 30 years now You Never Won Anything, kama unatengeneza wachezaji then wakifika kwenye peak unawauza its OK but huwezi shinda chochote
CR7 alishinda every domestic Cup akiwa United alivyotaka kuondoka ilikuwa sawa the same to Neymar pale Barca Coutinho possible huu ndio ungekuwa msimu wake bora kuchezea Liverpool
Huyu Lemar habari zake zikoje as per now?
Natamani sana aje huyu kijana...
Naona klopp ameamua anataka kumleta naby keita mwez huu huu na sio dirisha lijalo
wakuu kwa Januari hii binafsi ningependa kuona Klopp akimsajili Lianzini wa Westham, kipa wa uhakika na strika mmoja pengine Surez arudi..
Maana hii pesa ya C10 isipotumika vzuri kwa kweli hata Klopp atachomoka
CR 7 HAYUPO
Juzi tulikuwa tunakulaza bila coutinho ww.Usikimbilie nyuma sana wakati kipute kilipigwa juzi....Watu Wengine Mujue Kupuuzwa!!! Si Lazima NiwaQuote musilazimishe.
Nawashangaa Sana Mashabiki Wa Arsenal Kushadidia na Kulala Katika Uzi Huu Kisa Kauzwa Coutinho!!!!
Hivi Munahisi Kuuzwa Kwa Coutinho Ndiyo Mutasalimika na Zile NNE NNE tunazowatandika kila Msimu???
Nadhani Mumeshasahau Kuwa Msimu huuhuu huu Tuliwatandika 4 - 0 bila Ya Kuwemo Coutinho! Kwahiyo Kuwaadhibu Arsenal Hatuhitaji Coutinho Hata Mwinyi Kazimoto anatutosha Kumpigia 4 Arsenal.
View attachment 671076
mkuu hii rotation ya Klopp kwa zile mechi mbili..mechi ya Everton na Westbrom ndio zimeharibu mipango...January hii haina Haja Ya Kusajili Mchezaji Yeyote! Kikosi Tulichonacho Hakihitaji Midfielder Mpya Kwa Sasa.. Hawa Hawa Kina GINI, LALLANA, CAN na AOC wanaweza Kucheza Na Timu Yoyote Na Tukashinda! Muhimu Kocha tu Awe na Maamuzi Yenye Tija na si personal emotion..
Mabadiliko Yanayohitajika Katika Timu Yetu Ni Mawili tu..
1) KIPA
2) STRIKER
Yaliyobakia Yote Ni Mbwembwe tu.
Ukumbusho tu! FC PORTO imeshinda Michezo Yake Yote 8 iliyopita na Kufunga Magoli 29 Katika Mashindani Yote aliyoshiriki.
So, Liverpool tuwe makini.
Ukumbusho tu! FC PORTO imeshinda Michezo Yake Yote 8 iliyopita na Kufunga Magoli 29 Katika Mashindani Yote aliyoshiriki.
So, Liverpool tuwe makini.
HAYA NI MAWAZO YANGU BINAFSI
Nimekuwa Nikiwaza Siku Nyingi Tokea Aliponunuliwa AOC Kuwa Hivi Ni Kweli Klopp Katoa Katoa £35m Kwa Benched Player?
Sasa Nimepata Jibu Kuwa tokea Last window Coutinho alipoSubmit Transfer Request Klopp alijua Wazi Kuwa Coutinho Ni Lazima Ataondoka...
Sasa Akakimbilia Faster Kumsajili AOC kama temporary replacement in case Coutinho ataondoka January.
So, itakuwa Ni Ajabu Kwa Mtu kama Klopp Kutoa £35m Kwa Mchezaji Kuja Kumueka Benchi!! Lakini Ukweli Ni Kwamba AOC ndiye replacement ya Coutinho.
Kilichobakia Tumuunge Mkono Kocha na Tumsaport AOC iwapo atapewa Nafasi.
Kwani Naamini iwapo atapewa Nafasi ya Kutosha basi ataweza at least Kutupa Kile tunachokitaka.