Yan wewe uefa ushakubali tumeshindwa mapema, Mimi naona bado tunahitaji kiungo mshambuliaji, mwenye uwezo mkubwa wa kucheza no 10 na kutokea pembeni na awe na uwezo wa kupiga mashuti nje ya box, kupiga faulo ni sifa ya ziada na asiwe amecheza uefa mwaka huu ili tuweze kumtumia. Epl maji yashazidi unga ila uefa hatutakiwi kukata tamaaSioni sababu Ya kusajili mchezaji yoyote hii January labda apatikane kipa mzuri tu au Keita
Kwa kikosi hiki wakiendelea Na hii momentum top 4 is very achievable
Tuombe tu ustaadh Salah au Mane wasiumie