Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Game 3 mfululizo za EPL Ndani ya Anfield Tunaishia Kudraw:

1) Liverpool 1 - 1 Chelsea

2) Liverpool 1 - 1 Everton

3) Liverpool 0 - 0 WBA
 
Wenzetu Kina Man U, Chelsea, Man City Kwao Kila Game Ni Fainali na Wanashusha Vikosi Kamili Vya Ushindani! Yeye Klopp Kwanza Yuko Bize Na Kurotate Wachezaji....
Cha Kushangaza Wanaochezesha Vikosi Kamili Wanafanikiwa! Yeye anayerotate Wachezaji Hajawahi Kufanikiwa Kwa Mbinu Yake Hiyo...
 
Unarotate Wachezaji Wakiwa on Fire????? Tena Kwenye Michezo 13 tu ya EPL?

Sijawahi on a Kocha Wa Aina hii isipokuwa Klopp!!!

Unapowarotate Wachezaji walio on fire ambayo Tayari Wanaconsistancy basi Maanayake Unawaondoshea Consistency na Kuwarudisha Nyuma....
 
EPL hakuna timu yenye mashabiki wenye lawama kama liverpool,timu ikishinda jukwaa linajaa watu wanaomsifia klop mara ooho kocha wetu genius,mkimfungwa klop mara anavuta bhangi,mnapenda sana lawama za kijinga.
 
EPL hakuna timu yenye mashabiki wenye lawama kama liverpool,timu ikishinda jukwaa linajaa watu wanaomsifia klop mara ooho kocha wetu genius,mkimfungwa klop mara anavuta bhangi,mnapenda sana lawama za kijinga.
mkuu sio kupenda lawama mbali hii rotation kwa hawa vijana wa Liverpool inatuangusha...kocha japo anataka kushinda mechi zote binafsi naona anachemka kwenye priorities...huwezi kua na mechi za nyumbani aafu upange kikosi kama unatafuta draw huku ukiwa na matokeo ya mechi za team zingine mnazogombania nafasi ya nne bora..
huyu Klopp mkuu ni kiburi cha kwamba yeye ndio boss...
 
EPL hakuna timu yenye mashabiki wenye lawama kama liverpool,timu ikishinda jukwaa linajaa watu wanaomsifia klop mara ooho kocha wetu genius,mkimfungwa klop mara anavuta bhangi,mnapenda sana lawama za kijinga.


Acha Uongo wewe! Sio Unakurupuka Tu Kuandika Alimradi Uambiwe Umechangia!!!!

Hebu Pitia Comments Zetu Humu Uone Kama Tumewahi Kuacha Kumlaumu Klopp Hata Kama Anashinda Goli Saba!!

Bali Tuliwahi Kusema "anaanza Kubadilika" lakini Kumbe Tulimsema vizuri Mlevi!!!

Mimi nahisi wewe ndiye Ungeacha Comment Za Kijinga!!!

Washabiki Wa Liverpool Humu Tupo Makundi Mawili kama Hujui...

1) Kuna Wale Wanaoamini Kuwa "KLOPP NI GENIUS" Hao Wao Hata Klopp Afungwe Michezo 10 mfululizo Wao Bado Wanamsifia Tu na Kumuona Ni Bonge la Kocha! Na Hawa Timu ikiwa inafanya Vibaya Huwa Hawaonekani na Wanapotea Jukwaani...
Lakini Timu ikishinda Mchezo mmoja Tu Ndiyo Wanatiririka hapa na Mijicomments Kibao ya Kumsifia Klopp na Kumwita Genius na Kutusema Vibaya sisi tunaomkosoa Klopp.

2) Na sisi ambao Klopp akishinda au Akipoteza Game Huwa Hatuachi Kumkosoa Kwa Sababu Tunachokataa sisi Ni Falsafa Yake ya Uendeshaji Timu... Kwahiyo Tunajua Wazi Hata Akishinda Mchezo basi atakuja Kuharibu
Michezo inayofuata..

Kwamfano Wiki 2 zilizopita alikwisha Kujenga Timu yenye Consistency, Lakini Kaanza Kuiharibu mwenyewe Kwa Kuwafanyia Wachezaji rotation.

Na sasahivi Timu haina Consitancy tena.

Kwahiyo sio umejizika Huko Hujui mini kinaendelea Kwenye Huu Uzi ukaanza Kupayuka ili uambiwe Mkosoaji hodari...!
Mind your words bro...
 
EPL hakuna timu yenye mashabiki wenye lawama kama liverpool,timu ikishinda jukwaa linajaa watu wanaomsifia klop mara ooho kocha wetu genius,mkimfungwa klop mara anavuta bhangi,mnapenda sana lawama za kijinga.


Kwahiyo Hao Watu Wako Wanaomsifia Klopp Leo Hawapo Wametoweka Kwasababu Hawana Cha Kumtetea!

Leo Tupo Anti-Klopp wakosoaji Wake! Jipange tena Kureply utumbo...

Sisi Tunampa Hongera Klopp Pale Timu inapokuwa na Consistency Kama ilivyokuwa Wiki 2 zilizopita! Lakini Hatumsifii Kushinda Michezo Mmoja Wa Kubahatisha bila ya Consistency...
 
Leo lawama mnamwangushia nani ?

Mane,Salah,Can,Firmino,Coutinho walianza


Mkuu Wewe Ni Mdau Wa Soka Wa Muda Mrefu Unajua Fika Kama Ushindi Ni "Teamwork" .... Na Teamwork inapataka Kwa Consistency tu....

Sasa Liverpool inaporecover from Struggling na Wachezaji Kuwa na Consistency, Basi Klopp anawapangua Kwa mile anachodai eti anawafanyia "Rotation"...

Hatimai Wachezaji Wanapoteza Consistency...

Kwamfano Sadio Mane Siku ya Mechi na Chelsea amabayo Wachezaji Huwa Hawaridhiki Kupoteza points Katika Mechi Kubwa Yeye alimueka Huu Mane na Firmino.. Baada ya Mpira Kumali na Hatukushinda Mane Kamaind...

Na Juzi Everton aliwaweka Juu Coutinho na Firmino... Baada ya Mechi hatukushinda Coutinho Kamaind...

Sasa huu Ni Ujinga Kufanya Unnecessary rotation wakati Wachezaji Wanacheza Vizuri hawajachoka na Sana Consistency...

Ni kweli Jana Tulikuwa na Kikosi Kamili, Lakini Wachezaji Hawana tena Consistency Kutokana na Rotation Zisizo za maana ambazo zinafanya Hile Chemistry ya Timu iliyokwisha Kujengeka Baina ya Wachezaji Kupotea..

Mbona Wenzetu Kila Siku Wanaandaa Vikosi Bora Vya Lusaka Ushindi??

Umewahi Kumuona Klopp Kumfanyia Rotation Hazard? Kante?

Je Man United Munamfanyia Rotation Pogba? Matic? De Gea? Valencia? Lukaku?

Man City G. Jesus? De Bruyne? Sterling? Walker?

Sasa huyu Klopp Kufanya Hizi Unnecessary rotation Kwa Mtu Kama Coutinho, Mane, Firmino, Gini, Can! Kama Si Ukichaa Ni Mini?
 
Katika Kitu Anachonikera Zaidi Klopp na Yule anaemwita Sijui Ndiyo Captain Wake pale washapovuruga Matumaini Yetu na Kushindwa Kutoka Na Points basi Ni Kuja na Kauli Hii!!

"We'll learn from this"....
" We'll make sure it doesn't happen again"
 
Kwahiyo Hao Watu Wako Wanaomsifia Klopp Leo Hawapo Wametoweka Kwasababu Hawana Cha Kumtetea!

Leo Tupo Anti-Klopp wakosoaji Wake! Jipange tena Kureply utumbo...

Sisi Tunampa Hongera Klopp Pale Timu inapokuwa na Consistency Kama ilivyokuwa Wiki 2 zilizopita! Lakini Hatumsifii Kushinda Michezo Mmoja Wa Kubahatisha bila ya Consistency...
technically, kwa kufundisha mpira kwenye EPL, anayemzidi Klopp in Pep Guardiola pekee.

tatizo la Klopp ni mawenge yake. yule ni lazima apate shinikizo kutoka kwetu na legends kama Jammie Carragher, etc ili ukichaa uwe unamwondoka - vinginevyo atatupoteza yule!

unaweza kuwa na binti mzuri kuliko mabinti zako wote - huyu mzuri ndiye pekee haolewi kwa sababu ya tabia yake mbovu.
ndiyo Klopp wetu sasa - he's fine technically lakini yupo completely mentally disordered when it comes to tactics!!
 
kwa kweli Klopp ni shinda sana...sijui anatafuta record ya kocha mwenye Rotation Epl maana sielewi...yaani game ni jumapili mechi inayofuata ni jumatano then mechi nyingine ni jumapili...sasa hapo unahitaji kuwapumzisha wachezaji wa Team A ili iweje...
matokeo yake anipigwa maswali na waandishi wakimuuliza maswali asiyotaka ana panick kwa kweli ni shinda sana kua na kocha mwenye kiburi na asietaka kusikiliza hata wakongwe akina Carrager n.k
 
Mambo yalikuwa magumu kwa Liverpool licha ya kuwashambulia sana wapinzani wao lakini waliambulia patupu dhidi ya West Brom
Liverpool hawajashinda mfululizo katika michezo miwili ya Ligi Kuu ya Ligi Kuu baada ya kutokana sare ya 0-0 na West Bromwich Albion huko Anfield.
Majogoo waliuanza mchezo kwa kasi kubwa kwa kulisakama lango la wageni huku wakitaka kupata goli la mapema.

Robert Firmino alipata nafasi ya wazi katika kipindi cha kwanza lakini umakini wake mdogo ndiyo ulisababisha Majogoo hao wasipate goli la kuongoza.
Westbrom wali jibu mashambulizi hayo kwani Hal Robson Kanu alipata nafasi karibu nyuma ya nyavu lakini mpira ulitoka senti mita chache baada ya kumpita mlinda mlango wa Liverpool Loris Karius.

Pamoja Sadio Mane, Firmino na Phillipe Coutinho kurejea kwenye kikosi cha kwanza baada ya kuanzia benchi katika mechi ya wiki ilihopita, Liverpool bado hakuwa na makali katika eneo la kushambulia ili kusababisha matatizo kwa wageni.
Nyota bora wa Ligi na Liverpool, Mohammed Salah alipata nafasi nzuri lakini alishindwa kufunga baada ya krosi nzuri kutoka kwa Trent Alexander-Arnold lakini alishindwa kupiga kichwa kizuri ambacho kingeweza kuzalisha goli.

Majogoo waliwashambulia sana Westbrom katika nusu ya mchezo huku wageni wao wakifanya mashambulizi machache tu.
Jay Rodriguez alichukua nafasi ya Robson Kanu na Pardew aliafanya mabadiliko hayo kwa lengo la kwenda kuishambulia zaidi Liverpool.
Hata hivyo, Liverpool walidhani wameshinda mechi hiyo katika dakika za mwisho lakini goli alilofunga Dominic Solanke lilikataliwa kufuatia kuunawa mpira kabla ya kufunga
Hadi mchezo unamalizika Liverpool na Westbrom zilitoshana nguvu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom