Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kikosi Chetu Cha Leo:

Karius
Alexander-Arnold
Klavan
Lovren
Robertson
Wijnaldum
Can
Coutinho
Mane
Salah
Firmino

Subs: Mignolet, Milner, Gomez, Henderson, Oxlade-Chamberlain, Ings, Solanke.

Siku ya Mechi Muhimu Kama Chelsea na Everton ambazo alipaswa Kushusha Kikosi Kamili cha Kazi! Yeye aliweka Wachezaji Wetu Bench...
Lakini Game ya Leo ambayo Ndiyo ya Kupumzisha Wachezaji Basi Kaeka Kikosi Kamili..!

Nashawishika Kuuliza Hivi Huyu Klopp anavuta Bangi Za Nchi Gani? 😀 😀 😀
mkuu huyu sio bangi ni German pride na pengine ana bet kama Joy Burton maana kuna kipindi kikosi anapanga kwa kutafuta mashabiki tuongee
Kipa hapo Karius lol kazi ipo
 
Zile big games angeeka kikos kama cha leo.. wachezaj pia wanakua na spirit kubwa sana na game.. but leo naona things aint working.. tusbirie kina Salah watolewe 2nd half.. Maana hata sub nowadayz Klopp hajui kufanya
 
yaani tunakwenda mbele hatua moja na kurudi nyuma hatua tatu...upo uwezekano mpaka mzunguko huu wa kwanua unaisha tukawa nafasi ya nane kwenye mzunguko wa ligi...
Klopp ni majanga wakati mwingine
 
70 mins, timu inacheza hovyo. no substitution.

[HASHTAG]#kloppmanina[/HASHTAG] sana!!!
 
Klopp anatuangusha jamani..two games ndani ya Anfield Fortress zinaisha na draw....kwa kweli hana haja ya kutafuta mchawi maana ndio yeye...
good night dear Reds
 
Concept ya kuweka benchi kina Coutinho that day haikuwa na maana...

Just play them as long as wanacheza vizur.. Every week since august anajarb kikos?!?..

Klopp is foolish sometimes... No plan B mfano kwenye game versus
chelsea
Man u
newcastle
everton
Sevilla(zote mbili)
Spartak Moscow(1st leg)

Mpaka leo WBA wana tu outrun Anfield

Its true huez kushnda game zote.. but haiwezekan all the time anarudia makosa yale yale
 
Alafu na nyie mnakubali kuangushwa? Then malizia basi akisha waangusha anawafanya nini?
mkuu kiburi cha huyu jamaa si cha kawaida...wewe twende tu mashabiki wa Majogoo wa jiji ni wavumilivu ila kikomo kipo asipobadilika safari ya ujeremani ipo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom