Snow imetamalaki Na London pia nimeona BBC newsView attachment 647623
Sio Siri SNOW imekuwa Kubwa Katika Mji Wa Liverpool! Kwahiyo Kuna Hatari ya Game yetu ya Leo Kuahirika...
na Gini nje yaaaani huyu Klopp atakua ana bet sio bure...sisemi hawana uwezo hawa waliopangwa ila du mpaka msimu ulipofika Klopp hana first 11 ya uhakikaHivi huyu kocha anataka kututia pressure. atamweka vipi bench Countinho na Firminho mechi muhimu kama hii na kuwuweka Solanke mtoto ndogo. Na leo tukifungwa wamfungishe virago aondoke aombe Mungu tushinde tu. Eti Chamber na Solanke wanaanza na Countinho bench. Cain pia bench kamuweka Anderson. hebu ndugu zangu wa Liverpool huyu mtu anatutakika kheri kweli.

Hahaha wher is lallana???Kama Muliniangalia Leo toka ilipoanza Game sijaQuote Kumlaumu Klopp mujue nilikuwa na maana.... 😀 😀 😀
Klopp kaamua Kutuchezea Roho Kwa Kubeti...
Ngoja turud ila solanke anazinguaMane Kafanya Uroho Wa Kijinga Na Kutupotezea Nafasi Ya Wazi...