Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Tetesi
Mchezaji Philippe Coutinho amekataa kuthibitisha kuwa atasalia Liverpool mwezi ujao, wakata Barcelona wanaandaa pauni milioni 127 kumpata mchezaji huyo wa miaka 25. (Sun)

↑↑

You Should say ""Amekataa Kuthibitisha Kuhusu Khatma Yake"" Meaning Kuwa "Atasalia au Ataondoka"

↑↑

Nimeleta habari kama nilivyoitoa kwenye vyanzo husika,siwez badili neno nisilo na uhakika nalo

Aliyoyasema Coutinho ni Haya ↓↓

Coutinho didn't help himself in his post-match interviews, quoted by the Daily Mail as saying: "I don't know how the future is going to be. What will happen in January, we will know it in January.

"I do not know if there will be an offer. I am at Liverpool and always do my best, respecting the jersey and supporters. Last summer there was a job offer in the same way that happens with any employee and I was interested.

"Since I stayed, I have played with will and desire. It was a special night due to the result and because I had the armband."

YEYE ALICHOKIELEZEA BAADA YA MECHI NI KUWA HAJAJUA FUTURE YAKE.. NA SI KUWA HAJAIJUA JANUARY...

Angalia Video Uyapate Maneno Yake Halisi Sio Unayochukua Kwenye Mitandao Ya Udaku

 
Sion kama kuna suala la kulumbana hapa na sipo hapa kubishana.
↑↑



↑↑



Aliyoyasema Coutinho ni Haya ↓↓

Coutinho didn't help himself in his post-match interviews, quoted by the Daily Mail as saying: "I don't know how the future is going to be. What will happen in January, we will know it in January.

"I do not know if there will be an offer. I am at Liverpool and always do my best, respecting the jersey and supporters. Last summer there was a job offer in the same way that happens with any employee and I was interested.

"Since I stayed, I have played with will and desire. It was a special night due to the result and because I had the armband."

YEYE ALICHOKIELEZEA BAADA YA MECHI NI KUWA HAJAJUA FUTURE YAKE.. NA SI KUWA HAJAIJUA JANUARY...

Angalia Video Uyapate Maneno Yake Halisi Sio Unayochukua Kwenye Mitandao Ya Udaku

 
Leo tunakua namb 3 na tunapunguza points za ama Man City au Man U ingawa kwa jinsi wanavyo cheza sasa Man City likely wakafungwa!
Sisi tunapaswa kuendelea tu kushinda games zetu bila kujali teams zingine zinafanyaje
Viva Klopp Viva!
 
Weather-chaos-in-December-2010.jpg


Sio Siri SNOW imekuwa Kubwa Katika Mji Wa Liverpool! Kwahiyo Kuna Hatari ya Game yetu ya Leo Kuahirika...


 
Baadhi Ya Facts Muhimu Kuelekea Merseyside Derby
  • Liverpool look to win this fixture at home for a third successive season. Should they do so they will achieve the feat for the first time since 1994.
  • Daniel Sturridge has scored seven career goals against the Blues in total, with four coming in seven games for Liverpool.
  • Twenty seven players have been sent off in Merseyside derby history – nine from Liverpool and 18 Everton players. This after only five in the first 88 years.
  • The last four Liverpool red cards in league matches have come in games they have gone on to win.
  • If the Reds avoid defeat in this match they will equal their club record of 15 derbies without defeat in all competitions - a feat previously achieved from 1972/1978.
  • If Liverpool net at least three today it will be the first time in their history they have achieved the feat in a Anfield derby in three consecutive seasons.
  • Sadio Mane, Philippe Coutinho, Mo Salah and Roberto Firmino have scored 13 goals between them in the last three games - and 22 in the last seven.
  • When all four are on the pitch at the same time the quartet average a goal every 23 minutes.
  • Everton have won two of their last 31 league visits to Anfield. As well as that victory in 1999 they also beat Liverpool on this ground in 1995 with Andrei Kanchelskis scoring both in a 2-1 victory.
  • They have gone 13 games without a league win over Liverpool equalling a record sequence set from 1972/78.
  • Sadio Mane Could Become the first Liverpool Player since Robbie Fowler in 1996 to score in three consecutive games against the Blues If he will score in today's Merseyside derby
  • If Sadio Mane will score in today's Merseyside derby, He will write himself into the history to become the first player EVER – from either side - to score in their opening three Merseyside derbies.
  • If Liverpool will win today's Merseyside derby, Jürgen Klopp will become the first Liverpool boss in history to win his first three fixtures against Everton.
 
Klabu ya Liverpool imeamua kupanua uwanja wake wa Anfield inaoutumia sasa ili kuufanya kuhudumia mashabiki 60,000 tofauti na idadi ya sasa.

Awali uwanja huo ulitengenezwa ukiwa na uwezo wa kuchukua mashabiki 54,074 na ambapo mwaka 2016 upanuzi uliofanyika ulisaidia kuongeza idadi ya mashabiki 10,000.

Hivyo, Mkurugenzi wa Liverpool, Peter Moore alisema iwapo watapewa kibali wanatarajia kuongeza viti 6,000 zaidi ili kufanya idadi ya mashabiki kufikia 60,000.

Nayo klabu ya Tottenham kwa sasa bado inatumia mechi zake za nyumbani kwenye uwanja wa Wembley kutokana na kuendelea na ukarabati wa uwanja wake.
 
24796457_2008020329475451_5559819728491640354_n.jpg


"FAB FOUR" walivyo na hasira ya Nyavu Leo TONI ajipange Kweli Manake Akifanya Masihara 4G itamuangukia....
 
Liverpool watakuwa nyumbani huko Anfield leo kuwakaribisha Everton mechi itakayopigwa saa kumi na moja na robo (11:15 jioni).

Timu hizo zinakwenda kwenye mechi hiyo kila moja ikiwa katika hali nzuri baada ya kushinda mechi zao zilizopita, ambapo Everton ilishinda mabao matatu ugenini kwenye Europa League, huku Liverpool ikimpiga mtu mabao saba kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya.

Mechi nyingine ya leo, Arsenal iliyoshinda BATE 6-0 watakuwa na shughuli pevu ugenini kwa Southampton.
 
Liverpool watakuwa nyumbani huko Anfield leo kuwakaribisha Everton mechi itakayopigwa saa kumi na moja na robo (11:15 jioni).

Timu hizo zinakwenda kwenye mechi hiyo kila moja ikiwa katika hali nzuri baada ya kushinda mechi zao zilizopita, ambapo Everton ilishinda mabao matatu ugenini kwenye Europa League, huku Liverpool ikimpiga mtu mabao saba kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya.

Mechi nyingine ya leo, Arsenal iliyoshinda BATE 6-0 watakuwa na shughuli pevu ugenini kwa Southampton.
Na kweli arsenal wanayo shughuli pevu
 
Hivi huyu kocha anataka kututia pressure. atamweka vipi bench Countinho na Firminho mechi muhimu kama hii na kuwuweka Solanke mtoto ndogo. Na leo tukifungwa wamfungishe virago aondoke aombe Mungu tushinde tu. Eti Chamber na Solanke wanaanza na Countinho bench. Cain pia bench kamuweka Anderson. hebu ndugu zangu wa Liverpool huyu mtu anatutakika kheri kweli.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom