Tatizo Klopp hataki.kumwachia huyu jamaa na hata akipona hamchezeshiNEWCASTLE INAMTAKA STRAIKA WA LIVERPOOL
Meneja wa Newcastle Rafa Benitez anataka kumsajili mshambuliaji wa Liverpool Danny Ings kwa uhamisho wa mkopo dirisha la Januari kwa mujibu wa Evening Chronicle .
Any updates kuhusu wachezaji wetu walio majeruhi? Any one?
Any updates kuhusu wachezaji wetu walio majeruhi? Any one?
Nyie mtakula nyingi sana. Jiandaeni
Kuna uyo Morata ..umemsahau?Kufungwa nyingi na nani?
Kuna uyo Morata ..umemsahau?