Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Any updates kuhusu wachezaji wetu walio majeruhi? Any one?

Wakuu Habari Za Kuaminika Alizoongea Mwenyewe Jürgen Klopo Kwenye Press Conference Ni Kwamba Timu iko Fiti na Mchezaji aliye katika injury ya Muda Mrefu kwa Sasa ni Clyne tu..

√ Hendo Ameshapona na Huenda Leo Akaanza (Though I hate it)
√ Lallana Ameshapona Lakini Klopp Amesema Hatofanya Haraka Kumkimbiliza Uwanjani! So, Huenda Akatokea Bench au Asicheze.
√ Mane Alijitonesha lakini Haikuwa Serious case ila Bado Hakujawa na Uhakika Kuwa Leo atajumuika au laa Kutokana na Klopp Kuchukulia kama ni Precaution dhidi ya Mane Ambaye Mwezi unaofuata tutakuwa na Fixtures Ngumu zaidi ya Mechi kila baada ya Siku 3.
Ila Uhakika Wa Kucheza Kwa Mane Leo utategemea na Ripoti ya Daktari Saa Moja Kabla Ya Mchezo hata kama Atakuwa Ameshajumuishwa Katika Kikosi (sio Line-up)...
× Kuhusu Matip Sijasikia Habari Yoyote (Official News) Ya Kutocheza Mchezo wa Leo..


Adam Lallana could make his return after overcoming the thigh injury that has kept him sidelined since pre-season, while Jordan Henderson is fit again after recovering from a thigh issue of his own.


Philippe Coutinho is also ready after coming through the international break unscathed, but Sadio Mane will be assessed after feeling an old injury while with Senegal and subsequently returning to Melwood early.

Wakuu habari naskia matip atakosa game ya leo?


Liverpool v Southampton: Team news

LFC injury update: Mane, Lallana, Henderson and Clyne latest
 
Dah, Lovren tena! Hivi jamani, Gomez hawezi kabisa kuokoa jahazi? Hatuwezi kumwamini huyu dogo?
 
FIRST HALF:
  • TAA yuko poa..
  • AM yuko poa
  • JH yupo poa
  • BOBBY hayupo katika Form Leo gemu haijamkubali..
  • FC very brilliant..
  • SM yupo katika form yake lakini anacheza kwa tahadhari zaidi kuhofia kujitonesha...
  • MO daima hajawahi kuwa Chini ya Kiwango... Nimegundua Mabadiliko bora Zaidi kwa Sasa kwenye Kulenga Lango! Amekuwa ON TARGET zaidi badala ya OFF TARGET kama alivyokuwa awali..
 
Wabishi Bado Tunaendelea Kuifatilia Liverpool Licha Ya Kuwa Kuna Wengine Wamesusia Timu.

FT:

  • BOBBY kwenye 2nd Half kabadilika na Karudi Kwenye Form..
  • CAN kakamua Fresh tu... Ila Napigwa Na Mshangao Mpaka Sasa Kuona Klopp hana Jitihada yoyote ya Kuweza Kumbakisha... Hivi Kuja Kwa Gini then Keita ndiyo kunamfanya Klopp Amuache CAN aondoke burebure??
 
Tunakuja huku wikiendi ijayo...!!! [HASHTAG]#CFC[/HASHTAG]
 
Tupo vyema sana!
Klopp for life
Chelsea week ijayo anakaa saa 12 asubuhi!
Jumanne tuna qualify CL
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom