Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

22552596_1984678185142999_2135052696869041803_n.jpg
9 goals in his first 12 Premier League games...


8 in his last 6....

14 for the season...

Mo Salah


 
Kwa huu mfumo itakuwa hatari zaidi kwetu mkuu nani atawacover walinzi wetu?


Natural Defensive Midfielders Katika Timu Yetu Ni Wawili tu!

1) EMRE CAN

2) TRENT A. ARNOLD

Lakini wote Klopp Hawachezeshi Katika Position Yao...

So, Kwa Sasa Tuna Fake Defensive Midfielder ambaye Ni J. HENDERSON! huyu ndiye eti anayewacover Mabeki wetu... Ridiculous!
 
Mohamed Salah for LFC:
Games in all competitions: 18

√ Goals: 14

√ Assists: 3

Player Of The Month: 2

√ Goal Of The Month: 2


22552596_1984678185142999_2135052696869041803_n.jpg
 
Kwasasa Sitokuwa na Wasiwasi kwa Kuondoka Kwa Coutinho as long as tunae Mo Salah...
Na Depth la Central Attacking Midfield Lipo Vizuri tu... Gini, AOC na Lallana... Ila iwapo ataondoka Coutinho Ni lazima Klopp Asajili Midfield Kuongeza Depth Coz wa uhakika atakaebakia hapo atakuwa Ni Gini & AOC tu... Kwani lallana Ni Prone injury... Tukiwanae Kwa Michezo 3 tunamkosa Kwa Michezo 12... Kwahiyo si Mchezaji wa Kutegemea! Na umri pia unakwenda..

  • Ila Kuondoka Kwa CAN ni Tatizo Kwa Timu Kwani Jamaa Ukimlinganisha na Umri utakutia bado anayo nafasi Nzuri tu Ya Kuprove na Kuwa Best Midfielder.. So Kuondoka Kwake Kilaini tu Kwa Uzembe wa Klopp I Don't take it as a Fair....
 
* Klopp Kwa Sasa Kabakisha Mambo MATATU tu aweze Kuwa Na Timu Ya Ushindani na Kuteka Nyoyo za Mashabiki...

1) Kuondosha LOVREN na Kuleta TALENTED DEFENDER.

2) Kuondosha HENDO katika Kikosi Cha Kwanza katika Position Ya Defensive Midfielder kwani Hawezi Kuitumikia na Kuwalinda Mabeki.

3) Kuachana Na Mfumo wa Kuchezesha False Striker! Na Baadae Kusajili World-Class au Talented Natural Striker (Traditional No 9).

Akiyafanya Hayo, Basi Kwa Mfumo Wa Klopp Wa Kushambulia Tutaondokana na Tabia Ya KUGOMBANIA TOP FOUR kama Tunavyofanya Sasa na Badala Yake TUTAGOMBANIA UBINGWA...

Hakuna Jambo Linalotuudhi Mashabiki Wakweli wa Liverpool (Sio wale Plastic-Fanboys) kama Kuona Timu Yetu inapigania Top Four kama Tulivyosasa Kwani Huu si utamaduni wetu..

Na Ndiyomana Mashabiki Wa Kongwe Hawaonekani Katika Huu Uzi hatahata kama Timu inashinda Kwasababu Wanaelewa Wazi Kuwa inashinda Kwa Ajili ya Kukimbilia Top Four...

Top Four ni Malengo ya SPURS na ARSENAL ili Wacheze CL
, lakini Sio MALENGO WALA UTAMADUNI WA LIVERPOOL...

UTAMADUNI wa Liverpool ni Kuwa Bingwa..

Na Ndiyomana JÜRGEN KLOPP sote Tunajua Kuwa Ni KOCHA MZURI NA MWENYE MBINU... NA KWASASA NDIYE KOCHA PEKEE ANAYESTAHIKI KUINOA LIVERPOOL...
Lakini Kwanini TUNAMCHUKIA NA HATUMKUBALI, LAKINI HATUTAKI AONDOKE?

SABABU:

  • Ni Kuifanya Timu Yetu iwe inacheza Kwa Kuwania Top Four Kama ilivyokuwa Msimu uliopita, na Msimu Huu pia Tunawania Top Four... Haya Sio Malengo Yetu sisi! Tunachotaka ni Timu Ya Ushindani Kuwania Kombe la EPL..
  • Hatutaki aondoke Kwasababu ukweli usiofichika Atakapoondoka Klopp atakuja Kocha Mbovu ambaye atatuudhi Kila Mchezo! So, heri Tubaki na Klope kuliko Kuja BILLIC, KOEMAN au MARTINEZ. → "LESSER OF TWO EVILS"
MWISHO: Bado Tuna Matumaini Ya Mwisho Kwa Klopp Next Season! Sio Msimu Huu tens..
 
Tupo vyema sana!
Klopp for life
Chelsea week ijayo anakaa saa 12 asubuhi!
Jumanne tuna qualify CL
jana kwa kweli Klopp alipanga kikosi safi sana...walikua wavumilivu sana mpaka Salam anafunga hawakupanick...bii ndio inahitajika mechi zote...Sevila tukimfunga tutakua tumesha qualify mapema...
Chelsi here we come
 
* Klopp Kwa Sasa Kabakisha Mambo MATATU tu aweze Kuwa Na Timu Ya Ushindani na Kuteka Nyoyo za Mashabiki...

1) Kuondosha LOVREN na Kuleta TALENTED DEFENDER.

2) Kuondosha HENDO katika Kikosi Cha Kwanza katika Position Ya Defensive Midfielder kwani Hawezi Kuitumikia na Kuwalinda Mabeki.

3) Kuachana Na Mfumo wa Kuchezesha False Striker! Na Baadae Kusajili World-Class au Talented Natural Striker (Traditional No 9).

Akiyafanya Hayo, Basi Kwa Mfumo Wa Klopp Wa Kushambulia Tutaondokana na Tabia Ya KUGOMBANIA TOP FOUR kama Tunavyofanya Sasa na Badala Yake TUTAGOMBANIA UBINGWA...

Hakuna Jambo Linalotuudhi Mashabiki Wakweli wa Liverpool (Sio wale Plastic-Fanboys) kama Kuona Timu Yetu inapigania Top Four kama Tulivyosasa Kwani Huu si utamaduni wetu..

Na Ndiyomana Mashabiki Wa Kongwe Hawaonekani Katika Huu Uzi hatahata kama Timu inashinda Kwasababu Wanaelewa Wazi Kuwa inashinda Kwa Ajili ya Kukimbilia Top Four...

Top Four ni Malengo ya SPURS na ARSENAL ili Wacheze CL
, lakini Sio MALENGO WALA UTAMADUNI WA LIVERPOOL...

UTAMADUNI wa Liverpool ni Kuwa Bingwa..

Na Ndiyomana JÜRGEN KLOPP sote Tunajua Kuwa Ni KOCHA MZURI NA MWENYE MBINU... NA KWASASA NDIYE KOCHA PEKEE ANAYESTAHIKI KUINOA LIVERPOOL...
Lakini Kwanini TUNAMCHUKIA NA HATUMKUBALI, LAKINI HATUTAKI AONDOKE?

SABABU:

  • Ni Kuifanya Timu Yetu iwe inacheza Kwa Kuwania Top Four Kama ilivyokuwa Msimu uliopita, na Msimu Huu pia Tunawania Top Four... Haya Sio Malengo Yetu sisi! Tunachotaka ni Timu Ya Ushindani Kuwania Kombe la EPL..
  • Hatutaki aondoke Kwasababu ukweli usiofichika Atakapoondoka Klopp atakuja Kocha Mbovu ambaye atatuudhi Kila Mchezo! So, heri Tubaki na Klope kuliko Kuja BILLIC, KOEMAN au MARTINEZ. → "LESSER OF TWO EVILS"
MWISHO: Bado Tuna Matumaini Ya Mwisho Kwa Klopp Next Season! Sio Msimu Huu tens..
mkuu hata kipa anahitajika hawa waliopo sio kiwango cha juu
 
Mashabiki wa ukweli wa Liver, mmeuchambua vizuri sana mpango endelevu wa team yetu.Many claps to you.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom