Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
Goals in first 17 Liverpool appearances:
Mo Salah = 12
Fernando Torres = 11
Luis Suarez = 7
Mo Salah = 12
Fernando Torres = 11
Luis Suarez = 7
Emre is sending a messageGerrard on Can:
"If I was him, I’d sign the deal, the manager that believes in you, you’re a regular & Liverpool have helped him improve."
View attachment 625818
Hii issue ya Can Kuto Kusaini Mkataba Mpya Watu Wanaichukulia Poa Kwa Sababu tu ni everage Player, lakini ukweli ni kwamba ni serious issue Coz Timu Hata Kama itakuwa Na World-Class Players basi na everage Players lazima wawepo kwa Ajili ya Backup!
Tukumbuke Kuwa Natural Position ya Emre Can ni Fefensive Midfielder, So kuondoka Kwake na Kuja Kwa Keita Kutaondosha Kabisa Depth katika Nafasi Hiyo....
Hatutokuwa na Backup badala Yake Hendo atarudi ulingoni kama Kawa..
Pharao sio mtu mzuriGoals in first 17 Liverpool appearances:
Mo Salah = 12
Fernando Torres = 11
Luis Suarez = 7
View attachment 625819
Emre is sending a message
Kumweka Henderson kama DM sio sahihi... kachoka na ubabaishaji wa liverpool set up
Anaenda juve huyuCAN KUONDOKA BURE LIVERPOOL?
Emre Can anaelekea kuwa mchezaji huru baada ya mazungumzo yake na Liverpool kuhusu mkataba mpya kuenda mrama, limedai Daily Mail .
hehehe Bilic si wa level ya Kops side....mafanikio ya timu ni kuleta vikombe sio vinginevyo...kama nae asipoleta hivyo vikombe atambae tu...Atoke Klopp mwakani aje Bilic?
Aje nani sasa?
Klopp hawezi toka Liverpool kwa miaka ya hivi karibuni
hivi Grujic hawezi kua developed awe offensive mildfilder...ishu ya Can imekaa sana mezani mkuu tangu msimu uliopita...ndogo yupo verstile ukimuweka beki,kiungo chochote anacheza poa tu ila sasa kama anahitaji kubaki basi abaki sio kuedelea na mazungumzo haya mpaka mwezi wa sita tena...Mkuu Katika Timu Kuna Kitu Kinaitwa "[HASHTAG]#Backup[/HASHTAG]"...
Sasa timu Yetu Tunamleta Keita! Huyu Keita in case of injury ni lazima Awepo Backup Wake Wa Kucover Nafasi!! Na it is obviously Backup wake ni lazima awe Emre Can! Sasa atakapoondoka Can tutarudi pale pale Backup ya Keita atakuwa ni Hendo... Kwahiyo Mimi Sitapenda Can AonAondoke...
Halafu vile vile Can ataongeza Depth katika Midfield (Central Defensive & attacking)....
Depth ni muhimu sana hasa wakati wa injury... Kwahiyo Keita ni lazima apate msaidizi...
na ndogo angekua na mashuti kma ya Messi mpaka sasa angekua na goli 17...kama mechi ya Ganaz alitakiwa afunge hat trick...akiweka bidii anavyo kimbia na mpira aongeze nguvu kwenye mashuti mpaka msimu unaisha atakua na 20+ kwenye EPL pekeeGoals in first 17 Liverpool appearances:
Mo Salah = 12
Fernando Torres = 11
Luis Suarez = 7
View attachment 625819
Can anataka WC Russia
Akija Lallana anajua atashuka ktk picking order!
Mwache aamue anacho dhani ni sahihi
hivi Grujic hawezi kua developed awe offensive mildfilder...ishu ya Can imekaa sana mezani mkuu tangu msimu uliopita...ndogo yupo verstile ukimuweka beki,kiungo chochote anacheza poa tu ila sasa kama anahitaji kubaki basi abaki sio kuedelea na mazungumzo haya mpaka mwezi wa sita tena...
Grujic Sidhani Kama Kunadalili ya Kisuccess Ndani Ya Liverpool...
Dogo alikuja Na ari Lakini Klopp Kamlet down kwa Kitokumuamini...
Kwavile Timu Yetu Ni Timu Yenye Midfielders Wengi Kuliko Timu Yoyote EPL, sidhani Kama Grujic ana nafasi Ya Kudevelop...
OUR MIDFIELDERS:
- Hendo
- Can
- Gini
- Milner
- Lallana
- Coutinho
- Firmino
- Chamberlain
- Mane
- Salah
- Woodburn
- Grujic
- Keita (Next season)
I think kumweka Ox, Hendo na Gini kama DM ni kosa kubwa kwa KloppCan Ni Miongoni Mwa Wachezaji Waliobahatika Kuwa Regular Player! Kwa Hiyo Haondoki Kwa SababuYa Ubabaishaji! Kuna Mengi Yanayompelekea Aondoke Liverpool..
Moja Wapo Ni Kuwa Benchi la Ufundi Halimpi Priority Katika Mipango yake Ya baadae! Ni wazi Kuwa Katika Long project Ya Klopp Can Hayumo Ndiyomana Hana Ushawishi wowote wa Kumboreshea Mkataba Wake...
Kwahiyo Can Anaondoka lakini Klopp kamnyamazia Kimya Hafanyi Jitihada Yoyote Ya Kumzuia wala Hana Nia Ya Kumzuia!
Last Season Alitofautiana na Wakala Wa Can Kuhusu Release Clause tu Ya Mkataba Mpya basi Klopp akagoma Kumfanyia Marekebisho na Can akashindwa Kusaini Mkataba Mpya..
Kiukweli si Can aliyekuwa Haitaki Liverpool, Bali ni Liverpool Ndiyo Haimtaki Can...
Na sababu Kubwa Ni kuwa Klopp Anahisi Depth ya Average Players Katika Defensive Midfielders imeshakuwa Kubwa...
Kumbuka Katika Mid Hapo Pana Hendo, Gini, Keita na AOC anaweza pia...
So Kahisi Kumbakisha na Can itakuwa Ni Mrundikano tu..
KIUKWELI UJIO WA KEITA NDIYO UNAMUONDOSHA CAN KAMA ILIVYOKUWA UJIO WA GINI ULIMUONDOSHA LUCAS..
PIA KUNA UWEZEKANO MKUBWA AOC AKAMUONDOSHA GINI...
I think kumweka Ox, Hendo na Gini kama DM ni kosa kubwa kwa Klopp
Hendo is not good defensively, Gini is good going forward, Ox is never a DM....
Emre and Keita would offer something better than Keita with anyone else (waliopo kwenye timu)
maybe anamuandaa Grujic kurithi
Otherwise tutakua tumefanya makosa kama yale ya kuuza joe allen tukitegemea hendo ataimprove
Ejaria ndogo kipaji kipo....bsi wamtoe kwa mkopo..si unaona Suso baada ya kwenda Milan kapata nafasi za kucheza nyingi na kipaji kimeanza kuonekana...Grujic Sidhani Kama Kunadalili ya Kisuccess Ndani Ya Liverpool...
Dogo alikuja Na ari Lakini Klopp Kamlet down kwa Kitokumuamini...
Kwavile Timu Yetu Ni Timu Yenye Midfielders Wengi Kuliko Timu Yoyote EPL, sidhani Kama Grujic ana nafasi Ya Kudevelop...
OUR MIDFIELDERS:
- Hendo
- Can
- Gini
- Milner
- Lallana
- Coutinho
- Firmino
- Chamberlain
- Mane
- Salah
- Woodburn
- Grujic
- Ejaria
- Ojo
- Keita (Next season)