shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Ungese wa Klopp unaonekana Wazi Kutuharibia Timu yetu na Kudharauliwa na Mpaka Walioanza Kupenda Mpira 2017...
Hill bwege Lazima Lisepe...
[HASHTAG]#kloppout[/HASHTAG]
Walitucheka sana jana ngoja leo waipate pate.
kidogokidogo kombe tunachukuaUngese wa Klopp unaonekana Wazi Kutuharibia Timu yetu na Kudharauliwa na Mpaka Walioanza Kupenda Mpira 2017...
Hill bwege Lazima Lisepe...
[HASHTAG]#kloppout[/HASHTAG]
I've not seen you for so long....thanks for coming back.
Hakika timu inachosha sana. Sijui kwa nini alimuuza Sakho na Lucas pia wakati hana natural DM
Kati panabaki na shimo kubwa kiasi kwamba CB wanaonekana wabovu kweli kweli.
Sijawahi kuona Captain wa ajabu kama JH..... Captain asiyejua kupanga wala kukemea watu wake. Simuoni Carragher wala Steven Gerald.
Hakika RB atabaki kuwa kocha bora wa miongo hii miwili.
Utani wa ngumi huoooooKlopp ni kocha mzuri sana, ameifikisha Liverpool mbali. Anaetaka Klopp atimuliwe uyo sio shabiki wa Liverpool.
Klopp chapa kazi.
Sikupotea ni majukumu tu ya kifamilia.Huddersfield walikufanya kitu kibaya sana mpaka ukapotea jukwaa lako naona leo umeibuka kwenye jukwaa la hawa wazee wa historia
Na unahisi nini kitatokea mchambuzi.Wiki ijayo liver anacheza na aliyewafunga nyie na nyie mnacheza na aliyemfunga liver
Pole aiseee, unaweweseka mpaka huruma.Fvck Henderson off as captain! He is nothing but fvcking pig..
Utadhani walikuwa wanacheza rede.Leo Ajuza katembezwa mwendo wa mateka.
Pamoja na wenger .Klopp ni kocha mzuri sana, ameifikisha Liverpool mbali. Anaetaka Klopp atimuliwe uyo sio shabiki wa Liverpool.
Klopp chapa kazi.
Pole aiseee, unaweweseka mpaka huruma.