Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hivi liver mna mpango gani na taji la epl
Maana mmekuwa vilaza toka 1990
Kelele nyingi tu kumbe hamna kitu
 
Monaco wanamuhitaji Can kwenye dili la TL pamoja €74m wakati liverpool ilikuwa imempendekeza DO ngoja tuone hili saga linaishaje.
 
Leo Chelsea Wameikubali Rasmi Bei ya Alex Oxlade-Chamberlain ili Kumsajili, Lakini Mchezaji Huyo Amekataa Katakata Kumwaga Wino Kwenda Chelsea Na Anachotaka Yeye ni Kuja Liverpool! Kwahiyo Sasahivi Kunaendelea Mazungumzo ya Ana kwa Ana Kati ya Arsenal na Liverpool.

Kwahiyo ikiwa Mazungumzo yatakwenda Positive, Basi ndani ya masaa 30 OX akatua Liverpool..
 
IMG_20170830_173546.jpg
 
Leo Chelsea Wameikubali Rasmi Bei ya Alex Oxlade-Chamberlain ili Kumsajili, Lakini Mchezaji Huyo Amekataa Katakata Kumwaga Wino Kwenda Chelsea Na Anachotaka Yeye ni Kuja Liverpool! Kwahiyo Sasahivi Kunaendelea Mazungumzo ya Ana kwa Ana Kati ya Arsenal na Liverpool.

Kwahiyo ikiwa Mazungumzo yatakwenda Positive, Basi ndani ya masaa 30 OX akatua Liverpool..
Makombe atayasikia tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom