Malafyale
Platinum Member
- Aug 11, 2008
- 13,897
- 11,292
Hivi ata Origi naye si ndo tulimsajili kwa style hii ya Naby Keita?!?
Origi sisi ndiyo tuliamua kumbakiza Lille
Keita wao ndiyo wameamua kama kuuza ni mwakani sio mwaka huu sababu ya CL
Ona tofauti!