Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hivi ata Origi naye si ndo tulimsajili kwa style hii ya Naby Keita?!?

Origi sisi ndiyo tuliamua kumbakiza Lille
Keita wao ndiyo wameamua kama kuuza ni mwakani sio mwaka huu sababu ya CL
Ona tofauti!
 
IMG_8366.jpg
IMG_8369.jpg
 
Mwaka huu ni wetu kabisa nikuomba tu hizi mechi za kimataifa ziishe salama
 
Hizi habari za Keita niliziona Jana usiku nikadhani ninaota! Ila huyu jamaa...ni 'majicho' yangu au?! Umri wanaomtaja mdogo, ila nikiangalia picha yake anaonekana super-mkomao sana!
 
Hizi habari za Keita niliziona Jana usiku nikadhani ninaota! Ila huyu jamaa...ni 'majicho' yangu au?! Umri wanaomtaja mdogo, ila nikiangalia picha yake anaonekana super-mkomao sana!
Bro wewe ni mgeni africa?
 
Monaco wametugomea kabisa kumtoa TL Barcelona wasahau kuhusu Cou
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom