wegman
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 1,470
- 2,095
Tutamuwahi kweli maana muda ndio huo unayoyoma, halafu kuna tetesi jamaa yupo ndani ya mji wa Liverpool deal laweza kamilika ngoja tuone.Leo ni siku ya furaha sana kwa wana Liverpool
Tumepata mwalimu mwenye ushawishi
OX tayari
Baadae anakuja Van Djiik na Lamar
Ubingwa ni wetu