Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool imetoa €80 na Divock Origi kwa mkopo wa mwaka mmoja kwenda Monaco ili impate TL ila inatoa €50 mil kwanza itamalizia €30 msimu ujao
 
DIZKO20W0AIJDa_.jpeg
 
Monaco imekamilisha usajili wa Keita Balde nafikiri sasa ni muda muafaka wa TL kujiunga na LFC
 
Tetesi zilizopo muda huu ni kwamba Neymar amemshauri Coutinho asiende FCB msimu huu
 
Liverpool are confident of pocketing £30million from the sale of Mamadou Sakho prior to Thursday's transfer deadline.

Crystal Palace remain favourites to sign the France international who has no future at Anfield.

Leicester City have joined the race for the centre back's signature with West Brom also keen to secure his services.

Yah! muda wako wa Kuangalia Upande mwengine umeshafika! Kuna watu wanamuamini sana huyu jamaa na Kumuona Bonge la Beki, lakini cha ajabu Hakuna timu hata moja katika zile TOP 10 za EPL ambayo imejihusisha kumtaka!! Ni Relegators ndiyo wanaotoa Bid za Kumtaka tena Kwa £ ambazo ni below 30m.... Sasa Beki gani huyu aliyefulia na Kukosa nidhamu mpaka timu zinamkimbia!!!.
 
Liverpool ready to make £75m Lemar bid

“The Reds’ bid of around £65million was turned down by the Ligue One champions who are reluctant to sell the France international".
 
Tetesi zilizopo muda huu ni kwamba Neymar amemshauri Coutinho asiende FCB msimu huu

Few rumours doing the rounds on Twitter that Neymar has ‘advised’ Coutinho not to join Barcelona this summer.

Brazilian newspaper Estadao is supposed to have reported that Neymar has told his mate that he ‘won’t regret’ Liverpool blocking a move to the Camp Nou.
 
Ni wazi inaonesha kuwa Liverpool wameachana na OC baada ya Kuona Target ya TL ni bora zaidi

Oxlade-Chamberlain was a player Liverpool were interested in, but it now appears as though the Reds have bigger fish to fry, with Thomas Lemar now a target.
 
Bado hajaondoka
Ameshaondoka Huyo,liver wamewaambia barc wasitangaze kwanza hilo deal mpaka wampate mbala wa cou lengo ni kuhofia kuuziwa kwa bei ya juu
Na ile report ya kuhusu neymar amemshauri cou asiondoke liver ilikuwa ni ya uongo na mwandishi wa habari alikiri Jana.
 
Hata akiondoka sawa tu. Kwa sasa liverpool imetulia, ina midfielders na winga wazuri Tu. Forwad ya Firmino bado haijatengamaa ila itatulia

Sent using Jamii Forums mobile app
Viongozi wa liverpool wamesafiri kuelekea mjini Monaco kuongeza kasi ya kumpata TL tegemea chochote kabla dirisha la usajili halijafungwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom