radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,450
- 32,290
Kwa kikosi kile cha mwaka jana cha sometimes tunamtegemea Origi lkn tumecheza CL mwaka huu!
Mpe kikosi kile hata Babu Ferguson hachezi CL
Jamani kwa sasa Liverpool ndiyo ina kocha!
Miaka hii 20 walikuwepo wazushi tu
Muda ni hakimu hata kwa kina watfod asingepata droo angepigwa babu ferguson.