everlenk
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 11,628
- 15,032
Pole dia,wapi gegen pressKlopp is real shit
??Pole dia,wapi gegen pressKlopp is real shit
??We're playing Watford next (AWAY)
We've got to play West ham Away too, Bogey team for us..
Then Southampton..another bogey team for Us.
We'll only win against Boro..
And end up at 5th + Europa league and signing shit players yet again.
Klopp is real shit
Swadakta maneno yakoanafaa kutumika kwenye utabiri.
Hapa unamaanisha benteke?Poleni ndugu zangu.... jiwe walilolikataa waashi limekuwa jiwe kuu la pembeni.
Yaaani hunishindi mimi aiseeeeeeee!!! Mpka naumwa
utapona dawa yako nipoleo nimelitafuta jukwaa hili sana kumbe unfollow bila kujua mweee!! ...
uko poa?
Kijiweni kwetu huji siku hizi tumekukosea nini?
Pole dia,wapi gegen press??
No!Is not
Toa Lovren anza na Gomez pairing with Matip
CL football mwakani isha ipata msiwe na wasi wasi na kubahatisha kwa Man U kwa Chelsea kama ndiyo atafanya tena kwa Man City,Arsenal na Totenham
Hiyo ndiyo sababu ya kuwa shit, I like a boy for his passion not playing style.
Mkuu CL weka 50/50
Nitakukumbusha zikibaki game 2 ... maana tumebakiza 4 games ndani ya mwezi na up & down ya timu inaeleweka vema100%
Man U hawezi mfunga Totenham wala Man City Alhamis hii hata wachezee Kirumba Stadium
Arsenal hawezi mfunga Totenham either!!
Wengi sana wameshtuka na fluke football ya Man U kwa Chelsea
Man U hawezi maliza juu ya Liverpool msimu huu
Hawezi akawa na bahari kwa games kama Totenham,Arsenal,Man City na Everton!
1.Hivi unakumbuka mara ya mwisho United amefungwa lini kwenye EPL ?
2.Manchester United hana mechi against Everton
3.Katika mechi 6 zilizobaki only Man City ndio alitufunga.Spurs,Swansea,Saints,CPalace tuliwafunga while Arsenal alipata draw
4.United wanacheza vizuri na kushinda mechi za ugenini kuliko za OT,kati ya game 6 zilizobaki 4 tunacheza away
5.Liverpool amebakiza big match zote labda game ya Mido ndio mna uhakika kushinda
Huwezi mfunga Spurs,Man City,Arsenal wala CP!Mechi na Chelsea ilikuwa siku mbaya kwa Chelsea na utakubaliana nami kuanzia Alhamis hii
Rashford kwa fit again Kompany?Punguza utani pls
Hahhha mtani CL nipo kwani hujui nachukua Europa?? We pita kule mi napita huku tutakutana katikati.!!!!![]()
utapona dawa yako nipo
Hii ulifanya kusudi kwakua unajua kabisa huchezi CL tena karoho kanakuuma
Namshkuru mwenyezi niko vizuri, hofu ilikuwa kwako maana nilikuwa sikuoni
Nilikuwa natafuta sababu sasa nimepata, ibra out sasa namba 10 inawaita
Hali tete mtani hiyo ilisha potea
Weka akiba ya maneno kaka tusikimbiane...Wengi sana wameshtuka na fluke football ya Man U kwa Chelsea
Man U hawezi maliza juu ya Liverpool msimu huu
Hawezi akawa na bahari kwa games kama Totenham,Arsenal,Man City na Everton!
Siwezi kukimbia sredi yetuWeka akiba ya maneno kaka tusikimbiane...
Hizi ngonjera zako hujaanza leo tumeshakuzoea hapa JFSiwezi kukimbia sredi yetu
Mashabiki wametetemeka kwa technical fluke ya Man U kwa Hazard wakimtumia Herrera!Alhamisi hawawezi hata pata sare kwa Man City!Rashford ndiyo atafanya nn kwa fit again Kompany?Au kw apair ya Ventongen na Alde wa Totenham?Tuache utani jamani
Man City na Liverpool watashindana nafasi ya 3 na ya 4!