Yaliyojiri Ndani Ya JANUARY ni Liverpool Kutolewa Kwenye ↓↓:
1) The league title race
2) League cup
3) FA Cup
Bunch of let downs. Everything is so central, it makes me think if Klopp even tells them how to play, looks like we don't have any tactics at all. You'd think when we haven't been able to break teams down that Klopp would come up with a way to break them down, but game after game it's the same thing.....
Nilichokigundua Kikubwa Ni Kwamba Timu Zote Zimegundua Kuwa Kuizuia Liverpool Ni Kupaki Basi tu halafu Ukavizia Kaunta.....
Hapo Liver Hua Haina Ujanja tena Na Ndiyomaana Timu Zote Sasahivi Zinapocheza na Liverpool Zinatumia Mbinu Moja tu Ya Kudefendi Na Kutuacha Tucheze Mpira Tukaishi na Ball Possession 84% lakini Tunafungwa....
Hapa Ndiyo Umuhimu Wa Kuwa na REAL STRIKER ndiyo unapoonekana na sio FALSE STRIKER....
Please Klopp Sign Striker....