Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Yaani huyu kaweka uJOGOO wake mbele ya uAFRIKA wake
Dahhhhh!!! Basi tu tumsamehe ndizo errors zenyewe za michezo,haya Jumanne wako huyo je utamfundisha adabu kwamba bora angebaki AFCON au ndo atakulipizia kisasi chake cha kutolewa AFCON?.......mimi nitakuwa na kawimbo kangu fulani hivi naimba wacha wauwaneeee eeeeee wacha wauwaneee!!
 
Dahhhhh!!! Basi tu tumsamehe ndizo errors zenyewe za michezo,haya Jumanne wako huyo je utamfundisha adabu kwamba bora angebaki AFCON au ndo atakulipizia kisasi chake cha kutolewa AFCON?.......mimi nitakuwa na kawimbo kangu fulani hivi naimba wacha wauwaneeee eeeeee wacha wauwaneee!!
Chelsea akitufunga nipigwe ban ya wiki
 
Dahhhhh!!! Basi tu tumsamehe ndizo errors zenyewe za michezo,haya Jumanne wako huyo je utamfundisha adabu kwamba bora angebaki AFCON au ndo atakulipizia kisasi chake cha kutolewa AFCON?.......mimi nitakuwa na kawimbo kangu fulani hivi naimba wacha wauwaneeee eeeeee wacha wauwaneee!!
Hah , wewe hata watu wakiuana uko pale pale kwenye ka nafasi kako pendwa, labda ufunguke tu kwenye maombi yako, nani afe ?
 
Unakumbuka A.Gyan baada ya ile penati ya WC, alikuwa anakimbia spotlight waisha yake yote..Mr.Liverpool aliwaze hilo kabla ya yote
Kumbeee!! Sikumsoma kabisa nikawa najiuliza huyu ana maana gani? Mfyuuuuuu zake!!!
 
Hah , wewe hata watu wakiuana uko pale pale kwenye ka nafasi kako pendwa, labda ufunguke tu kwenye maombi yako, nani afe ?
Hahaha mmeanza kelele zenu!! ila zina baraka kwangu sana,mnakumbuka mlivyonipigia kelele juu ya kufunga na draw mkanipiga vita weeee basi nikaanza nami kufunga,sasahivi naamini nitatoka soon kwenye hako kanafasi, naona soon kuna mtu atanipisha pale.
 
Screenshot_2017-01-29-01-12-08.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom