Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

8baaaddb12cf6ef8dc7918aacb4f49d4.jpg
dygfzf
Ha ha ha ha ha ha ha ha kijogoo cha Anfield
 
Kuna mijitu ipo kama mapopo na mibundi,

Inaonekana kwenye uzi nyakati za giza kupiga majungu.

Tuna wakaribisha sana.
 
Mpra dakika 90 rudisheni magoli bana ebo! Khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Mwaka 2017, umeanza vibaya kwetu. Na ili apatetikane mshindi lazima mmoja ashinde. Ngoja tujipange mwakani tena
 
upload_2017-1-28_14-9-39.png


upload_2017-1-28_14-10-11.png


Aise naona Klopp iliwazarau hawa, hivi hakuna aliyemwambia
kuwa timu hii ilikuwa kwenye PL?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom