Belo
JF-Expert Member
- Jun 11, 2007
- 12,913
- 10,263
Finally watu wanaanza kuongea ukweli kuhusu timu yao,Hatimaye kina Pogba,Herrera,Valencia wanasifiwa kuwa ni wachezaji wazuri.Tangu mwanzo tulishasema matatizo ya Liverpool yanajulikana tangu hata msimu haujaanza
1.Klopp ni mmoja ya makocha ambao hawana plan B,EPL unapaswa kuwa flexible game aganist Chelsea/Arsen
al/United ni tofauti kabisa ya game against Sunderland/Stoke/Crystal Palace
2.Liverpool ni timu yenye kikosi kidogo(squad depth) kuna key players kama 4 (Coutinho,Mane,Firmino,Lalana) ukiwazuia hawa umeua timu nzima na kibaya zaidi hawana replacement
3.Defence yote ya Liverpool ni mbovu kuanzia GK,LB,RB,CB only Matip ndio beki mzuri.Kuanzia msimu uliopita Liverpool ilikuwa inashinda 5-4,4-3,3-2.Klopp ameshindwa kabisa kutengeneza defence timu ya Rodgers ilikuwa afadhali EPL bila defence ya uhakika utakuwa msindikizaji.Chelsea/Spurs mafanikio yao yamechangiwa na defence imara while Liverpool/Man City defence mbovu ndio inawaangusha
1.Klopp ni mmoja ya makocha ambao hawana plan B,EPL unapaswa kuwa flexible game aganist Chelsea/Arsen
al/United ni tofauti kabisa ya game against Sunderland/Stoke/Crystal Palace
2.Liverpool ni timu yenye kikosi kidogo(squad depth) kuna key players kama 4 (Coutinho,Mane,Firmino,Lalana) ukiwazuia hawa umeua timu nzima na kibaya zaidi hawana replacement
3.Defence yote ya Liverpool ni mbovu kuanzia GK,LB,RB,CB only Matip ndio beki mzuri.Kuanzia msimu uliopita Liverpool ilikuwa inashinda 5-4,4-3,3-2.Klopp ameshindwa kabisa kutengeneza defence timu ya Rodgers ilikuwa afadhali EPL bila defence ya uhakika utakuwa msindikizaji.Chelsea/Spurs mafanikio yao yamechangiwa na defence imara while Liverpool/Man City defence mbovu ndio inawaangusha