Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kuna Watu Hapa Kama Rafiki Yetu Wa Siku Zote Ntuzu Naona Simuoni Hapa!! Hivi Kwa Anaemfahamu Ni nini kimemsibu?
 
Karibu sn tarehe 4 uone tunamvyompiga mtu

Mkuu Vipi! Naona Game imekuwa Reverse Transcriptase Kama Kirusi Cha Ukimwi...
Ningeomba Uje Utufahamishe Hapa Ulikusudia Kumpiaga Mtu Kivipi?
 
Mwambie huyo maana yuko kwakwe anacheza kwa kuvizia vizia km mbwa koko


Kuna Siku Nilikwambia Kuwa Umeongoza Ligi Kwa Sababu Umepata Advantage Ya Kuwa Timu Ngumu Nyingi Umecheza Nazo Home Game na Awaya Game Umecheza Na Vibonde, Ukabisha.. Ona Sasa...! 😀😀

Spurs (Away) Kakudonoa...
Liverpool (Away) Atakudonoa...
Man U (Away) Atakudonoa...
Everton (Away) Atakudonoa...

Katika Timu Hizo Hapo Juu Humfungi Hata Mmoja Kwenye Round hii...
 
Kuna Siku Nilikwambia Kuwa Umeongoza Ligi Kwa Sababu Umepata Advantage Ya Kuwa Timu Ngumu Nyingi Umecheza Nazo Home Game na Awaya Game Umecheza Na Vibonde, Ukabisha.. Ona Sasa...! 😀😀

Spurs (Away) Kakudonoa...
Liverpool (Away) Atakudonoa...
Man U (Away) Atakudonoa...
Everton (Away) Atakudonoa...

Katika Timu Hizo Hapo Juu Humfungi Hata Mmoja Kwenye Round hii...
Maneno yake mengiii huyu bwana mwache aende zake
 
I'm so happy after the last night game and I was dream on that for Spurs to won the game thanks God we are going to close the gap as soon
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom