Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Acha kukata tamaa mkuu. Kumbuka timu iliingia ikiwa na uchovu. Tulicheza jumamosi tukawa na siku moja ya kupumzika, jana tena tukacheza. Mimi bado naamini tuna nafasi ya kushindana. 5 points si nyingi ukizingatia our rival chelsea ana tough fixtures.

Amini nakwambia baada ya game tano kutakuwa mabadikiko makubwa kwenye msimamo wa ligi. Usishangae tukiwa pale juu
Liverpool fc YNWA

Mkuu Bado Tatizo letu Sugu La Kustopishwa na Relegators nad Mid Table Teams Hatujaweza Kulitatua...
Angalia Hawa...

Burnley
Southampton
AFC Bournemouth
West Ham
Sunderland

Hizo Ni Timu Ambazo Za Kuchukua Points lakini Tumeshindwa Kizembe...

Mkuu Hatuwezi Kuchukua Kombe Kwa Kuzifunga Timu Kubwa tu lakini Ukija Kwenye Hao Vibonde Tunapoteza Points Kirahisi rahisi...

Kwa Vile Mimi ni Katiak Kopites Wacha Nijipe Matumaini (False Hope) Kuwa Tutapigana Mpaka Mwisho na lolote Laweza Tokea...
 
Liver ni timu ambayo nilikuwa naipa nafasi kubwa ya kumtoa chelsea pale juu kutokana na timu yangu kuiona kutokuwa na uwezo wa kumkamata chelsea, kumbe na nyie ni ovyo kabisa . Mnashindwaje kumfunga sunderland . ama kweli leo nimeikumbuka nyimbo ya mtulize kabla hujatulizwa kudadeeki.
Mkuu wewe timu yako ipi
 
Hivi Na Nyie Arsenal Timu Yanu ilivyo Ni Wakumcheka Liverpool??

Mkuu nimecheka wapi hapo? Nikicheka huwa nachema namna hiii ... .... ... khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Ding .... Dong. BTW Gunners hata siku moja huwa hatulalamiki mkitufunga huwa tunalala usingizi wa pono tu, maana tukiamua tu tunawapiga magoli. Tatizo lenu mechi nyingi huwa mnakamia sana, just relax and enjoy the game. Karibu Emirates basi! Uone kitale cha uhakika, sisi huwa hatununui game kama Manure au Chelsick ni kabumbu swafi na wewe unalifahamu hilo. [HASHTAG]#COYG[/HASHTAG].
 
Mkuu nimecheka wapi hapo? Nikicheka huwa nachema namna hiii ... .... ... khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Ding .... Dong. BTW Gunners hata siku moja huwa hatulalamiki mkitufunga huwa tunalala usingizi wa pono tu, maana tukiamua tu tunawapiga magoli. Tatizo lenu mechi nyingi huwa mnakamia sana, just relax and enjoy the game. Karibu Emirates basi! Uone kitale cha uhakika, sisi huwa hatununui game kama Manure au Chelsick ni kabumbu swafi na wewe unalifahamu hilo. [HASHTAG]#COYG[/HASHTAG].

Yah! Nimekuelewa! Hata hivyo Tumo Ndani Ya Same boat....
Mpaka Sasa Aliye Na Uhakika Wa Kuwemo Katiaka Top 4 ni Chelsea Pekee...

Lakini Kwa Liverpool, Man City, Arsenal, Spurs na Man U hawa Wote Dilemma Lolote Laweza Kutokea ni Lazima Wawili Wakae Pembeni...
 
Yah! Nimekuelewa! Hata hivyo Tumo Ndani Ya Same boat....
Mpaka Sasa Aliye Na Uhakika Wa Kuwemo Katiaka Top 4 ni Chelsea Pekee...

Lakini Kwa Liverpool, Man City, Arsenal, Spurs na Man U hawa Wote Dilemma Lolote Laweza Kutokea ni Lazima Wawili Wakae Pembeni...
Bora mkiwa mnakiri hivyo wazi wazi
 
Yah! Nimekuelewa! Hata hivyo Tumo Ndani Ya Same boat....
Mpaka Sasa Aliye Na Uhakika Wa Kuwemo Katiaka Top 4 ni Chelsea Pekee...

Lakini Kwa Liverpool, Man City, Arsenal, Spurs na Man U hawa Wote Dilemma Lolote Laweza Kutokea ni Lazima Wawili Wakae Pembeni...

Acha zarau wewe, Ni Chelsea na Man Utd pekee ndio wenye uhakika Wa top 4, labda nyie wengine
 
We wacha 1. Unauwakika na unachokisema lini chelsea wamenunua gemu.

Mkuu kwani humjui Wacha1 , wenzako huwa tunatabiri uelekeo Wa Aseno kupitia huyu bwana mkubwa. Ukiona hazungumzii maswala ya bahasha au kuhonga jua Arsenal wako vizuri, ila ukiona kaanza kuleta hizo claims Mara Man Utd wamenunua game, au Chelsea wazee Wa bahasha basi jua ghala la silaha limeanza kuungua moto.
 
Hivi Na Nyie Arsenal Timu Yanu ilivyo Ni Wakumcheka Liverpool??

alafu mie nashangaa watu hasa wa Arsenal BAK kashangilia goli la Defoe utafikiri yeye Subderland na wasiwasi na mashabiki wao hata Arsenal yake jana Geroud hajamshangilia vile alivyoandika Defoe humu dah bora awe Sunderland sie tunashangilia wachezaji wetu tu YNWA!
 
Bora mkiwa mnakiri hivyo wazi wazi
siukweli anasema sio plastic kama nyie wenzako wanakuja kufananabisha Liverpoolfc na Nottingham forest hata siku moja haiwezekani, Liverpoolfc simnasema timu ya History? angalau wanayo true History na kuanzia 90's mpaka hizi 2000's imeendelea kubeba bila kununua Kombe kwa jeuri ya pesa itakuwaje timu ya Historia peke yake? Nyie historia mnayo? kama ndio kutengeneza hata sie tumo kwenye kutengeneza, Nottingham CL hamumuoni ndio wakufananishwa na nyie Britisha timu mbili tu hata Pep kawaambia Manchester City so Chelsea nao mna miaka sana kufananisha LFC na Nyie bado sana. 18,05,07 na kazalika unapisema Bottingham Forest sawa na LFC tizama kipimo cha kabati lenu na Nottingham Forest. YNWA.
 
Yah! Nimekuelewa! Hata hivyo Tumo Ndani Ya Same boat....
Mpaka Sasa Aliye Na Uhakika Wa Kuwemo Katiaka Top 4 ni Chelsea Pekee...

Lakini Kwa Liverpool, Man City, Arsenal, Spurs na Man U hawa Wote Dilemma Lolote Laweza Kutokea ni Lazima Wawili Wakae Pembeni...
Kwa jinsi mpira usivyo na adabu, utakuja shangaa Chelsea nae anapigania top 4..
YNWA
 
siukweli anasema sio plastic kama nyie wenzako wanakuja kufananabisha Liverpoolfc na Nottingham forest hata siku moja haiwezekani, Liverpoolfc simnasema timu ya History? angalau wanayo true History na kuanzia 90's mpaka hizi 2000's imeendelea kubeba bila kununua Kombe kwa jeuri ya pesa itakuwaje timu ya Historia peke yake? Nyie historia mnayo? kama ndio kutengeneza hata sie tumo kwenye kutengeneza, Nottingham CL hamumuoni ndio wakufananishwa na nyie Britisha timu mbili tu hata Pep kawaambia Manchester City so Chelsea nao mna miaka sana kufananisha LFC na Nyie bado sana. 18,05,07 na kazalika unapisema Bottingham Forest sawa na LFC tizama kipimo cha kabati lenu na Nottingham Forest. YNWA.
Teh Teh Teh Teh.....


Umeumia sn mkuu.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom