Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

I wish ushind huu tungekuwa tumewagonga manyumbu wa maurine....

japo hata hao man shity...nao kocha wao huwa ana kidomodomo sana....

Happy new year brothers and sisters....

under the Liver bird, We're the best Football family...

[HASHTAG]#NYWA[/HASHTAG]
 
Nawaombea njaa ksho mfungwee na Sunderland ...ili angalau sisi tukishinda kwa Toti kuwe na gap kubwa.. 🙁 🙁 🙁
 
Kama ni hivyo Man U hatanifunga mimi tu!! na hata wewe atakufunga! right?

Halafu Katika EPL mimi kukufunga wewe ni ajabu au?

Mkuu mbona Katika top 4 wewe huwa nakudonoa sana tu au umeshasahau?

Kwanza hifazi hii Cimment! Trust me Spurs Anakuja kukuzuia na hutomfunga..

Matokeo yatakua ya aina mbili tu...

1) Aidha Mutadraw...
2) Au Spurs Atakufunga...

Lakini Katu ndani ya White Hart Lane hutoweza Kumfunga Spurs.... Manake Kashaiyona Nafasi Ya Nne indoeleka...

Kama Huamini basi hifadhi hii Post kwa reference za baadae...
Acha kuongea kwa kujifuraisha wewe ..unampiga man city moja wakati uko nyumban!! Mimi nilimpiga tatu akiwa kwakee ...upoo!! Ivo ata Toti atakufa tu maake hamna namna sasa. ..

Ujiandae na wewe Costa mtoa roho yuko njiani kuja kwako.
 
Acha kuongea kwa kujifuraisha wewe ..unampiga man city moja wakati uko nyumban!! Mimi nilimpiga tatu akiwa kwakee ...upoo!! Ivo ata Toti atakufa tu maake hamna namna sasa. ..

Ujiandae na wewe Costa mtoa roho yuko njiani kuja kwako.
Mwambie huyo maana yuko kwakwe anacheza kwa kuvizia vizia km mbwa koko
 
I'm Happy For another Clean Sheet...
Tatizo Lipo Sehemu Moja Tu Katika Kumfukuza Chelsea!
Ni Kwamba Timu Nyengine Zote 18 zilizobakia Hazina Uwezo Wa Kumzuia Chelsea...
Ni Sisi Liverpool Pekee Ndiyo Twenye Uwezo Wa Kumzuia Chelsea..

Point iko hapa! Chelsea Anaongoza Kwa Points 6, Na Liverpool Tunauwezo Wa Kuchukua Tatu Kutoka Kwake Ndani Ya Anfield Hapo January 31... Je Hizo Tatu Zilizobakia Atazuiwa na nani???????

Lets Hope Kwa Man U, Everton and Spurs....
Uezi amini kesho Sunderland anawakalisha. Bishaa
 
Acha kuongea kwa kujifuraisha wewe ..unampiga man city moja wakati uko nyumban!! Mimi nilimpiga tatu akiwa kwakee ...upoo!! Ivo ata Toti atakufa tu maake hamna namna sasa. ..

Ujiandae na wewe Costa mtoa roho yuko njiani kuja kwako.
Unasahau vijiushindi vyenu vya 1-0 kibao msimu huu?
A win is a win
There's no ugly win
What matters is 3 points in the bank
Acha kuongea kwa kujifuraisha wewe ..unampiga man city moja wakati uko nyumban!! Mimi nilimpiga tatu akiwa kwakee ...upoo!! Ivo ata Toti atakufa tu maake hamna namna sasa. ..

Ujiandae na wewe Costa mtoa roho yuko njiani kuja kwako.
Mmesahau vijiushindi vyenu vya 1-0 kibao dhidi ya timu nyingine msimu huu?
A win is a win
What matters is 3 point in the bank
 
Mjiandae kupisha hapo,maaana mme zoea vibaya
 

Attachments

  • 1483258071688.png
    1483258071688.png
    179.8 KB · Views: 32
Not the best game in the world but a good win for Liverpool! I knew we would walk away with the 3 points!! And lol at Sterling. Milner didn't allow him to play at all! Congrats Reds! And Happy New Year! Next up: Sunderland.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom