Ntuzu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 17,418
- 10,852
Ata sisi tulipasha moto kwa StokeSpurs amepasha msuli moto kwa j5 takatifu
Ata sisi tulipasha moto kwa StokeSpurs amepasha msuli moto kwa j5 takatifu
Msamehe ila thread inanoga kukiwa na upinzani mkuuKwahiyo km ni uzi wa Liverpool fans mashabiki wa timu zingine hawatakiwi kuja hapa????
Yes ndio maana niko hapa tena situkani mtu wala kukashifu watu.Msamehe ila thread inanoga kukiwa na upinzani mkuu
Yes ndio maana niko hapa tena situkani mtu wala kukashifu watu.
Yes ndio maana niko hapa tena situkani mtu wala kukashifu watu.
Yes ndio maana niko hapa tena situkani mtu wala kukashifu watu.
wee toka bhana hatujakuita, kazi umbea tu, unataka kutuletea majungu yako humu? nenda kajadili na wenzio lini mtatoka nafasi ya sita
Ata sisi tulipasha moto kwa Stoke
Kwa kwa kwaJürgen Klopp: "If anybody else thought we need to be champions this year, then maybe it's a little different, but we are fine. We are where we are."
"If we could end there, cool. But if we are there, five match days before the end, and only a few points, then we can really start thinking about something else -- but not at the moment."
Kwa kwa kwa
Anajua mpira chuma huo utayeyushwa ktk machinjio ya OT na Etihad na tarehe 31 so lazima asiwe na uhakika na ubingwa...
Hizo game sita sipotezi ata mojaHiyo Kauli Ni Katika Mbinu Ya Mpira Lakini Hakuna Kocha Asiyekuwa Na Tamaa Ya Ubingwa.....
Jengine Ni Kwamba Klopp Anatimiza Mwaka Mmoja Sasa Tokea Kuichukua Timu! Kwahiyo Lengo Lake Hasa Ni Future (May be Next Season), Na Ndiyomaana Akawa Anasajili Vijana Kwa Ajili Ya Kutengeneza Timu Yake Mwenyewe itakayoendana Na Filosofi Yake na sio ile Ya Kurithi Kwa Watangulizi Wake....
La Mwisho Ni Kuwa Maranyingi Umegeuka Na Mawazo Sawa na Na Washabiki Wa Man U! Unajua Kwanini??
Washabiki Wa Man U siku Zote Hupangia Timu Kubwa Zilizopo Juu Yake Katika Msimamo Kuwa Zitapoteza Points Pale Zitakapocheza Wao Kwa Wao ilo Man U isonge Mbel... Swali ni Hili: "Je Wao Man U hizo Timu Kubwa Hawatakutana Nazo?? Au Watazifunga Zote???
Sasa Na Wewe Umesahau Kuwa Hizo Timu Atakazocheza Nazo Liverpool, Nawewe Pia Utacheza Nazo...
Wewe Utacheza na ↓↓
Spurs → WHL
Everton → GP
Man U → OT
Liverpool → AFD
Man City → Darajani
Arsenal → Darajani
Sasa Usijisahau Mkuu! Hao ↑↑ Hawatacheza Na Liverpool tu!!! Bali Hata Wewe Utacheza Nao Na Utadondosha Points Hapo...
Tatizo lenu moja tu. Mkifunga mara moja tu shida. Ebu weka recodi hapa tuoneKwani Hii Round Ya Kwanza Chelsea Hawakuzitaka Points 3?? Mbona Tumezichukua Ndani Ya Darajani??
Hivi Chelsea Kawa Mpinzani Kwa Liverpool Kuanzia lini Hata Atake Points 3?
Kwahiyo liverfool ni countinho.Nawataman chelsea afu wanabahat mbay countinho atakuwepo
Teh Teh Teh Teh
Nimesema sisi leo ndio fainali , tukishinda sisi mabingwa lakini tukifungwa au kudroo basi ndio tumefikia tamati ya ubingwaTeh Teh Teh Teh
leo km ligi ndio ingekua inaisha chelsea lazima apewe kombe
Kwani mimi nimesemaje Jamani?? Mimi nimesema km ligi inaisha leo sisi lazima tupewe ubingwaNimesema sisi leo ndio fainali , tukishinda sisi mabingwa lakini tukifungwa au kudroo basi ndio tumefikia tamati ya ubingwa