kiatu kipya
JF-Expert Member
- Dec 4, 2016
- 3,269
- 1,978
Ondoka mkuu hii ni dini ya MerseysideLitimu libovu sana hilii ...nalichukia mnooo
Ondoka mkuu hii ni dini ya MerseysideLitimu libovu sana hilii ...nalichukia mnooo
Hizi tambo huwa nazipenda sana ususan pale mwenye tambo anapofungwa. Lets wait and see what will happenWewe subiri kipigo ukiwa umetulia. Unadhan ukiongea ndo tutakuacha?. Coutinho , sturidge , hendo ndan..... labda mcheze 27 ndo tutatoka droo

Mtani jiandae kabisa kisaikolojia, Reading kala 4 salamu zenu Loserfool. Kwi kwi kwiiii
Ngoja tusubiri nyinyi huwa mnashindia mdomoni. Mbona sunderland vibonde wamewakalisha
Wewe una akili kweli, liver ya Rodgers ni sawa na liver ya klop?Wachezaji wa liver ndo wachezaji wazembe zaid duniani maana mpk leo bado hawaja adopt mfumo wa kocha wao![]()
![]()
![]()
![]()
Wale wachina tunawahitaji waje wa take-over club yetu iingie kwenye soka la biashara sasa na ushindani FSG wanajali maslahi yao tu nasiya club watuachie timuLallana analipwa £60,000 kwa Wiki!!!!! So sad...
Game hii haionyeshwi ?Leo Kwenye FA tupo Hivi ↓↓
Liverpool: Karius, Alexander-Arnold, Gomez, Lucas, Moreno, Stewart, Can, Ejaria, Ojo, Woodburn, Origi.
Subs: Mignolet, Klavan, Clyne, Wijnaldum, Sturridge, Firmino, Lallana.
Wee una akili kwelii?? Unaitaje timu kubwa kama Chelsea "chelshit?" Em kuwa na adabu kidogo ni kiongozi wako ujuee....↑↑ Labda Kwanza Nianzie Hapa! Nakuuliza Hivi Huyu Reading Unajua Yupo Daraja La Ngapi Hata Ukafurahia Goli 4?
↑↑ Kwani Katika Ya → Man U, Chelshit, Arsenal, Man City na Spurs nani Aliyetufunga Msimu huu? Sasa Nani Anaeshinda Mdomoni Kati Ya Sisi au Nyinyi na Genge Lenu?
Wacha Wivu Huo Liverpool Anashinda Uwanjani Kwa Vigenge Vyenu Munavyojiita Timu Kubwa!
Tena Tambua Kwaba! Liverpool Kwa Msimu Huu Katu Haiwezi Fungwa Na Timu Yoyote Kati Ya 6 Za Juu Kwenye Msimamo...
Na Kwakuongezea! Kwani Sunderland Alitufunga Ngapi vile? Manake Naona Unashangilia Ushindi Wa Sunderland Kwa Liverpool...!!
Timu bado mbovu sana ..ni uwezo tu wa baadhi ya wachezaji ndo unaisaidia timuWewe una akili kweli, liver ya Rodgers ni sawa na liver ya klop?
Wacha ubishiTimu bado mbovu sana ..ni uwezo tu wa baadhi ya wachezaji ndo unaisaidia timu
Kweli plymouth ni ya kutoka nayo droo!!
Halafu mmejiongezea mzigo wa mechi za january hii.
Mtachoka sana wakubwa
hapo ni kujitetea tu mana kinachojulikana na timu ya liverpool kutoka draw na si madogo wa liverpool ndiyo waliotoka draw .Hayo Ni Mawazo Yako tu! Kilichotufanya Tutoe Draw leo Lengo la Klopp Ni Kurahisisha Mzigo Wa Mechi Tulizonazo Wiki Hii....
Kumbuka Kuwa Ndani Ya January Tuna Mechi 2 za FA ikiwemo Moja Kabla Ya EPL na Man U.....
So, Klopp Kaeka Kwenye Benchi Wachezaji Wake Kwa Ajili Ya Nusu Final Ya FA, na EPL vs Man U....
Ndomana Mechi Ya Leo Haikuwa Katika Priyority Yake Na Akaamua Kuanzisha Watoto Watupu Wakapambane na Kupunzisha First XI yake....
Mpira ni Mbinu sio kukurupuka... Kwenye Marudio Hakutakuwa Na Mzigo Kwa Liverpool Kwani Watacheza Madogo Wale wale! Kwahiyo Hakutakua Na Athari Kwa Wachezaji Wetu Wa Ligi...