Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Performance Yangu Ya Timu Leo Kwa Wachezaji iko Hivi:

1) Sadio Mane
2) Ragnar Klavan
3) Adam Lallana
4) James Milner
5) Dejan Lovren
6) Nathaniel Clyne
7) Gini
8) Can
9) Firmino
10) Hendo
11) Migno
 
I'm Happy For another Clean Sheet...
Tatizo Lipo Sehemu Moja Tu Katika Kumfukuza Chelsea!
Ni Kwamba Timu Nyengine Zote 18 zilizobakia Hazina Uwezo Wa Kumzuia Chelsea...
Ni Sisi Liverpool Pekee Ndiyo Twenye Uwezo Wa Kumzuia Chelsea..

Point iko hapa! Chelsea Anaongoza Kwa Points 6, Na Liverpool Tunauwezo Wa Kuchukua Tatu Kutoka Kwake Ndani Ya Anfield Hapo January 31... Je Hizo Tatu Zilizobakia Atazuiwa na nani???????

Lets Hope Kwa Man U, Everton and Spurs....
 
Another interesting performance Kwa Timu Yetu Kumbe Na Sisi Tunaweza Kupaki Basi (Sorry leo Hatukupaki Basi) na Kushambulia at the Same time Coz Nimeshazoea Kuona Hile Pressing Yetu Ya Kuattack tu Bila Ya Kulinda....
 
I'm Happy For another Clean Sheet...
Tatizo Lipo Sehemu Moja Tu Katika Kumfukuza Chelsea!
Ni Kwamba Timu Nyengine Zote 18 zilizobakia Hazina Uwezo Wa Kumzuia Chelsea...
Ni Sisi Liverpool Pekee Ndiyo Twenye Uwezo Wa Kumzuia Chelsea..

Point iko hapa! Chelsea Anaongoza Kwa Points 6, Na Liverpool Tunauwezo Wa Kuchukua Tatu Kutoka Kwake Ndani Ya Anfield Hapo January 31... Je Hizo Tatu Zilizobakia Atazuiwa na nani???????

Lets Hope Kwa Man U, Everton and Spurs....
Hapa sasa unaota. Unafikiri wao hawana shida na hizo point 3. Angalia maneno yako hayo kaka
 
1698.jpg

Giorginio Wijnaldum, No5, heads past Manchester City’s Claudio Bravo, on the ground, to open the scoring for Liverpool.
 
Picha Kwa Hisani ya Dejan Lovren ikiwaonesha Wachezaji Wa Liverpool Wakishangilia Ushindi Katika Chumba Cha Kubadilishia Nguo...


LOVREN.jpg
 
I'm Happy For another Clean Sheet...
Tatizo Lipo Sehemu Moja Tu Katika Kumfukuza Chelsea!
Ni Kwamba Timu Nyengine Zote 18 zilizobakia Hazina Uwezo Wa Kumzuia Chelsea...
Ni Sisi Liverpool Pekee Ndiyo Twenye Uwezo Wa Kumzuia Chelsea..

Point iko hapa! Chelsea Anaongoza Kwa Points 6, Na Liverpool Tunauwezo Wa Kuchukua Tatu Kutoka Kwake Ndani Ya Anfield Hapo January 31... Je Hizo Tatu Zilizobakia Atazuiwa na nani???????

Lets Hope Kwa Man U, Everton and Spurs....
Hamuwezi kuchukua points tatu kwa chelsea tena. Hilo msahau kabisa.

Kumbuka tarehe 15 uko away na Utd hapo lazima ufungwe na hiyo itakua ni kabla ya kukutana na chelsea
 
Hawa tutashinda ila shughuli IPO, Anfield tulishinda kwa mbinde sana
Na wasi wasi sana kama Henderson kaumia
Tukishinda hii na kucheza na Man U weeks 2 baadae Coutihno atakuwa fit
Game na Sunderland ni ngumu sana kwetu lkn in Klav na Lovren we believe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom